balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Kama ni satire sawa,ila yule ni Dotto James nduguye Hery James.Dotto Biteko ni mwingineKuondoa au kupunguza kelele za "amemweka mkwe wake pale"
Hata Magu angewezaga tu kumtoa mpwa wake Dotto Biteko pale Fedha kama PayMaster ili kuondoa kelele zile tunazozikumbuka sana...
Lakini yule mzee alikuwa kichwa ngumu kweli na ndiyo akajiita "JIWE..!"
Mtoto wa mwasisi wa chama kipi?Kwahiyo Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa Chadema kwa sababu ya kuowa mtoto wa mwasisi wa chama?
Na Mbowe siyo mtoto wa Mtei.Mbowe ni mtoto wa Aikaeli Mbowe mfadhili wa TANU.Could have been a contributing factor; kwani Mtei Ndio mwanzilishi wa Chadema!!!
Kwa hiyo hata kuongeza mke kama Jaffo hataweza! Atabaki na kamke kamoja tuu,Dah!Mchengerwa atafua, kupika na kuosha vyombo. Na kuchelewa kurudi nyumbani marufuku.
Hiyo Ni indiketa aseme nyee nyee aone.
Ndio raha ya kukata kiuno kwa faida sio unahangaika na wakwe masikini kila siku wanakulilia njaa na binti yao analeta kiburi wakati ulimuoa kwa mahari ya debe la asali na Jogoo mmoja.Mkwe wa Bi TOZO.
Hivi mama si ana binti moja au sio. Na moja ya picha zimetrend wiki hii zinaonyesha kijana wa Dr. Shein kaoa binti wa mama?Akiwa nyumbani alijaribu kumpiga mtoto wa mama kwhyo mtoto kaenda kushtaki kwa mama yake Ikulu na mama kampa Mchengerwa last warning na kumuondoka katika wizara ya karibu na yeye
Aongeze mke?Kwa hiyo hata kuongeza mke kama Jaffo hataweza! Atabaki na kamke kamoja tuu,Dah!
Ashapigwa PinAongeze mke?
Hebu sema Tena?
Hana binti mmoja, Kuna binti yake mmoja kaolewa na mnyamwezi wa TaboraHivi mama si ana binti moja au sio. Na moja ya picha zimetrend wiki hii zinaonyesha kijana wa Dr. Shein kaoa binti wa mama?
Kumbe Hery James Ni wale wale anamwita mwendakuzimu mjomba. Ndio maana dogo alikua na kiburi Cha kupitiliza. Ni muda muafaka wa kujitafakari maana taa imezimikaKama ni satire sawa,ila yule ni Dotto James nduguye Hery James.Dotto Biteko ni mwingine
Hii wizara bora angepewa makamu wa rais, sioni kazi zake au ingekuwa idara tu kwenye wizara ya elimu.Ameonyesha uwezo mzuri kwenye Wizara aliyopewa mara ya kwanza kabisa kuiongoza na ndio maana wizara hii mpya ya Sanaa, utamaduni na Michezo nayo ni mpya hivyo yawezekana Rais ana maana yake .
Angeweza kumpa kokote Ila amempeleka kama Waziri kamili anajua pale hakuna kelele sana apumzike ale kimya.
Hata ingekuwa mimi ningefurahi kupelekwa kwenye michezo kwanza panakuweka karibu na wananchi kupitia michezo yaani unakutana na watu wakiwa kwenye raha tupu ni fulu kuwapa shangwe unajipatia umaarufu bila jasho.
Huko kwenye mambo magumu utakutana na majungu kila siku. Hapo anakula kimyakimya na mshahara ni wa Waziri hauna presha.
Hata madili yapo Kuna ujenzi wa viwanja vya watoto, Makumbusho nk hizo ni deal hazina presha hakuna atakayelalamika kuhusu tozo.
Ni sababu hatujaweka kipaumbele kwenye michezo kama moja ya sekta kubwa inayochangia mapato na kama sekta inayoweza kunyanyua sekta nyingine Kama utalii wa kimichezo, cultural tourism etc.Hii wizara bora angepewa makamu wa rais, sioni kazi zake au ingekuwa idara tu kwenye wizara ya elimu.
Lile shangazi kaja pia jaji alilikata kulipokea😂😂😂Alimwingiza Mama mkenge
Kwamba wanaushahidi mzito dhidi ya Mbowe.
Mpaka sasa kidhibiti muhimu ni Shangazi kaja.
Majaji wameibeba Jamhuri imefika mahali wamechoka.
Masauni?Namshangaa huyo jamaa anayesema kina fulani wapole!
Upole gani wakati wengine wanajulikana kwa unoko?!
Anaumuhimu gani kwanini hakutolewa kabisa... Kwenye baraza la mawaziri?Amepewa salaam kwamba hapa tunaendesha nchi
Manjagu ndio mafisadi? Maana yule bwana hajui kupepesaKuna ukweli hapa
Wachaaa! Sema basTena ashukuru mama ana huruma maana kosa alilofanya alistahiri kuwa tu mjumbe wa
nyumba kumi
Mbona nilisikia hata yeye ni tiss? Na alikua kwenye kitengo cha waziri mkuu kipindi kile wanamfundisha dini cjui?Alikuwa haelewani na TISS jamaa hakuwa na maadili ya kazi TISS walikuwa wanalalamika sana hakuweza kuwasaidia. Kifupi hiyo wizara imemfaa sana muache akate viuno mtoto wa kibiti.