and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Wangewasha moto around hilo eneo hao nyuki wangepotea.Baadhi ya watu wanapigwa na butwaa wanashindwa kupata mbinu ya haraka ya kumsaidia. Hapo wangefanyaje kumuokoa?
Nyuki hawapendi sana moshi.