Nini kimemkuta Waziri wa zamani na Wakili Msomi, Lawrence Masha hadi kufika kwa “Kiboko ya Wachawi”?

Nini kimemkuta Waziri wa zamani na Wakili Msomi, Lawrence Masha hadi kufika kwa “Kiboko ya Wachawi”?

kwa mtu aliyewahi fika peak ya mafanikio yake then ukafuata mdororo full msoto hawezi mshangaa Masha. Mpambanaji sasa haelewi ashike lipi, hapo kila mmoja na ushauri wake. Ila ipo siku atatoboa tu, japo inaweza isiwe namna alivyokuwa kabla, ila umri bado unamruhusu kufanya makubwa na kuishi vizuri.
Mimi maskini mla mihogo huwa nawaza sana inakuwaje mtu ulikuwa billionaire unakuja kufilisika mpaka hutamaniki! Shida huwa ni nini?
 
Mimi maskini mla mihogo huwa nawaza sana inakuwaje mtu ulikuwa billionaire unakuja kufilisika mpaka hutamaniki! Shida huwa ni nini?
wapi unawekeza, kiasi gani gani unawekeza ndio uwa changamoto kubwa, mfano masha aliuza assets zake ili anunue fastjet akiamini kwamba Magu hakupenda wazungu ndio maana akawanyima leseni fastjet, kumbe Magu alijua uwepo wa fastjet Air Tanzania isingetoboa..... yaliyomkuta ndio hayo, bahati mbaya amenunua shares za fastjet ambayo haikuwa na assets, ndege walikuwa wanakodi tu.
 
Ni mataokeo ya Magufuli kutaka kuuwa mashirikia mengine ya ndege ikwapo Fastjet na Precision Air. Alifanikiwa kuuwa Fastjet ambayo Masha alikuwa mdau mkubwa nadhani hiyo ndio imempiga shoti Masha kutamani kufa kabisa kuliko kuishi.
Unaweza kuelezea Magufuli aliuwaje FastJet?
Au alitakaje kuuwa Precision Air?
 
Aliwekeza pesa zake nyingi kwenye ule mradi wake wa FastJet baada ya kuuza asset zake, bahati mbaya serikali ikaja kumuondoa relini.
Mwendazake anahusika kummaliza,aende kwa Kizmkazi Mzee wa kunyanyasa watu kwao zenji akamuone ampe mkanda mzima anaweza mchukulia furushi Moja la yule wa TRA akamwinua
 
Nini kimemkumba Lawrence Masha? Nimeshangaa sana kukutana na hii video ikizunguka mtandaoni eti yupo kwa huyu anayejiita Pastor, Kiboko ya Wachawi sijui.

Naelewa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka lakini inakuwaje mtu msomi kama Masha mwenye Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kutoka Kituo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Georgetown na Shahada ya Kwanza ya Sheria (LL.B Hons) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, anaishia kwenye masuala kama haya!

Je, anatumiwa na huyu anayejiita mchungaji au ni tangazo hili?


Masha alikuwa mtu mzito sana kwa kweli. Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Lyson Law Group na Tanga Cement, Managing Partner Gabriel & Co na IMMMA , Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana. Lakini pia alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa FastJet pamoja na nyadhifa nyingine nyingi alizokuwa nazo.

Pia soma;
1. Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar
2. Lawrence Masha amiliki asilimia 68 ya hisa Kampuni ya Fastjet Tanzania
3. Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano
4. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha akamatwa na Polisi
5. Logical conclusion ni kuwa Lawrence Masha siyo msafi
6. Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!
Hawa manabii wengi wanatangulizwa mbele lakini hiz ni biashara za watu stukeni watz. Mnapigwa hela mchana kweupe.
 
Hata kama umesoma mpaka ukakuta kibao mbele yako "no class ahead ". Uchawi unakukung'uta tu. Waliofanikiwa wengi ni washirika katika ulimwengu wa roho.
 
Nawakumbusha Malipo ni hapa hapa Duniani............

Kuna watu wataishi miaka mingi duniani wakizani Mungu anawapenda kumbe anataka kukuonesha machungu ya watesi wako uliowaonea vibaya mno ili ujue kumbe Mungu yupo........

Kuna mzee mmoja mtaani hapa alikuwa dhuluma now hata kifo kimemkimbia japo anakitaman maana sio kwa msoto wa kuoza mwili mzima huku yupo hai
Diy hatari sana
 
Hata mgombane vipi mke na mume nashauri kutaka kuuana aisee hapana.
Dunia haina Siri .
Watoto na wazazi na ndugu wa mume wakija kujua unazani wata react vipi??
Huyo masha anavimeo vingi sana vichafu. Kuna wakati alipata pesa mingi na kuwa waziri wa mambo ya ndani akam-dump mkewe wa ujanani akaoa huyo mwanamke ambaye anamtesa sasa. Harusi iluwa ya "Nguvu" kubwa...
 
Huyo masha anavimeo vingi sana vichafu. Kuna wakati alipata pesa mingi na kuwa waziri wa mambo ya ndani akam-dump mkewe wa ujanani akaoa huyo mwanamke ambaye anamtesa sasa. Harusi iluwa ya "Nguvu" kubwa...

Sawa kama ni malipizi Basi kuna funzo atalipata kupitia hiyo kadhia.
Mwanamke akikupendea wakati ukiwa na Hela au cheo jua siku ukikosa hayo atainuka kuwa adui yako.
Atakutafutia sababu tu ilimradi.
 
Angalia mauaji ya watoto sasa hivi ndio utaelewa


Kama hajawahi kuua mtu yeyote, kama hajadhurumu mtu bali ni mitihani tu ya Dunia Mungu atamuinua Tena.
Muhimu kuna funzo la kujifunza.

Kama alikuwa na ego Mungu anamfumdisha kuwa kinyume chake.
N.k
 
Huyo masha anavimeo vingi sana vichafu. Kuna wakati alipata pesa mingi na kuwa waziri wa mambo ya ndani akam-dump mkewe wa ujanani akaoa huyo mwanamke ambaye anamtesa sasa. Harusi iluwa ya "Nguvu" kubwa...
!
Hayupo hapa kuhukumu yeyote maana hatuujui Ukweli wote.
Unawezakuta huyo mke wa awali nae alikuwa ni miongoni mwa wale wanawake wapumbavu wanasemwa kwenye Biblia, Pengine hakuwa na hekima ktk ku deal na mambo yao ya ndoa,
Lakini naamini hili nalo litapita salama , Mungu atamrejeshea yale alopoteza, na kujifunza atakuwa amejifunza.
 
Nini kimemkumba Lawrence Masha? Nimeshangaa sana kukutana na hii video ikizunguka mtandaoni eti yupo kwa huyu anayejiita Pastor, Kiboko ya Wachawi sijui.

Naelewa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka lakini inakuwaje mtu msomi kama Masha mwenye Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kutoka Kituo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Georgetown na Shahada ya Kwanza ya Sheria (LL.B Hons) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, anaishia kwenye masuala kama haya!

Je, anatumiwa na huyu anayejiita mchungaji au ni tangazo hili?


Masha alikuwa mtu mzito sana kwa kweli. Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Lyson Law Group na Tanga Cement, Managing Partner Gabriel & Co na IMMMA , Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana. Lakini pia alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa FastJet pamoja na nyadhifa nyingine nyingi alizokuwa nazo.

Pia soma;
1. Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar
2. Lawrence Masha amiliki asilimia 68 ya hisa Kampuni ya Fastjet Tanzania
3. Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano
4. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha akamatwa na Polisi
5. Logical conclusion ni kuwa Lawrence Masha siyo msafi
6. Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!


Ktk hali ya kawaida ingetarajiwa mwanamke kumpa mumewe faraja na kumtiamoyo wakati Mwanaume anapofilisika na kukosa kazi, au kupitia mitihani ya mambo magumu
Lakini badała yake imekuwa kinyume chake,
Mke ndio anakuwa sababu ya mume kukosa usingizi, kukosa amani, kuugua presha na kisukari kwa Maneno na kelele zisizoisha usiku na mchana na kutishia kuachana 👌👌👌

Kumtafutia Mwanaume vijisababu vya kumpigia makele na kumtushia Kuachana.

Inasikitisha sana .

Usiombe kupitia hali hiyo.
 
Back
Top Bottom