Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Umenikumbusha Kuna manzi mmoja nilikuwa nae rumu tunafurahia maisha wakati ule generation Z wa Kenya wakiandamana.Hamna mtanzania jasiri wewe ungekua jasiri ccm isingekua madarakani hivyo wewe nae mrembo tu kama hao
Akasema Tanzania hakuna Wanaume, ile kauli ilinifanya nichukie mno na nikaishia kumalizia hasira zote kwake.
Badala ya kwenda safari 3 nilihakikisha naenda 5 ili kuonesha Uanamme aliosema hatuna