mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Uchaguzi umekaribia jamaa wanagawa maji bure 😄Ushahidi? 🐼
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi umekaribia jamaa wanagawa maji bure 😄Ushahidi? 🐼
Numbisa mimekupenda bureSerikali
Mshindi anajulikana Sasa nikajiandikishe Ili kitokee nini?Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimixa adhima yao ya kuwacjagua viongozi wanaowataka.
Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.
Wananchi walijivunia sana Viparata vyao " vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.
Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo
Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?
Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?
Mkuu wewe ni me au ke?Mshindi anajulikana Sasa nikajiandikishe Ili kitokee nini?
Pili Maendeleo yanaletwa Sasa nikajiandikishe Ili iwaje?
Mwisho,mambo ya siasa sio kipaombele Cha Watanzania,kama unabisha uliza Chadema na maandamano Yao 😆😆😆😆
Vyote Kwa pamojaMkuu wewe ni me au ke?
Sio kweli,watu wengi wamejiandikishaKabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimixa adhima yao ya kuwacjagua viongozi wanaowataka.
Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.
Wananchi walijivunia sana Viparata vyao " vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.
Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo
Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?
Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?
2019/2020SABABU KUU NI HUYU View attachment 3125029
Tupe data. Tunapata taarifa na repots zisizo ridhisha.Sio kweli,watu wengi wamejiandikisha
Mzee mzee bana.... Acha hizoSABABU KUU NI HUYU View attachment 3125029
Hii inavunja moyoInafikia wakati mwananchi anaona bora akae nyumbani tu, maana hata akienda kumchagua mchapakazi na msema kweli hapiti.
Tuko field huku hali ni tetekuwanga sio tete tenaSio kweli,watu wengi wamejiandikisha
Kumbe sababu ni nyingi.....zamani wakati wa Wandishi wa Habari za kiuchunguzi wangeingia Field na kutuletea sababu za kwanini Wananchi wanasua suaKumbuka wananchi mwanzo walijiandikisha ili kupata kikadi cha kusajilia laini au barua ya mtaa, kwa sasa kuna NIDA .Upande wa kupiga kura wapinzani kwa miaka 30 wameahidi kususia uchaguzi ujao ,na ukikaribia wanashiriki.Wananchi hawaoni impact ya kura , bora ashinde yoyote
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimixa adhima yao ya kuwacjagua viongozi wanaowataka.
Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.
Wananchi walijivunia sana Viparata vyao " vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.
Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo
Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?
Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?