Nini kilisababisha urafiki na Besti/ Mshkaji wako kufa?

Changamoto Sana .
 
Duh!...
 
Nawajua nje ndani wana mazuri yao ila roho mbaya km hiyo ni dosari yao kubwa sana hawapendi uwe juu kumzidi hata akiwa ndg yake wapo hivyo,

wengi wao wapo hivyo
Hivi kumbe, nimeshasikia sana hizo story kuna hadi mwamba akanisihi kuwa usijefanya biashara na hawa watu ni aidha atakudhurumu, atachomoka muda ambao sio sahihi mtu kuchomoka au atataka kudominate biashara.
 
Apeche alolo ya kwangu hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…