Nini kimetokea hadi vijana maarufu wa CCM akina January, Nape, Kigwangalla, Makonda, Gambo nk kuzimika ghafla?

Hahahaaaa....... Mchwa ushakula kamba!
 
Hivi kijana mwisho miaka mingapi ? Molel naye kijana ???
 
Waitara ni kijana?
 
Hahahaaaa....... Mchwa ushakula kamba!
Mwenziwao Mwigulu amejipendekeza akiunyemelea uwaziri mkuu, awamu ya sita. Uraisi haiwezekani according to ccm,ni zamu ya Muislam,which means bado namuona January ana shines,vinginevo Mwinyi aje agombee aachane na Znz, sidhani kama waislam watakubali wawekewe Hawa wawili Majaliwa,na Jafo...hamna muislam atawakubali.
 
Awamu ya kwanza ililea wanasiasa wale wale mpaka wanastaafu na wengine mpaka mauti yalipo wafika. Enzi zile wasomi walikua wachache.

Siku hizi kuna vijana wapya wanaibuka na uwezo mkubwa wa kujenga hoja. Kila mtu ana stahii nafasi.
Paul makonda kasoma kitu gani?
 
Wote hao walikuwa wanapambana na wenzao wa upinzani. Bila upinzani imara hakuna mwanaCCM atakaye wika au kusikika. Sasa atasikika akibishana kwa hoja na nani ? Hata bungeni wanaCCM walisikika wakijaribu kupangua hoja na hotuba za wapinzani. Sasa watafanya hayo kwa nani?
 
Ujanana unaishia miaka 36 hao wako 50s
Sasa gumbo kama mbunge...
Nyota yake imefifia nini
Au we unataka mtu kutwa kuonekana kwenye tv kik sijui kaenda kule kamfumania nani?non sense
Hao uliyowataja bado wana nafasi zao
Au wewe ushazoea siasa za kik

Ova
 
Tutashuhudia mengi kuelekea 2025.
 
Kwani January ni mwislamu?
 
Sasa gumbo kama mbunge...
Nyota yake imefifia nini
Au we unataka mtu kutwa kuonekana kwenye tv kik sijui kaenda kule kamfumania nani?non sense
Hao uliyowataja bado wana nafasi zao
Au wewe ushazoea siasa za kik

Ova
Ubunge kitu gani bhana hata akina Nasra na kundi zima la Covid 19 wamo mjengoni!
 
Magu ni chadema wa kimya kimya ndio maana vijana wote wa chadema Leo wanakula neema ccm kwa mgongo wa magu, Viva magu,
 
Walilewa madaraka hadi wengine wakawa wabaya kuliko majambawazi yenyewe kwa kupora mali za watu tena kwa vitisho vikuu!
 
Upepo umekaa vibaya ukileta mbwembwe unakusomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…