Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #41
HahahaTuko field huku hali ni tetekuwanga sio tete tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaTuko field huku hali ni tetekuwanga sio tete tena
Kwamba hata hao wachache watakaojiandisha mwakani na wao watakacha?Wizi wa kura kuanzia wafanyakazi wa serikali mpaka Polisi. Wakiiba mwaka huu mwaka kesho ndiyo itakuwa basi
Hili nalo neno na ia waweke ubwabwaWaandikishaji wawe ni warembo wenye makalio makubwa na sauti za genye. Hapo mtawapata wengi
Wananchi kuweni wazalendoKweli nimefuatwa juzi. Nimempa majina na umri lakini sitarajii kupiga kura na sijawai kupiga kura uchaguzi serikali za mitaa.
😂😂😂🤷Waandikishaji wawe ni warembo wenye makalio makubwa na sauti za genye. Hapo mtawapata wengi
Alishalipia gharama ya hii dhambi kwa mauti... bado watu hawajaridhika?SABABU KUU NI HUYU View attachment 3125029
Niwashauri waandikishaji wasikate tamaa wawafuate watu majumbani mwaooWaandishi Wasaidizi Wawe Makini,,Watapigwa na Raia Wasipo Kuwa Makini,,Watu Wamevurugwa
Una akili sana wewe.Mwenye macho haambiwi tazama, siku ya "HAKI" ikifika watajitokeza bila kuhamasishwa.
Daah"Kuna kipindi nadhani ilikuwa kwenye kampeni za uchaguzi 2010, mbunge wa jimbo la Sumve kwa wakati huo ambaye ni marehemu kwa sasa(Richard Ndassa CCM) nilimnukuu kwenye mojawapo ya mkutano wa kampeni akisema "Upige kura ama usipige kura au umpigie kura mpinzani wangu, nitapita tu na mbunge wa jimbo hili bado hajazaliwa".
Tangu wakati huo sijawahi kujihusisha na masuala ya kupiga kura.
Kazi ipoBila Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi,hapatafanyika uchaguzi wowote wa HAKI.
Ndicho kinachotokea,
Wananchi wanagoma kutumika kuhalalisha wizi wa kura.
By the way, uende ukamchague nani, ana jipyya lipi?
AiseeJamaa Leo kaomba Hela ya lunch mhamasishaji akajibu "hiyo sikupewa" nikacheka tu. Yaani tokea UCHAGUZI vyama vingi kipindi hiki ndicho sitoenda kupiga kura au kujiandikisha.
Hahahaamaisha magumu . watu vitu bei juu pesa hamna. ukiwaambia kuandikisha wanaona kama unawaletea giza juu ya giza