Sasa ulitegemea wakuambie? πππSio kweli,nimewahoji wengi wanadai vijana wanawaumiza kimapenzi.
Imeandikwa "... Ishini nao kwa akili"Mimi ni mtaalamu wa saikolojia.
Halafu wanajiamini tena hata aibu hawana,sijui kizazi hiki kitakuwajeWatoto kama hao wengi sana. Kuna tatizo sasa hivi.
Ndugu yangu nikuambie ukweli. Linapokuja swala la mapenzi, binti wa miaka 20 ana uzoefu sawa na, au kuzidi mwanaume wa miaka 40.Mtu na mwanae... Ujinga huu kukaa na kibabu
Acha vijana tujenge kwanza vibanda vya kulala..tukifika 40's pia tutawatema nyie maana mtakuwa umri umesogea na tutaanza kutafuna vibichi vya early 20's..Simple tu.Ati nyie pesa yenu mnaibana wakati papuchilo mnaitaka.pambaneni na hali zeni ati[emoji23]
Hii tabia wametoa ccm,mana lichama limejaa vijana wachawi na makapukuKuna mabadiliko makubwa sana kwenye jamii yetu siku hizi. Unakuta binti wa miaka 20 anapenda kuwa mtu mzima wa miaka 40 na kuendelea na wao wanasema ndio wanaofaa kwa mapenzi na maisha kwa ujumla.
Nimefanya tafiti nimeshindwa kuelewa, hii ni kwa nini?
Vipi kama tukipaka piko kwenye nywele?Watu wazima wana raha yake,hela anakupa bado utabembelezwa kama mtoto,wepesi kuomba radhi, yani ni full package sema tuu mvi nyingi....vijana hela hamtoi na bado fix kibaaaaoo ukinikuta na hela zangu bado unataka unipangie matumizi..chaaa!!!
Jomoniii !! Ndo uje kunitangaza huku xaxa my? ππ πFix kibao bado akuandikie meseji ya "xaxa my wangu xi kama tulivoongea, i love u xo much"
Maneeenah sana!!!
Umeamka xaxa my wanguJomoniii !! Ndo uje kunitangaza huku xaxa my? ππ π
Nimeamka my xi unajua nawahi majukumu ?Umeamka xaxa my wangu
Jibu dogo tu vijana hamna hela basi
Sio wazazi wao mpaka jamuhuri a.k.a serikali pia unatengeneza zengwe nao,nasikia miaka imezidishwa kutoka 30 mpaka 60.Mimi nikazani ilo jambo linanitokea peke angu .kwanza Mimi umri wangu upo kwenye range ya 25 kwenda juu lakini unakuta nashobokewa hadi na watoto sekondari yani sielewi binafsi naviona vidogo lakini wenyewe ndo shobo zimezidi yani mpaka unaona kabisa naelekea kugombana na wazazi wao maana nahisi wananihisi vibaya
Mambo yapi anajua kuliko dingi mwenye 40?.Sasa mkuu mdada wa miaka 20 na mwanaume miaka 40 tofauti ni umri tu ila kiakili unaweza kuta anajua mambo mengi kuliko hata huyo mwanaume
Wamekuona mtoto ndo maana wanakuchekea ila ki uhalisia we kama mtu mzima ulipaswa kuihandle hiyo situation kwa kunyamaza tu hako kabinti kangejua umemind na kangekoma mara moja. Ila kitendo cha kwenda kwao umefyumu umedhihirisha haina emotional maturityMkuu wananiita hivyo kama utani kwa jinsi nilivyokakasirika baada ya kupokea sms,kwani nilitimba mpaka kwao kwenda kumkana,na bakora alichezea
ChaiMkuu wananiita hivyo kama utani kwa jinsi nilivyokakasirika baada ya kupokea sms,kwani nilitimba mpaka kwao kwenda kumkana,na bakora alichezea