Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
sasa kwanini kudhalilishana mbele za watu pale kwamba na mkewe hawapo vizuri, na hawaishi pamoja. hawa wachungaji kwanini wasitunze siri za victims?
Vikizidi Mwenyezi Mungu huamua kuaibisha maadui na watesi wa mtu .