duuuhhgghh kwahiyo Jamaa alikuwa ana &#**$ wenzie ??Zilikuwa propaganda tu kumfanya achukiwe na watu kujiunga naye!!.. Kama aliweza kumpiga hadi Vlad III 'dracula' The impaler iweje aje onekana yeye ndio vampire tena!!..
Tatizo huyu Mehmed II nazani ni Mturuki kilichokuwa kinamchukiza na wazungu ile tabia yake ya kupenda wavulana wazuri enzi hizo utamaduni ulikuwa kwa warumi ambapo nao ulikuwa umepotea na hawa Turks kwahiyo akaonekana katili!.
Ukiwa mzuri au akakupenda aahh jiandae kuwa kimada wake!!..duuuhhgghh kwahiyo Jamaa alikuwa ana &#**$ wenzie ??
Watu wa hivyo hawazaliwi kila siku, hutokea kwa nadra sana katika generation na kizuri hakidumu wanasemaNa najiuliza kwanini tokea hapo hakutokea mfalme mwingine wa ottoman aliyekuwa na nia ya dhati ya kuvamia Roma..... Nini kilikuwa kikwazo
aiseee....hiyo laana kumbe ndio maaana alikufa kiboya "" hiyo dini alikuwa anaitangaza vipi sasa wakati alikuwa mshenzi "" yaani anahubiri watu wafnye mambo ambayo yeye mwenyew yanamshinda ...huu ulimwengu bwanaUkiwa mzuri au akakupenda aahh jiandae kuwa kimada wake!!..
Enzi hizo ujanja kuwa na kakijana kadogo pembeni yako kutolea hamu!. Kama nilivyosema hata watu wa Rumi walikuwa wanafanya hicho kitu!.. Ni ushenzi kwa sasa lakini ulikuwa utaratibu wao zamani!.aiseee....hiyo laana kumbe ndio maaana alikufa kiboya "" hiyo dini alikuwa anaitangaza vipi sasa wakati alikuwa mshenzi "" yaani anahubiri watu wafnye mambo ambayo yeye mwenyew yanamshinda ...huu ulimwengu bwana
Enzi hizo mafuvu ya watu yaliwekwa kama urembo wa sebuleni, aliyeuwa wengi ndiyo heshima iliongezeka.Enzi hizo ujanja kuwa na kakijana kadogo pembeni yako kutolea hamu!. Kama nilivyosema hata watu wa Rumi walikuwa wanafanya hicho kitu!.. Ni ushenzi kwa sasa lakini ulikuwa utaratibu wao zamani!.
Meno ya binadamu cheni shingoni!..Huko ndipo tulipotoka.Enzi hizo mafuvu ya watu yaliwekwa kama urembo wa sebuleni, aliyeuwa wengi ndiyo heshima iliongezeka.
Nimekuelewa mkuuMkuu sio huyo Mehmet II tu ..........Ukifuatilia historia ya Europe 711 AD ilivamiwa na Arabic Moors kutoka North Africa maeneo ya Morroco chini ya Tariq bin Ziyaid wakipitia Spain na waliiconqure sehemu kubwa ya spain na Portugal wakaenda mbali zaidi wakaivamia France enzi hizo ikijulikana kama Frankish Kingdom na hii ilikuwa chini ya imani ya kikatoliki ( kikiristo ) kukawa na battle kubwa na kali sana hapo kati ya hawa Moors na Frankish army ............Frankish army army wakafanikiwa kuwadefeat waarabu na kubwa drive back to Spain na Portugal na baadaye waarabu wakaretreat mazima na ndo maana leo hii kuna maeneo ya Spain na Portugal yana tamaduni za kiarabu na kiislamu kabisa..........
Basi suala la marinda lina historia ndefu kwa kweli.Ukiwa mzuri au akakupenda aahh jiandae kuwa kimada wake!!..
toka SODOMA na GOMORA!!Basi suala la marinda lina historia ndefu kwa kweli.
mkuu unajua mi ni guru wa haya mambo lakini hutaki kunipa tagNa najiuliza kwanini tokea hapo hakutokea mfalme mwingine wa ottoman aliyekuwa na nia ya dhati ya kuvamia Roma..... Nini kilikuwa kikwazo