Nini kimemkuta Waziri wa zamani na Wakili Msomi, Lawrence Masha hadi kufika kwa “Kiboko ya Wachawi”?

Nini kimemkuta Waziri wa zamani na Wakili Msomi, Lawrence Masha hadi kufika kwa “Kiboko ya Wachawi”?

Tatizo ni kama Kasema uongo lakini kama iwapo alichosema ni ukweli ni afadhali kwa Lawrence itampa kuchukua tahadhari.

Awareness is empowering.

Nabii ni kama mkwezi tu lakini nazi imeliwa na mwezi ( mtesi )👌
Ndugu Optimist, alichoongea Nabii ni kweli, kwa sababu amehadithiwa kila kitu na Bwana Lawrence...

Hapo mwishoni nabii maekili hayo.

Nabii anaongea mbele ya kadamnasi kana kwamba anayoyaongea anayatoa from no where!!

Dah, sasa hadhira inavosikia nabii akitaja tarehe ya kuzaliwa... Kumbe kaambiwa na muhusika ofisini... 🤣🤣
 
UJINGA WA MWAFRIKA_page-0001.jpg
 
Promo Masha ukimpa laki anakuja kujichorosha maana maisha yanamuandama sana , kule Mtapeli wa Freemason walimchukua Mr . Nice kwa bei che awapigie promo ...Huwezi kumchukua mtu akiwa kweny prime ni pesa ndefu
 
Kuna wakati kwenye maisha kila unachofanya kinatick na kuna kipindi mambo yanaenda vibaya kila sehemu kiasi kwamba unahisi kunauwezekano kuna mtu/watu wapo nyuma yako wanajaribu kukuangusaha nahisi ndicho anacho pitia ndugu Masha.
Mwenyezi Mungu ampe hekima na uvimilivu katika kipindi hiki
 
Kuna uzi uliletwa leo na mdau mmoja kuhusu jamaa huko kenya aliyeua wanae, mkewe na kisha yeye kujiua kwa kuwa alikuwa ana mambo haya haya ya kushirikiana na manabii uchwara.

Kisha akaingizwa kingi na mali zake kutaifishwa.

Religion is the drug, religious leaders are the dealers their followers are the addicts.

Waathirika wa imani uchwara hawana tofauti na waathirika wa madawa ya kulevya.
Ni kweli izi imani za manabii ni hatari sana ukizid kuziamn.
 
Nawakumbusha Malipo ni hapa hapa Duniani............

Kuna watu wataishi miaka mingi duniani wakizani Mungu anawapenda kumbe anataka kukuonesha machungu ya watesi wako uliowaonea vibaya mno ili ujue kumbe Mungu yupo........

Kuna mzee mmoja mtaani hapa alikuwa dhuluma now hata kifo kimemkimbia japo anakitaman maana sio kwa msoto wa kuoza mwili mzima huku yupo hai
 
Nini kimemkumba Lawrence Masha? Nimeshangaa sana kukutana na hii video ikizunguka mtandaoni eti yupo kwa huyu anayejiita Pastor, Kiboko ya Wachawi sijui.

Naelewa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka lakini inakuwaje mtu msomi kama Masha mwenye Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kutoka Kituo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Georgetown na Shahada ya Kwanza ya Sheria (LL.B Hons) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, anaishia kwenye masuala kama haya!

Je, anatumiwa na huyu anayejiita mchungaji au ni tangazo hili?


Masha alikuwa mtu mzito sana kwa kweli. Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Lyson Law Group na Tanga Cement, Managing Partner Gabriel & Co na IMMMA , Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana. Lakini pia alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa FastJet pamoja na nyadhifa nyingine nyingi alizokuwa nazo.

Pia soma;
1. Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar
2. Lawrence Masha amiliki asilimia 68 ya hisa Kampuni ya Fastjet Tanzania
3. Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano
4. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha akamatwa na Polisi
5. Logical conclusion ni kuwa Lawrence Masha siyo msafi
6. Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!
Viongozi wengi watanzania ingawa wamesoma na wana uwezo mzuri lakino jambo moja ni kuwa Ba Kubebwa na Mfumo hawatoboi hata siku moja.

Adv Lau ameenda kwa waganga kutafuta bahati yake.
 
Back
Top Bottom