and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Wangewasha moto around hilo eneo hao nyuki wangepotea.Baadhi ya watu wanapigwa na butwaa wanashindwa kupata mbinu ya haraka ya kumsaidia. Hapo wangefanyaje kumuokoa?
Nyuki wa kutumwa ukiwasha moto unafuatwa wewe ambae kiherehereWangewasha moto around hilo eneo hao nyuki wangepotea.
Wametumwa na nani?Nyuki wa kutumwa ukiwasha moto unafuatwa wewe ambae kiherehere
Kwenda huko,sasa nitaitoaje mwenyewe ikiwe nyie mmelegea kama magasho,acha kulegea legea mwanaume lazima uwe sharp.Hasira hizi ungezitumia kuitoa ccm madarakani ungekua wa maana sanaaa
Hahaha nyie si ndio mnazaa magasho au nani anayazaaKwenda huko,sasa nitaitoaje mwenyewe ikiwe nyie mmelegea kama magasho,acha kulegea legea mwanaume lazima uwe sharp.
Ukishuka kwenye Gari kazi unayo hao nyuki wa kutumwa ukiwa kiherehere unawavaaShuka kwenye gari au ondoa gari hapo nenda piga kelele omba msaada kwa watu kama wewe umeshindwa kutoa msaada! Wanaume gani nyie wajinga namna hiyo??
Basi endesha gari katafute msaada huko! Sio kukaa na kurecordUkishuka kwenye Gari kazi unayo hao nyuki wa kutumwa ukiwa kiherehere unawavaa
Ccm ndio sisi , ukisikia wakereketwa ndio tunaotawala hii nchi na ndio tumekupa uhuru uongee unavyojisikiaNitawale Mimi hapa bwana Ako sio unakua na hasira hasira Binti
Wameshindwa hata kupiga reverse na kuwapuliza Kwa exhaust hao jamaa Akili zao zimeganda, hao nyuki wangesambaa .Jamaa wamezingua sana
Kama walikuwa na gari ina maana walikuwa na Fire Extinguisher, wameshindwa hata kuitumia hiyo kuwafukuza hao Nyuki?
So sad 🙆
Kuna vingine usilaumu watu, sasa unataka mtu asiyejua ogelea akamuokoe anayezama?Yani simu zimetufanya tumekuwa mabongo zozo.... same wakati pancho latino anazama watu badala ya kumsaidia wao wako wanarekodi yani ni kama vile wanashindana nani atakuwa wa kwanza kupost. Limtu kiko ooh jamani ona ona jamani, anazama....
Shangaa akitokea mwizi sijui wanatoaga wapi motoNajuta kuangalia hiyo video.simu imefanya tukose utu.
Hapo mtu si manshirikiana kuwasha moto hata gazeti wakiyatupia hapo hao nyuki wanakimbia.
Hovyo sana hao jamaa, wamefanya mrembo apoteze maisha huku wao wakiangalia as if sio Wanaume wenzetu 🙌Wameshindwa hata kupiga reverse na kuwapuliza Kwa exhaust hao jamaa Akili zao zimeganda, hao nyuki wangesambaa .
Ubahiri ni aghari, unalala njaa wakati hela unayo! Watu wanayo hela ya kununua rungu dawa ya mbu lakini wanaona ubahiri kununua kheri afe binti wa watu!Kuna video inatrend mitandaoni ya msichana akishambuliwa na nyuki Mbweni huku jamaa wakiwa ndani ya gari ya chumba wanarekodi.
Kwa mlioiona na kujua hatma yake tunaomba mtujuze nini ilikuwa hatma ya yule dada?
View attachment 3088650
Hovyo sana hao jamaa, wamefanya mrembo apoteze maisha huku wao wakiangalia as if sio Wanaume wenzetu 🙌
sio wajinga wajinga tu hawa wanatengeneza viclip?View attachment 3088812
Muendelezo huu