Nini kimempata Rais Museveni, kwanini ameomba sheria ya kubana mapenzi ya jinsia moja ifanyiwe marekebisho, Mabeberu wamemchimba mkwara?

Nini kimempata Rais Museveni, kwanini ameomba sheria ya kubana mapenzi ya jinsia moja ifanyiwe marekebisho, Mabeberu wamemchimba mkwara?

View attachment 2595606

Afrika iliweza kushuhudia wiki chache zilizopita bunge la Uganda likipitisha muswada wa kutokomeza ushoga kimafia, Wengi tukaona Uganda awe mfano wa kuigwa na tukawapongeza sana kwamba ndio taifa la kuigwa katika suala la kulinda maadili yetu ya kiafrika.

Kilichobaki ilikuwa ni kumpasia pasi museveni amalizie kupitisha muswada huu uwe sheria, ilibaki tu saini ya Rais Museveni kufanya muswada huo uwe sheria, Kila mtu alijua Museveni ataipitisha fasta tu maana hata katika hotuba zake na vyombo vya kimataifa hamungunyi maneno wala kukwepesha, wala haogopagi chochote kusema hakuna watu wanaomkera kama wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na anatamani wasiwepo kabisa kwa namna yoyote.

La haula!! Museveni kagoma kusaini muswada huo, kaomba upitiwe upya, Museveni tunaemjua huyu au !?

Wabunge walipedekeza muswada huu adhabu za vifungo vya gerezani na kifo kwa wale wanaobaka lakini Museveni kwa sasa kapendekeza kuwe na rehab, rehab ni kama zile sober house za wenye uraibu.

Hakika ni kitu cha kushangaza maana ikumbukwe Raisi huyu alikuwa ni kichwa cha treni kuwa mstari wa mbele kutamani kabisa kuutokomeza ushoga hata kwa mbinu za kimafia , nini kimetokea mpaka kawa hivi ??

Conclusion: Hivi vitu viwe kimya kimya tu kama hapa bongo unawekwa ndani miaka 30 kimya kimya, kwa sasa kupiga kelele kwa wanaotoa misaada ni kutafuta attention unnecessary, ni mwendo wa kimya kimya tu

Adhabu ilikuwa iwe miaka 30 jela, kakataa kusaini ametaka iwe maisha jela!! Nenda kasome vyema maelezo yake.
 
Museven sio mtu wa kutoa "second chance".

Yule ni sultani aliyefeli maisha, ana ujasiri wa kufanya lolote ilimradi ajikoshe na kujipa sifa.

Sasa tulimuonya, na alionyeka. Tunashukuru anajua wakati sahihi wa kujisalimisha na kuweka silaha chini.

Angeendelea kuwashambulia watu wasio na hatia tusingesita kumdhibiti.

Kinyago cha kuchonga kile. Tena cha bei nafuu.
Kwa hiyo mashoga mlimuonya hakutaka kusikia ila leo ndo amejua nyinyi akina nani!?
 
Waafrika wengi ni wajinga sana kama wanyama hususani wabongo. Wengi walimsifia Museveni bila kujua nini kilikua kinaendelea Uganda!

Muswada ule haukupelekwq Bungeni na serikali ya Museveni bali ni mbunge mmoja ndie alipeleka mapendekezo hayo kama ambavyo mbunge yeyote anaweza kufanya hapa Tanganyika, baada ya muswada kupita Bungeni ndipo Rais husaini uwe sheria.

Sasa kwakua Muswada ule haukutokea serikalini kinyume na mazwazwa wengi walivyoamini ndipo Museveni kaomba marekebisho kama ilivyotangazwa.

Kuna a very thin line katika uwezo wa kufikiri kati ya mwafrika na mnyama.
Ukiwa na wewe mmoja wapo maana ni mwafrika tena mtanzania watu waoga waoga
 
The problems are Blacks tends to Fake,but whites do it for real.
And that's why early before they called our continent as a black continent,it was not just because of color but was because of our reasoning capabilities,if you stand upright doing things correctly without fear you will be called dictator,your government practicing dictatorship type of leadership.If practicing lazy affair type of leadership you head African persons complaining; brothers and sisters we need to recheck if not to rethinking ourselves where we have mess/we are messing. Africa the head of a bull.
Kujiweka uzunguni na kiingereza chako fyongo
 
Nyie vip hajasalimu mbona sheria imekua kali zaidi ama nyie mnaona vibaya
 
MaRais wengi, wanaikwepa adhabu ya kifo... Kipengele cha kifo anataka kifanyiwe marekebisho...
 
Acheni kukuza, anachotaka ni kuondoa kipengee cha kifo ili wasaidiwe kubadilika sio kuwaua.
 
Umeeleza mengi sana na umetoa kwa umakini km sio maumivu pia? Hii Dunia hatuwezi kuwa sawa kamweee, kuna kila tabakaa.

Ndo maana kuna tabia nyingi mbovu, kwahiyo wala kubaguliwa na kutengwa sio ajabu sana.

Muhimu ni hapo uliposema kusakamwa kwa sirini au wazi wazi, hii ndio tunayo pingaaa na tulipingaa hadi kina Noel wametoka huruu.

Haijalishi huko Muhimbili wamepitia udhalilishaji au mateso gani muhimu wako huruu kwa sasa, ktk maisha kuna mapito mengi mnoo,

Kikubwaaa tunachopinga ni serikali kukiukaa kanuni na taratibu, hiyo yote kufurahishaa baadhi ya kikundi cha watu. Nikukumbushee pia wanasema mla nyama za watu huwa haachi,

Leo wanasakamwa mashoga, wakishamalizwa hawa litatafutwaa kundi lingine la kusakamwaa ndipo mtakapojua nn sahiv watu wanachopigania.
Unajua ni kwanini watu wanaunga mkono serikali?

Ni kwa sababu mashoga wa Tanzania wengi wao wanaharibu wadogo zetu kwa makusudi.Ipo mifano ya mashoga wanaokuwadia vijana wa shule kwa mabasha.Juzi kati hapa kuna mashoga waliandaa event ya kuwafundisha watoto wa kiume jinsi ya kujiandaa kabla ya kwenda kuonana na mwanaume na vitu kama hivyo.

Mfano wewe hapa JF nimepitia post zako za nyuma nimekuta sehemu unafurahia watoto wa hostel na bwenin wakifiryanah.Hii inafanya watu wakuone mbaya na wakuchukie.

Mim pamoja na usomi wangu kidogo siamin ktk mashoga wakuzaliwa sbb mm ni mkristo na imani yangu inasema tofauti.

Ninachoamini kwa hakika ni kuwa wapo mashoga ambao ni matokeo ya kulawitiwa utotoni.

Wapo walioingia huko kwa kuponzwa na tamaa.

Sasa basi wale gays ambao leo hii ni gays kwa kufanyiwa ushetani utotoni na viongoz wetu wa dini au baba na wajomba zetu walitakiwa waunge tena kukemea ushoga kulazimishwa kwa watoto na vijana na sio kufurahia.

Kama gay kawa gay kwa kulawitiwa utotoni kwanin badala ya kutaka ushoga kuonekana kitu cha kawaida asifanye kampen ya kuifungua macho jamii kuwa msituchukie tuko hiv tulivyo sbb mmetutengeneza wenyewe.Msituchukie bali tushirikiane kuona tufanyaje ili watoto wengine wasifanyiwe kama tulivyofanyiwa sisi.Ikiwa hivi ni rahisi kuingiza hata hoja za kuzaliwa hivyo mtu ukaeleweka.

LOVE LEAD
Huwezi kuwa na upendo then ukafurahia kuona watoto na wadogo zetu wanaingizwa ktk ushoga kisa kifo cha wengi ni harusi.
 
Unajua ni kwanini watu wanaunga mkono serikali?

Ni kwa sababu mashoga wa Tanzania wengi wao wanaharibu wadogo zetu kwa makusudi.Ipo mifano ya mashoga wanaokuwadia vijana wa shule kwa mabasha.Juzi kati hapa kuna mashoga waliandaa event ya kuwafundisha watoto wa kiume jinsi ya kujiandaa kabla ya kwenda kuonana na mwanaume na vitu kama hivyo.

Mfano wewe hapa JF nimepitia post zako za nyuma nimekuta sehemu unafurahia watoto wa hostel na bwenin wakifiryanah.Hii inafanya watu wakuone mbaya na wakuchukie.

Mim pamoja na usomi wangu kidogo siamin ktk mashoga waliozaliwa hivyo sbb mm ni mkristo na imani yangu inasema tofauti.

Ninachoamini kwa hakika ni kuwa wapo mashoga ambao ni matokeo ya kulawitiwa utotoni.

Wapo walioingia huko kwa kuponzwa na tamaa.

Sasa basi wale gays ambao leo hii ni gays kwa kufanyiwa ushetani utotoni na viongoz wetu wa dini au baba na wajomba zetu walitakiwa waunge tena kukemea ushoga kulazimishwa kwa watoto na vijana na sio kufurahia.

Kama gay kawa gay kwa kulawitiwa utotoni kwanin badala ya kutaka ushoga kuonekana kitu cha kawaida asifanye kampen ya kuifungua macho jamii kuwa msituchukie tuko hiv tulivyo sbb mmetutengeneza wenyewe.Msituchukie bali tushirikiane kuona tufanyaje ili watoto wengine wasifanyiwe kama tulivyofanyiwa sisi.Ikiwa hivi ni rahisi kuingiza hata hoja za kuzaliwa hivyo mtu ukaeleweka.

LOVE LEAD
Huwezi kuwa na upendo then ukafurahia kuona watoto na wadogo zetu wanaingizwa ktk ushoga kisa kifo cha wengi ni harusi.

Umesema wewe ni msomi!? Kazi ipo,
Yaani msomi wewe unataka victims ndio waanzishe kampeni ya kusema sisi tulifanyiwa hivi na hivi kwa hiyo wasifanyiwe wengine, lol

Wakati hao viongozi wenu wa dini, wajomba zenu, mabwana zenu waliozalisha hilo kundi mnakula nao na kugonga glass huku wakishinikiza homosexuals wauawe,

Fikiri zaidi.
 
Unajua ni kwanini watu wanaunga mkono serikali?

Ni kwa sababu mashoga wa Tanzania wengi wao wanaharibu wadogo zetu kwa makusudi.Ipo mifano ya mashoga wanaokuwadia vijana wa shule kwa mabasha.Juzi kati hapa kuna mashoga waliandaa event ya kuwafundisha watoto wa kiume jinsi ya kujiandaa kabla ya kwenda kuonana na mwanaume na vitu kama hivyo.

Mfano wewe hapa JF nimepitia post zako za nyuma nimekuta sehemu unafurahia watoto wa hostel na bwenin wakifiryanah.Hii inafanya watu wakuone mbaya na wakuchukie.

Mim pamoja na usomi wangu kidogo siamin ktk mashoga waliozaliwa hivyo sbb mm ni mkristo na imani yangu inasema tofauti.

Ninachoamini kwa hakika ni kuwa wapo mashoga ambao ni matokeo ya kulawitiwa utotoni.

Wapo walioingia huko kwa kuponzwa na tamaa.

Sasa basi wale gays ambao leo hii ni gays kwa kufanyiwa ushetani utotoni na viongoz wetu wa dini au baba na wajomba zetu walitakiwa waunge tena kukemea ushoga kulazimishwa kwa watoto na vijana na sio kufurahia.

Kama gay kawa gay kwa kulawitiwa utotoni kwanin badala ya kutaka ushoga kuonekana kitu cha kawaida asifanye kampen ya kuifungua macho jamii kuwa msituchukie tuko hiv tulivyo sbb mmetutengeneza wenyewe.Msituchukie bali tushirikiane kuona tufanyaje ili watoto wengine wasifanyiwe kama tulivyofanyiwa sisi.Ikiwa hivi ni rahisi kuingiza hata hoja za kuzaliwa hivyo mtu ukaeleweka.

LOVE LEAD
Huwezi kuwa na upendo then ukafurahia kuona watoto na wadogo zetu wanaingizwa ktk ushoga kisa kifo cha wengi ni harusi.
Hakuna mzazi anazaa shoga,ushoga sio asili ni tabia.
Mtu hazaliwwi kuwa shoga bali ukifanya kuwa shoga.
Hakuna chromosomes au vinasaba vya ushoga toka kwa mzazi
 
Umesema wewe ni msomi!? Kazi ipo,
Yaani msomi wewe unataka victims ndio waanzishe kampeni ya kusema sisi tulifanyiwa hivi na hivi kwa hiyo wasifanyiwe wengine, lol

Wakati hao viongozi wenu wa dini, wajomba zenu, mabwana zenu waliozalisha hilo kundi mnakula nao na kugonga glass huku wakishinikiza homosexuals wauawe,

Fikiri zaidi.
Wanawake wanaopigwa na waume zao ni victims na hao hao victims wanaopata ujasiri wa kutoka hadharani kuongea na kukemea ukatili kwa mwqnamke ndio wanaosaidia wenzao wenye kuogopa nao kujitoa na pia vyombo husika kuchukua hatua.

Mtoto aliyelawitiwa miaka 20 iliyopita akisimama kumtetea mtoto wa leo sauti yake itakua na nguvu zaidi.

Halafu victim asipotoka kuongea unataka amuongelee nani?Aliyemlawiti?

Fikiri zaidi.
 
Wanawake wanaopigwa na waume zao ni victims na wanaopata ujasiri wa kutoka hadharani kuongea na kukemea wanasaidia wenye kuogopa nao kutoka na vyombo husika kuchukua hatua.

Mtoto aliyelawitiwa miaka 20 iliyopita akisimama kumtetea mtoto wa leo sauti yake itakua na nguvu zaidi.

Fikiri zaidi.
Wakati unasubiri mtoto aliyelawitiwa miaka 20 iliyopita aje awasemee watoto wa sasa, wakati huo wazazi wa watoto wa sasa wako wapi?

Unafananisha uhanga wa kupigwa kwa wanawake na waume zao na ulawiti aliofanyiwa mtoto mdogo hadi akawa gay!!?

Msomi, upo serious kweli?
 
Back
Top Bottom