elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Miaka kama minne iliyopita B-hits ilikuwa kati ya studio zilizokuwa zikitoa hits nyingi chini ya pancho latino mafia na hammy B.
Mtakumbuka ngoma kama
Bado nipo nipo - FA
Dakika moja tu - FA ft AY
Amore- Baby Madaha
Show za joh - joh makini
Closer - Vannessa Mdee
Bye bye - Joh Makini
Leo - AY ft avril
Ndole - Mabeste ft Deddy
Sirudi tena - Mabeste ft Jux
Baadaye sana - Mabeste
Destiny - mrap ft deddy
Msiache kuongea- FA ft jaydee
Unanijua unaniskia - FA
Nangoja ageuke - FA & AY
na ngoma kibao. Mara ghafla wasanii wakahama almost wote.
Siamini kama uwezo wa Pancho au hammy B umeshuka ila kutakuwa na sababu maana siku hizi B-hits haina hits kama zamani
Mtakumbuka ngoma kama
Bado nipo nipo - FA
Dakika moja tu - FA ft AY
Amore- Baby Madaha
Show za joh - joh makini
Closer - Vannessa Mdee
Bye bye - Joh Makini
Leo - AY ft avril
Ndole - Mabeste ft Deddy
Sirudi tena - Mabeste ft Jux
Baadaye sana - Mabeste
Destiny - mrap ft deddy
Msiache kuongea- FA ft jaydee
Unanijua unaniskia - FA
Nangoja ageuke - FA & AY
na ngoma kibao. Mara ghafla wasanii wakahama almost wote.
Siamini kama uwezo wa Pancho au hammy B umeshuka ila kutakuwa na sababu maana siku hizi B-hits haina hits kama zamani