kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,668
- 9,809
Umeibiwa au ulituma mwenyewe?Mimi nimeibiwa 20,000/= na demu mmoja wa humu humu
Mpunguze shobo za kutuma pesa hovyo hovyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeibiwa au ulituma mwenyewe?Mimi nimeibiwa 20,000/= na demu mmoja wa humu humu
Hahahaha n.ye.g.e zake zimemponzaUmeibiwa au ulituma mwenyewe?
Mpunguze shobo za kutuma pesa hovyo hovyo.
Watanzania wasiokua na uzalendo kwa kushirikiana na kenya walifanya hiyo kitu ili kuufanya uwanja wa ndege wa jomo kenyata uwe busy na hapo kenya itumie nafasi hiyo kukuza shirika lao la ndegeMambo vp jamiiforums.
Nini kiliua safari za moja kwa moja (Direct Flight) za kuja Tanzania kwa mashirika ya ndege ya Ulaya kama Scandinavian Airlines System (SAS) pamoja na Lufthansa ya Ujerumani? Mbona mkongwe mwenzao KLM bado anakujaga?
==========
View attachment 1727879
==========
Jana nikiwa nimepaki gari yangu (Taxi Bubu) hapa kijiweni nilipigiwa simu kwenda kuchukua abiria mmoja pale uwanja wa ndege wa mwalimu Nyerere (JNIA) alikuwa anatokea hukoooo majuu.
Sasa wakati ninasoma vijarida kadhaa pamoja na kupiga stories na abiria pamoja na ndugu waliokuja kupokea wenzako pale sehemu ya kusubiria, nikajifunza mambo yafuatayo.
Kuna njia mbili tu za moja kwa moja kutoka Ulaya hadi Tanzania kwa njia ya ndege. Kwanza kuna KLM (Royal Dutch Airlines) ambayo huruka kila siku kuja Dar es Salaam kutoka Amsterdam nchini Uholanzi.
View attachment 1727881
Njia ya pili ni kupitia shirika la ndege la Uturuki kutoka Istanbul uwanja wa ndege wa Ataturk. Vinginevyo wasafiri kutoka Ulaya wanaweza kupanda ndege kwenda Nairobi. Halafu Kenya Airways inakujaga karibia kila siku huku Dar/Tanzania.
Mashirika yanayokwenda Nairobi ni pamoja na British Airways kutoka London Heathrow; Air France kutoka Paris; Swiss Air kutoka Zurich; Brussels Airlines kutoka Brussels nchini Ubelgiji; Lufthansa kutoka Frankfurt; na Kenya Airways kutoka London Heathrow au Amsterdam.
Kwa ujumla, Shirika la Ndege la Kenya huchukua chini ya masaa tisa usiku mzima kutoka London hadi Nairobi, ambayo inaunganisha kufika Dar es Salaam.
Ikiwa unataka kuja Dar es Salaam, basi vinginevyo unaweza kuunganisha kupitia Cairo na Egypt Air; kupitia Dubai na Emirates; kupitia Abu Dhabi na Etihad Airways; kupitia Addis Ababa na Shirika la ndege la Ethiopia.
View attachment 1727882
Pia abiria anaweza kupitia Muscat na Oman Air; au kupitia Doha na Qatar Airways. Baadhi ya mashirika haya ya ndege pia yana njia zinazoingia Kilimanjaro na Zanzibar.
SWALI LANGU: Nini kiliua safari za moja kwa moja (Direct Flights) za mashirika ya ndege ya Ulaya kama kama Scandinavian Airlines (SAS) pamoja na Lufthansa ya Ujerumani? Mbona mkongwe KLM bado anakuja Tanzania?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ninasikitika kukwambia ya kwamba haujui hata Scandinavian Airlines System (SAS) pamoja na Lufthansa ziliacha lini kuja Tanzania. Unachowaza wewe ni siasa za hovyo tu muda wote. Pole sana mkuu.Dunia haikuwa tayari kufanya biashara na MWENDAZAKE
CHADEMA umekurupukaDunia haikuwa tayari kufanya biashara na MWENDAZAKE
Sawa angalia mama kila siku mara barozi mara njeCHADEMA umekurupuka
Mwendazake ndio nani? Maana yake ni ipi?Dunia haikuwa tayari kufanya biashara na MWENDAZAKE
Aliwanyoosha sana MWENDAZAKEDunia haikuwa tayari kufanya biashara na MWENDAZAKE
Na kamwe haitafanya biashara na chademaDunia haikuwa tayari kufanya biashara na MWENDAZAKE
Usiaibishe kabila langu chadema ni kampuni ya kibiashara? Mi wahaya wasiosoma kama ww wananiudhi sana si mbaki bukoba tuwalee bureNa kamwe haitafanya biashara na chadema
Acheni kuweweseka nyie Wapinzani. Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu.Unajua ni kwanini Rais Samia anamshinda Tundu Lissu? Ni kwa sababu yule kiwete wa Ubelgiji hana jipya na watanzania wamechoka kelele zake
Rais mzalendo Samia anatosha. Tundu Lissu endelea kulelewa na mabeberu huko Ulaya.Acheni kuweweseka nyie Wapinzani. Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu.
20k ndo unalia?? Kama ulijilengesha mwenyew huo ni uzembe wakoMimi nimeibiwa 20,000/= na demu mmoja wa humu humu
Hii Nchi inahitaji mtu jasiri kama Rais Samia.Rais mzalendo Samia anatosha. Tundu Lissu endelea kulelewa na mabeberu huko Ulaya.
Sawa mkuuMara nyingi ndege uvunja route kama inaonekana hakuna abiria wa kutosha kwenye hiyo route. Baada ya vulu-vulu zilizotokea hapa katikati hatuna uwekezaji mkubwa kutoka Ulaya na sisi kiwango cha biashara tunachofanya nao ni kdogo sana hivyo kuto-attract movement kubwa ya vitu na watu.
Hapa Tanzania ni watu wachache wanaweza ku-afford products za Ulaya, wengi tunajisalimisha kweye mediocre stuff from Asia. Wazungu wa Ulaya wanaokuja huku sanasana ni utalii ambao pia kwenye destination hiyo bado tunajikongoja, ingawaje Zanzibar wanafanya vizuri ku-attract Wazungu wa Ulaya.
Swiss (sio Ulaya)?Mambo vp jamiiforums.
Nini kiliua safari za moja kwa moja (Direct Flight) za kuja Tanzania kwa mashirika ya ndege ya Ulaya kama Scandinavian Airlines System (SAS) pamoja na Lufthansa ya Ujerumani? Mbona mkongwe mwenzao KLM bado anakujaga?
==========
View attachment 1727879
==========
Jana nikiwa nimepaki gari yangu (Taxi Bubu) hapa kijiweni nilipigiwa simu kwenda kuchukua abiria mmoja pale uwanja wa ndege wa mwalimu Nyerere (JNIA) alikuwa anatokea hukoooo majuu.
Sasa wakati ninasoma vijarida kadhaa pamoja na kupiga stories na abiria pamoja na ndugu waliokuja kupokea wenzako pale sehemu ya kusubiria, nikajifunza mambo yafuatayo.
Kuna njia mbili tu za moja kwa moja kutoka Ulaya hadi Tanzania kwa njia ya ndege. Kwanza kuna KLM (Royal Dutch Airlines) ambayo huruka kila siku kuja Dar es Salaam kutoka Amsterdam nchini Uholanzi.
View attachment 1727881
Njia ya pili ni kupitia shirika la ndege la Uturuki kutoka Istanbul uwanja wa ndege wa Ataturk. Vinginevyo wasafiri kutoka Ulaya wanaweza kupanda ndege kwenda Nairobi. Halafu Kenya Airways inakujaga karibia kila siku huku Dar/Tanzania.
Mashirika yanayokwenda Nairobi ni pamoja na British Airways kutoka London Heathrow; Air France kutoka Paris; Swiss Air kutoka Zurich; Brussels Airlines kutoka Brussels nchini Ubelgiji; Lufthansa kutoka Frankfurt; na Kenya Airways kutoka London Heathrow au Amsterdam.
Kwa ujumla, Shirika la Ndege la Kenya huchukua chini ya masaa tisa usiku mzima kutoka London hadi Nairobi, ambayo inaunganisha kufika Dar es Salaam.
Ikiwa unataka kuja Dar es Salaam, basi vinginevyo unaweza kuunganisha kupitia Cairo na Egypt Air; kupitia Dubai na Emirates; kupitia Abu Dhabi na Etihad Airways; kupitia Addis Ababa na Shirika la ndege la Ethiopia.
View attachment 1727882
Pia abiria anaweza kupitia Muscat na Oman Air; au kupitia Doha na Qatar Airways. Baadhi ya mashirika haya ya ndege pia yana njia zinazoingia Kilimanjaro na Zanzibar.
SWALI LANGU: Nini kiliua safari za moja kwa moja (Direct Flights) za mashirika ya ndege ya Ulaya kama kama Scandinavian Airlines (SAS) pamoja na Lufthansa ya Ujerumani? Mbona mkongwe KLM bado anakuja Tanzania?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.