Nini kimemkuta Waziri wa zamani na Wakili Msomi, Lawrence Masha hadi kufika kwa “Kiboko ya Wachawi”?

Nini kimemkuta Waziri wa zamani na Wakili Msomi, Lawrence Masha hadi kufika kwa “Kiboko ya Wachawi”?

Nini kimemkumba Lawrence Masha? Nimeshangaa sana kukutana na hii video ikizunguka mtandaoni eti yupo kwa huyu anayejiita Pastor, Kiboko ya Wachawi sijui.

Naelewa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka lakini inakuwaje mtu msomi kama Masha mwenye Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kutoka Kituo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Georgetown na Shahada ya Kwanza ya Sheria (LL.B Hons) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, anaishia kwenye masuala kama haya!

Je, anatumiwa na huyu anayejiita mchungaji au ni tangazo hili?


Masha alikuwa mtu mzito sana kwa kweli. Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Lyson Law Group na Tanga Cement, Managing Partner Gabriel & Co na IMMMA , Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana. Lakini pia alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa FastJet pamoja na nyadhifa nyingine nyingi alizokuwa nazo.

Pia soma;
1. Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar
2. Lawrence Masha amiliki asilimia 68 ya hisa Kampuni ya Fastjet Tanzania
3. Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano
4. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha akamatwa na Polisi
5. Logical conclusion ni kuwa Lawrence Masha siyo msafi
6. Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!
Kwanini umeshangaa sasa? Inamaana kwakua ni msomi hapaswi kuabudu?

Anyway, but jana kuna pahala nilisema, haya maswala ya imani huwa hayaeleweki sana na watu ambao wako stable kimaisha yaani watu ambao hawajapungukiwa na chochote but once masahibu yanapokuchapa kisawa sawa basi usipoangukia kwa waganga lazima utaangukia kwenye hayo makanisa ya kiroho.

Kila anaemtafuta Mungu, jua ako na historia za tofauti na ngumu sana na mambo ya hapa duniani hasa ukiachana na wale ambao wamezaliwa kwenye misingi hiyo ya kiimani.
 
Nini kimemkumba Lawrence Masha? Nimeshangaa sana kukutana na hii video ikizunguka mtandaoni eti yupo kwa huyu anayejiita Pastor, Kiboko ya Wachawi sijui.

Naelewa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka lakini inakuwaje mtu msomi kama Masha mwenye Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kutoka Kituo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Georgetown na Shahada ya Kwanza ya Sheria (LL.B Hons) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, anaishia kwenye masuala kama haya!

Je, anatumiwa na huyu anayejiita mchungaji au ni tangazo hili?


Masha alikuwa mtu mzito sana kwa kweli. Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Lyson Law Group na Tanga Cement, Managing Partner Gabriel & Co na IMMMA , Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana. Lakini pia alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa FastJet pamoja na nyadhifa nyingine nyingi alizokuwa nazo.

Pia soma;
1. Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar
2. Lawrence Masha amiliki asilimia 68 ya hisa Kampuni ya Fastjet Tanzania
3. Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano
4. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha akamatwa na Polisi
5. Logical conclusion ni kuwa Lawrence Masha siyo msafi
6. Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!
Ni upumbavu wa Watanzania! Halafu huwa kuna hohehahe mmoja humo kanisani huwa anaropoka kwa nguvu aminaaaa! Ananiudhi sana! Masha anajikabidhi kwa shetani!
 
kwa mtu aliyewahi fika peak ya mafanikio yake then ukafuata mdororo full msoto hawezi mshangaa Masha. Mpambanaji sasa haelewi ashike lipi, hapo kila mmoja na ushauri wake. Ila ipo siku atatoboa tu, japo inaweza isiwe namna alivyokuwa kabla, ila umri bado unamruhusu kufanya makubwa na kuishi vizuri.
 
Nini kimemkumba Lawrence Masha? Nimeshangaa sana kukutana na hii video ikizunguka mtandaoni eti yupo kwa huyu anayejiita Pastor, Kiboko ya Wachawi sijui.

Naelewa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka lakini inakuwaje mtu msomi kama Masha mwenye Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kutoka Kituo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Georgetown na Shahada ya Kwanza ya Sheria (LL.B Hons) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, anaishia kwenye masuala kama haya!

Je, anatumiwa na huyu anayejiita mchungaji au ni tangazo hili?


Masha alikuwa mtu mzito sana kwa kweli. Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Lyson Law Group na Tanga Cement, Managing Partner Gabriel & Co na IMMMA , Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana. Lakini pia alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa FastJet pamoja na nyadhifa nyingine nyingi alizokuwa nazo.

Pia soma;
1. Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar
2. Lawrence Masha amiliki asilimia 68 ya hisa Kampuni ya Fastjet Tanzania
3. Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano
4. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha akamatwa na Polisi
5. Logical conclusion ni kuwa Lawrence Masha siyo msafi
6. Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!
Haya siyo maigizo kweli!!
 
Nini kimemkumba Lawrence Masha? Nimeshangaa sana kukutana na hii video ikizunguka mtandaoni eti yupo kwa huyu anayejiita Pastor, Kiboko ya Wachawi sijui.

Naelewa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka lakini inakuwaje mtu msomi kama Masha mwenye Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kutoka Kituo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Georgetown na Shahada ya Kwanza ya Sheria (LL.B Hons) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, anaishia kwenye masuala kama haya!

Je, anatumiwa na huyu anayejiita mchungaji au ni tangazo hili?


Masha alikuwa mtu mzito sana kwa kweli. Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Lyson Law Group na Tanga Cement, Managing Partner Gabriel & Co na IMMMA , Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana. Lakini pia alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa FastJet pamoja na nyadhifa nyingine nyingi alizokuwa nazo.

Pia soma;
1. Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar
2. Lawrence Masha amiliki asilimia 68 ya hisa Kampuni ya Fastjet Tanzania
3. Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano
4. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha akamatwa na Polisi
5. Logical conclusion ni kuwa Lawrence Masha siyo msafi
6. Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!
Majibu....

1. Ni Mmoja wa Mfadhili wa huyo Tapeli wakiwemo na Wateule Wanne wa Mama yenu katika Serikali hii
2. Hapa anamtafutia Soko zaidi kwakuwa anajua Watu wengi watavutika kwenda kwa huyo Tapeli wakisikia nae kaenda
3. Ni mkakati Maalum wa Kutuhamisha Watanzania hasa Kimatukio kwakuwa wanajua tunapenda Matukio

Kila la Kheri.....!!
 
Malipo Ni hapa hapa.
Imagine mtu aliyekua mkurugenzi Tanga cement na kumiliki shirika la ndege Leo anakwenda kwa waganga buza.
Karma is real.
Tembo hata akonde vipi hawezi kuwa kama sungura
Jamaa anaweza kuwa ametumia hiyo stage kumkaanga mkewe si unaona alivyo panda kibabe hapo 😄 polo tshirt na jeans hana habari
 
Nini kimemkumba Lawrence Masha? Nimeshangaa sana kukutana na hii video ikizunguka mtandaoni eti yupo kwa huyu anayejiita Pastor, Kiboko ya Wachawi sijui.

Naelewa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka lakini inakuwaje mtu msomi kama Masha mwenye Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kutoka Kituo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Georgetown na Shahada ya Kwanza ya Sheria (LL.B Hons) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, anaishia kwenye masuala kama haya!

Je, anatumiwa na huyu anayejiita mchungaji au ni tangazo hili?


Masha alikuwa mtu mzito sana kwa kweli. Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Lyson Law Group na Tanga Cement, Managing Partner Gabriel & Co na IMMMA , Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana. Lakini pia alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa FastJet pamoja na nyadhifa nyingine nyingi alizokuwa nazo.

Pia soma;
1. Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar
2. Lawrence Masha amiliki asilimia 68 ya hisa Kampuni ya Fastjet Tanzania
3. Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano
4. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha akamatwa na Polisi
5. Logical conclusion ni kuwa Lawrence Masha siyo msafi
6. Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!
Okay
 
Kwa video hiyo, nilikuwa nimeanza kuingia kwenye reli ya kumuamini bwana nabii, kiboko ya uchawi... Mpaka hapo mwishoni aliposema kuwa kumbe wamekwishazungumza ofisini.... Nilijua hawajuani na hawajaonana kabisa... Tunapigwa mazee, tunapigwa!!
Toka mwanzo tu unajua tu nabii alikua na info za kutosha kumhusu jamaa.

Na usomi wake anapigwa kijinga ivo, ila kwa muonekano wa sura tu anaonekana ana stress sana, uso umesawajika mno.
Watoto wake watakua wanajisikiaje kuona baba akimiminiwa futa na nabii uchwara.
 
Nini kimemkumba Lawrence Masha? Nimeshangaa sana kukutana na hii video ikizunguka mtandaoni eti yupo kwa huyu anayejiita Pastor, Kiboko ya Wachawi sijui.

Naelewa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka lakini inakuwaje mtu msomi kama Masha mwenye Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kutoka Kituo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Georgetown na Shahada ya Kwanza ya Sheria (LL.B Hons) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, anaishia kwenye masuala kama haya!

Je, anatumiwa na huyu anayejiita mchungaji au ni tangazo hili?


Masha alikuwa mtu mzito sana kwa kweli. Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Lyson Law Group na Tanga Cement, Managing Partner Gabriel & Co na IMMMA , Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana. Lakini pia alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa FastJet pamoja na nyadhifa nyingine nyingi alizokuwa nazo.

Pia soma;
1. Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar
2. Lawrence Masha amiliki asilimia 68 ya hisa Kampuni ya Fastjet Tanzania
3. Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano
4. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha akamatwa na Polisi
5. Logical conclusion ni kuwa Lawrence Masha siyo msafi
6. Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!
Mapito ya kimaisha tu......
 
Nini kimemkumba Lawrence Masha? Nimeshangaa sana kukutana na hii video ikizunguka mtandaoni eti yupo kwa huyu anayejiita Pastor, Kiboko ya Wachawi sijui.

Naelewa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka lakini inakuwaje mtu msomi kama Masha mwenye Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kutoka Kituo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Georgetown na Shahada ya Kwanza ya Sheria (LL.B Hons) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, anaishia kwenye masuala kama haya!

Je, anatumiwa na huyu anayejiita mchungaji au ni tangazo hili?


Masha alikuwa mtu mzito sana kwa kweli. Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Lyson Law Group na Tanga Cement, Managing Partner Gabriel & Co na IMMMA , Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana. Lakini pia alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa FastJet pamoja na nyadhifa nyingine nyingi alizokuwa nazo.

Pia soma;
1. Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar
2. Lawrence Masha amiliki asilimia 68 ya hisa Kampuni ya Fastjet Tanzania
3. Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano
4. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha akamatwa na Polisi
5. Logical conclusion ni kuwa Lawrence Masha siyo msafi
6. Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!

G7 ya Rose Garden baadae 777, imesambaratika na wengi wameenda nayo kama walivyotengeneza. Nafikiri ilikuwa kama mbeba chuma anayefanya mazoezi ya kujaza kifua na kuacha miguu ikikondeana kama fito za kujengea nyumba ya nyasi.
Teke lilipokuja, ni kuanguka. Si Masha peke yake, bali kundi zima ni kama limepotelea mbali. Wengi hawaeleweki kabisa.
Kweli maisha ni safari, ila tunavuna tunayopanda. hakuna mchawi ila tunajiroga wenyewe. Mtu mwenye akili zake anayeenda kupiga ramli chonganishi anajidharaulisha na kuwa kituko.
Sasa naamini IMMA ilijengwa kimkakati na kuna uwezekano ilikuwa zaidi ya kampuni ya kisheria. Muda unazidi kusema yote. Kuanzia zile enzi za kashfa ya Meremeta, kuna maswali mengi hayakuwa na majibu.
Pole sana Lau. Pambana urudi kwenye mstari. Usiende kumsumbua mkeo eti anakuroga kumbe mchawi mwenyewe
 
Ni mataokeo ya Magufuli kutaka kuuwa mashirikia mengine ya ndege ikwapo Fastjet na Precision Air. Alifanikiwa kuuwa Fastjet ambayo Masha alikuwa mdau mkubwa nadhani hiyo ndio imempiga shoti Masha kutamani kufa kabisa kuliko kuishi.

JPM ametangulia mbele ya haki miaka mitatu sasa. Ina maana hana namna ya kuweka mambo sawa mpaka leo? Basi sio mfanya biashara. Mbona alianzisha law firm nyingine nayo haieleweki?
 
Toka mwanzo tu unajua tu nabii alikua na info za kutosha kumhusu jamaa.

Na usomi wake anapigwa kijinga ivo, ila kwa muonekano wa sura tu anaonekana ana stress sana, uso umesawajika mno.
Watoto wake watakua wanajisikiaje kuona baba akimiminiwa futa na nabii uchwara.
Halafu mafuta yenyewe yamèchanganywa na mafuta ya maiti! Aibu sana Watanzania!
 
Back
Top Bottom