Nini kiliua safari za moja kwa moja za mashirika ya ndege ya Ulaya kama Scandinavian Airlines na Lufthansa?

Madege ya zamani [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SABENA ni aje
 
Huu uzi wako uliuanzisha siku muhimu sana!
 
Kwa umeme upi?
 
9. Air Zanzibar
10. Air Pemba
 
France Air anategemea kuridisha Route ya kutoka Paris Direct to Dar, Kwasasa France Air ameungana na KLM wanafanya kazi kwa pamoja.

Hata ivyo ndege nyingi zinategemewa kuleta safari zake hapa Dar Es Salaam mwishoni mwa mwaka huu mpaka mwakani..

Hapa juzi mwezi wa 4 Saudi Arabia kaanzisha Route yake kuja Dar na anaendele kufanya vizuri katika Soko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…