LGE2024 Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?

LGE2024 Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Attachments

  • 20241014_164001.jpg
    20241014_164001.jpg
    697.4 KB · Views: 3
Kwa mwendo huu hakuna namna CCM Itatoka madarakani labda miaka 50 ijayo
 
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimixa adhima yao ya kuwacjagua viongozi wanaowataka.

Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.

Wananchi walijivunia sana Viparata vyao " vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.

Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo

Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?

Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?
Mshindi anajulikana Sasa nikajiandikishe Ili kitokee nini?

Pili Maendeleo yanaletwa Sasa nikajiandikishe Ili iwaje?

Mwisho,mambo ya siasa sio kipaombele Cha Watanzania,kama unabisha uliza Chadema na maandamano Yao 😆😆😆😆
 
Hamasa hakuna. Naona vyama vya upinzani viko kimya, hamasa Sana sana inatolewa na chama tawala.
 
Wanaochaguliwa wanaishia "kula"

Badala ya kutimiza wajibu wao wa "kura".
 
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimixa adhima yao ya kuwacjagua viongozi wanaowataka.

Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.

Wananchi walijivunia sana Viparata vyao " vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.

Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo

Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?

Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?
Sio kweli,watu wengi wamejiandikisha
 
Kumbuka wananchi mwanzo walijiandikisha ili kupata kikadi cha kusajilia laini au barua ya mtaa, kwa sasa kuna NIDA .Upande wa kupiga kura wapinzani kwa miaka 30 wameahidi kususia uchaguzi ujao ,na ukikaribia wanashiriki.Wananchi hawaoni impact ya kura , bora ashinde yoyote
Kumbe sababu ni nyingi.....zamani wakati wa Wandishi wa Habari za kiuchunguzi wangeingia Field na kutuletea sababu za kwanini Wananchi wanasua sua
 
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimixa adhima yao ya kuwacjagua viongozi wanaowataka.

Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.

Wananchi walijivunia sana Viparata vyao " vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.

Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo

Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?

Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?

Wizi wa kura kuanzia wafanyakazi wa serikali mpaka Polisi. Wakiiba mwaka huu mwaka kesho ndiyo itakuwa basi. Msiogope wakiiba Mungu atawatoa
 
Back
Top Bottom