Nini kiliua safari za moja kwa moja za mashirika ya ndege ya Ulaya kama Scandinavian Airlines na Lufthansa?

Watanzania wasiokua na uzalendo kwa kushirikiana na kenya walifanya hiyo kitu ili kuufanya uwanja wa ndege wa jomo kenyata uwe busy na hapo kenya itumie nafasi hiyo kukuza shirika lao la ndege
 
Landing fee ni kubwa sana.. Fikiria Turkish airlines inatua KIA inakaa masaa mawili wanalipishwa hela nyingi sana..
Wanachofanya kupitia agents wao wa Arusha na Kilimanjaro ni kuconnect abiria wapandie Jomo Kenyatta JKIA..
Mpaka serikali ije kustuka labda mwaka 2090
 
Unajua ni kwanini Rais Samia anamshinda Tundu Lissu? Ni kwa sababu yule kiwete wa Ubelgiji hana jipya na watanzania wamechoka kelele zake
 
Sawa mkuu
 
Swiss (sio Ulaya)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…