johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Hahahaaaa....... Mchwa ushakula kamba!Hawa vijana enzi za JK na awamu ya kwanza ya JPM walijiona wao ndiyo CCM na CCM ndiyo wao...sasa wanalilia tumboni...wana maumivu zaidi ya yale ya wana CDM....
Tena washukuru kupewa hata hako ka ubunge vinginevyo kikwetu kuna msemo kwamba "mchwa ushakula kamba" ..means hakuna ujenzi hapo!!