katavi nilichanganya mada,jesuits ni shirika lililoanzishwa na Loyola na wanafunz wenzake mnamo mwaka 1534 wakiwa uko ufaransa japo Layola alikuwa mspanishi mwingine mreno n.k.Mkuu uislamu umeanza lini na Jesuit imeanzishwa lini???
Okay nimekuelewa mkuu, nilidhani historia ninayoijua mimi ilikuwa nyingine.katavi nilichanganya mada,jesuits ni shirika lililoanzishwa na Loyola na wanafunz wenzake mnamo mwaka 1534 wakiwa uko ufaransa japo Layola alikuwa mspanishi mwingine mreno n.k.
uislam tayali ulikwa na miaka zaid ya 900.
Hata wakristo mkuu walifanya hivyo hivyo poland bulgaria Bosnia n.k miaka ya 1100 hivyo sio hoja kushambulia waislam ilihali wakristo walichinja sana watu ulaya ya mashariki waliokataa kubatizwaHii ni moja ya habari ambayo inaunganisha uislam na ugaidi. Yaani mtu kuua watu mji mzima ili wafuate dini anayoitaka anakuwa shujaa? hii ni hatari
Picha ya rangi alichorwa enzi hizo ila hyo kashika upanga ni scene ya movie walio mu act .......Hii picha yake enzi hizo kamera zilikuwepo?kimsingi Mimi huwa najiuliza wema unaenezwa VP kwa panga?kisha mtendaji anapewa sifa ya ushujaa Mimi naona mungu aliamua kumwondoa kwa njia hyo
At that tym...ni vigumu kwenda mbingun pasipo kuamin kitabu cha Mwenyezimungu (INJILI), nabii Issa(Yesu) aliletokezwa kwa ajili ya Israelites, till this tym, uislam wangu haukamiliki kama navihini vitabu vya mwenyezimungu na mitume wa mwenyezimungu.Interesting!!! Hebu tupe family tree inayo muunganisha huyu mtume wa mwisho na Ibrahim Baba wa imani. Na umetaja Injili, na hii Injili imesema wazi kuwa mtu hawezi kufika mbinguni ila kwa njia ya Yesu. Sasa sijui nini maoni yako juu ya hili?
View attachment 722372 View attachment 722373 Habari za mchana wakuu kama kichwa cha thread kinavyosema kwenye historia ya ulaya na kiislam kulikuwa na mfalme wa Ottoman empire dola ya kiislam hii iliyovamia ulaya kutokea mashariki ya kati na asia kwa sababu za kupanua utawala wao na dini pia.
Katika miaka ya 1400 walifanikiwa kuikamata constantinople iliyokuwa makao makuu ya byanztium empire ambayo ilikuwa ndio tawi la Dola ya kirumi mashariki ya ulaya na ilikuwa chini ya wakristo ila Mehmed II alifanikiwa kukamata mji huu na kufuta ukristo na kuifanya dini ya kiislam kushamiri mpaka leo yaani uturuki ya sasa na nchi za jirani.
Sasa baada ya kumalizana na tawi hili la mashariki Mehmed II hapo kati aliteka miji mingi tu ya ulaya ila mwishoni kabisa alielekea kuvamia makao makuu ya dola ya kirumi yani Rome ili kuitawala na penginepo kufuta ukristo ulaya nzima maana kama makao makuu ya wakatoliki wakisilimu je nchi gani ya ulaya ingebaki na ukristo??
Alianzia mji wa Otranto hapo italia kwa kuwavamia na kutaka wasilimu walivyogoma alichinja mji mzima na alikuwa amepanga sasa kuelekea Roma na alikua ameagiza majeshi zaidi yatiririke ili kufanikisha adhma yake.... ila usiku mmoja kabla ya kuanza vita ya kuelekea Roma alifariki ghafla na hivyo mpango huo ukafia naye na tokea hapo hakuwahi patikana mtawala wa ottoman mwenye dhamira na uwezo wa kuvamia Roma tena.
Sasa wajuvi wa mambo naomba mtujuze je nini hasa kilimuua Mehmed II aka Mehmet the conqueror shujaa huyu wa kiislam je aliwekewa sumu?? Alisalitiwa?? Aliuawa na wakatoliki ?? Na kivipi jemedari huyu masaa machache kabla ya tukio la kihistoria afariki ghafla maana wajuzi wa mambo wanasema kma sio kifo chake leo hii ulaya nzima ingekuwa imesilimu
Naomba kuwasilisha
Cc Palantir Malcom Lumumba Eiyer MSEZA MKULU na wanajukwaa wote
NB: Mods naomba uzi huu msiufute maana huwa mnazimoderate then mnazifuta hii inavunja moyo sana watu kuanzisha thread za kufikirisha jukwaa hili maana wanatumia muda kutafiti alafu tafiti zao zinaishia kutupwa kapuni.....
Hii ni moja ya habari ambayo inaunganisha uislam na ugaidi. Yaani mtu kuua watu mji mzima ili wafuate dini anayoitaka anakuwa shujaa? hii ni hatari
nani kakudanganya kuwa waqureshi wanatokana na uzao wa ishmael?issa bin maryam sio YESUAt that tym...ni vigumu kwenda mbingun pasipo kuamin kitabu cha Mwenyezimungu (INJILI), nabii Issa(Yesu) aliletokezwa kwa ajili ya Israelites, till this tym, uislam wangu haukamiliki kama navihini vitabu vya mwenyezimungu na mitume wa mwenyezimungu.
Mtume Muhammad anatoka katika uzao wa Ismail (A.S) mwana wa Ibrahim kupitia mjakazi wake(Suria) ilhal manabii wengi wa kiisrail wanatoka katka uzao wa Is'haqa nduguye na Ismail kwa mke wa Nabii Ibrahim !!
na hii ndo sababu EU wanampa uturuki paund bilion 3 kwa mwaka kutunza wakimbizi wa syria wasiingie ulaya na kuibadili history,Picha ya rangi alichorwa enzi hizo ila hyo kashika upanga ni scene ya movie walio mu act .......
Kuhusu kusambaza dini kwa upanga ni dini zote zimefanya hivyo hata ukristo ulitumia panga kubatiza watu ulaya ya mashariki
Na kuhusu kifo chake inawezekana kweli Mungu alimchukua sababu bila hivo leo hii huenda historia ingebadilika sana penginepo ulaya ingekuwa bara la waislam watupu
na hii ndo sababu EU wanampa uturuki paund bilion 3 kwa mwaka kutunza wakimbizi wa syria wasiingie ulaya na kuibadili history,Picha ya rangi alichorwa enzi hizo ila hyo kashika upanga ni scene ya movie walio mu act .......
Kuhusu kusambaza dini kwa upanga ni dini zote zimefanya hivyo hata ukristo ulitumia panga kubatiza watu ulaya ya mashariki
Na kuhusu kifo chake inawezekana kweli Mungu alimchukua sababu bila hivo leo hii huenda historia ingebadilika sana penginepo ulaya ingekuwa bara la waislam watupu
na hii ndo sababu EU wanampa uturuki paund bilion 3 kwa mwaka kutunza wakimbizi wa syria wasiingie ulaya na kuibadili history,Picha ya rangi alichorwa enzi hizo ila hyo kashika upanga ni scene ya movie walio mu act .......
Kuhusu kusambaza dini kwa upanga ni dini zote zimefanya hivyo hata ukristo ulitumia panga kubatiza watu ulaya ya mashariki
Na kuhusu kifo chake inawezekana kweli Mungu alimchukua sababu bila hivo leo hii huenda historia ingebadilika sana penginepo ulaya ingekuwa bara la waislam watupu
[emoji23] [emoji23] [emoji16] [emoji119]Hii mbinu hata Usama aliitumia, ili akuamini kwenda kujilipua ilikuwa lazima kwanza kujitoa muhanga kwake.
Alaf watu wanasema dunia ya sasa imeharibika. Zamani watu wanachinja nchi nzima hakuna cha UN wala the Hague.Meno ya binadamu cheni shingoni!..Huko ndipo tulipotoka.
Kuua sio sifa nzuriHongera kwa kuanzisha uzi murua kabisa.
Hemed II kimsingi aliugua na kufariki dunia mwaka 1481 akiwa katika kampeni ya kivita huko Italy, japo mpango ulikuwa pia kuikamata Misri.
Ugonjwa uliomuua mpaka leo haujafahamika.
Lakini kabla ya mauti yake alikuwa mtu anayesumbuliwa sana na magonjwa ya viungo kwa muda mrefu hali iliyopelekea mpaka mguu wake mmoja kuharibika kabisa(kuwa deformed), pia alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa gout.
Siku mbili kabla ya kifo chake aliugua ugonjwa wa tumbo na hakuweza kabisa kutokea kwenye ukaguzi wa vikosi vyake kama ilivyo ada ya wababe wa kivita kwa wakati huo.
Lakini taarifa za siri kutoka Ottoman Empire zinasema aliwekewa sumu na mtoto wake wa kwanza ambaye alikuwa pia mrithi wake mtarajiwa aliyejulikana kwa jina la Bayezid kwa sababu ya uchu wa madaraka.
Ikumbukwe kuwa Hemed II alikuwa na miaka 49 tu wakati mauti inampata, kwa picha hio ina maana kuwa alikuwa bado na safari ndefu sana ya kutawala, almost miaka 40 mbele, kitu ambacho dogo aliona kama "kinamchelewesha", ikabidi amuwahishe baba mapema.
πππππ khaaaaAlaf watu wanasema dunia ya sasa imeharibika. Zamani watu wanachinja nchi nzima hakuna cha UN wala the Hague.
Umeanza vizuri lakini umeharibu pale unapojaribu kutudanganya Nabii Issa ndiye Yesu Kristo hawa huwezi kuwalinganisha hata kidogo na ukijaribu kuwalinganisha ndio mwanzo wa kupotea kabisa.At that tym...ni vigumu kwenda mbingun pasipo kuamin kitabu cha Mwenyezimungu (INJILI), nabii Issa(Yesu) aliletokezwa kwa ajili ya Israelites, till this tym, uislam wangu haukamiliki kama navihini vitabu vya mwenyezimungu na mitume wa mwenyezimungu.
Mtume Muhammad anatoka katika uzao wa Ismail (A.S) mwana wa Ibrahim kupitia mjakazi wake(Suria) ilhal manabii wengi wa kiisrail wanatoka katka uzao wa Is'haqa nduguye na Ismail kwa mke wa Nabii Ibrahim !!