Nini kimesababisha mabadiliko haya? Mabinti wadogo wanapenda watu wazima

Mim ni mtu mzima mama sina utoto ujue
 
Watu wengine wanapewa Udokta wa hrshima kwa mambo ya kawaida kabisa, lakini wewe uliyetafiti jambo linalogusa jamii nzima hakuna anayekukumbuka.
 
ufanye na utafiti kwa wale single mothers wenye kazi zao tafadhali mkuu naamini kuna kitu kipya utakuja nacho kama mrejesho kwetu
 
Hao ni wale mabinti wenye roho za kambi ya fisi na mitaa ya shivazi, kwa hiyo kinachofanyika kwa sasa kwa machangudoa ni kubadili tu mbinu ya kazi zao ili wasijekujikuta wanaingia katika matatizo ya kupandishwa defender.
 
Shekeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…