Nini kimetokea mpaka kufa kwa uzalishaji wa Ngano hecta 350,000 kule Bassotu Manyara?

Nini kimetokea mpaka kufa kwa uzalishaji wa Ngano hecta 350,000 kule Bassotu Manyara?

Unaweza kutoa chozi ukisoma wadau humu wanavyochambua mambo.

Kuna pahala sisi huku Africa nafikiri hatuko sawa licha ya kutaliwa.

Ni kwa kiasi gani Serikali inakimbilia kujenga Miundombinu ya Kisasa mijini kwa gharama kubwa ikiwa kuna sehemu kama Kigoma , Ulanga-Mahenge na kote ambako watu wanazalisha mazao mengi lakini kutokana na kutofikika kwa urahisi , watu wamekata tamaa wameamua kulisha tu matumbo yao.

Vijana hawaogopi kutumia fursa ,tatizo kwenye Kilimo kwa hapa kwetu kumesahaulika na sidhani kama kuna Mwanasiasa ana muda na Kilimo.Ni ujuha wa hali ya juu Nchi kamaa hii kukosa mafuta ya kupikia..huo ni uchawi wa mchana kweupe sana.

Nenda West Kilimanjaro kuna vijana wanalima Karoti ,Nyanya na viazi Ulaya lakini katazame Barabara ya West to Bomang'ombe ni lami lakini ni uozo ule..Barabara nyembamba kama uzi.Sehemu kama hizo na zingine ambazo ndio kabisa hazina hata nukta ya lami zilipaswa kusambazwa Barabara na za kiwango cha lami na Reli pia ili kutufanya tuhame huko mijini tujikite na Kilimo.

Ukitaka kujua sisi tunashida angalia Mkoloni alipeleka Reli kila pahala pailipokuwa na mazao na uzalishaji maligahfi. Lakini njoo utazame akili zetu sis wenye Uhuru.

NSSF ,PSSF wanajenga majengo kiwizi wizi kwa fedha zetu za michango wanaacha kwenda kuwekeza kwa Vijana..majengo marefu na hakuna watu wanakaa humo.

Wanajijengea njia zao Baharini wapite wakati wa jioni wakiwa wamechoka,thamani ya hizo barabara ni umejenga Barabara za kutosha kuunganisha miji yenye uzalishaji bila ubabaishaji.

Vijana tuamke tujikite huko taratibu ..japo kuna ugumu.Serikali haiwezi komboa mtu.
Hakuna 10% huko hahaha

Ova
 
Huku kudanganyana. Toka lini serikali ikawa mnunuzi wa ngano?

Viwanda vinaagiza ngano nje si vingepata unafuu sana. Labda huyo ngano yake haikukidhi vigezo vya wasagaji wa ngano, mfano Azam.
Uko sahihi Faizafoxy, Sio kweli hapa katudanganya, Serikali si mnunuzi wa ngano. Hii itakuwa ni changamsha baraza, Wanunuzi wakubwa wa ngano ni viwanda kama Bakhresa, Mo n.k unless ngano hiyo haikwa na vigezo kwahoyo mzalishaji alitegemea aiuzie Serikali, huu nao ni upigaji wa aina yake.
 
Niseme tu ni tamaa ya wapigania UHURU wachache kwa maslai yao na familia ndio waliowadanganya waafrika wawafukuze wakoloni Ili wao wanufaike na familia zao, check familia zao zinavyoogelea kwenye utajiri huku waafrika wengi wakiwa fukara dhoofu hali. Mwafrika alikuwa na maisha mazuri Sana kabla ya UHURU, check mfano nchini kama zimbabwe, south africa, botswana, Namibia, nk ajira ngapi zimekufa baada ya UHURU. Waafrika ilitakiwa tuombe usawa na sio kujiendesha tumeproofu failer kabisa. Check ripot ya CAG upigaji KILA sekta kuanzia juu hadi chini hapa unaweza nishawishi vipi nilipe kodi hali inaenda kupigwa ni SAwa na kumtongozea mtu yeye ndo anaenda nufaika.
Umeongea point sana. Tatizo lilianzia kwenye Azimio la Arusha la kutaifisha mali za wawekezaji bila kutafakari kama serikali wataweza kuziendeleza. Mwisho wa siku walitaifisha wakashindwa kuendeleza changanya na ubunifu mdogo mabadiliko ya teknolojia halafu na kukumbatia sera za kijamaa bila kujiandaa na ujamaa wenyewe hali iliyofanya mabeberu kukasirika na kutupiga vikwazo vya kiuchumi hali iliyosababisha kushindwa kupata spear za mitambo au kushindwa kabisa kununua mitambo mipya na mwisho wa siku viwanda vikafa kabisa na viwanda vikifa na mashamba nayo yanakufa.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Viwanda vilivyokufa baada ya Tanganyika kupata uhuru

1. Kiwanda cha matairi general tyre cha Arusha
2. Kiwanda cha viberiti Moshi/kilimanjaro
3. Kiwanda cha tambi za majiko na vibatari dar es salaam
4. Viwanda vya pamba mwanza,singida na shinyanga

Na vingine vingi sana

Katika haya wafuatao ni wakulaumiwa vikali

1. Mwinyi
2. Mkapa
3. Msoga
Wakulaumiwa wa kwanza ni aliyeleta sera ya utaifishaji na Ujamaa uchwara.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Niseme tu ni tamaa ya wapigania UHURU wachache kwa maslai yao na familia ndio waliowadanganya waafrika wawafukuze wakoloni Ili wao wanufaike na familia zao, check familia zao zinavyoogelea kwenye utajiri huku waafrika wengi wakiwa fukara dhoofu hali. Mwafrika alikuwa na maisha mazuri Sana kabla ya UHURU, check mfano nchini kama zimbabwe, south africa, botswana, Namibia, nk ajira ngapi zimekufa baada ya UHURU. Waafrika ilitakiwa tuombe usawa na sio kujiendesha tumeproofu failer kabisa. Check ripot ya CAG upigaji KILA sekta kuanzia juu hadi chini hapa unaweza nishawishi vipi nilipe kodi hali inaenda kupigwa ni SAwa na kumtongozea mtu yeye ndo anaenda nufaika.
Hilo la "kumtongozea mtu" lina sound tam sana, lianzishie page yake[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!
 
Ili shamba lina zaidi ya miaka 45 na mpaka reli ilijengwa kwenda maeneo yale.

Tungekuwa tumeliendeleza huu uhaba wa ngano sasa ingwekuwa kuna ahaueni.

Nadhani ni mda muafaka wadau sector binafasi kwa kushiriana na serikali kufufua kilimo cha Ngano aya maeneo.

Pata habari kamili kuhusu ili shamba la ngano ndo ujue kwenye miti hakuna wajenzi.

======

When the Canadians in co-operation with the TZ Government embarked on the big wheat production project about 45 years ago, more than 350 000 ha of the best land was taken away from the pastoralists using it for grazing cattle. The Canadian extensive strategy of wheat production, without using fertilizers, produced annually between 25 000 and 50 000 tons of wheat, depending on the rains.

By then it contributed to about 10 % or less of the demand for high quality wheat in Tanzania. The best wheat farmers in Europe, or Zambia, are getting yields 5 times or more per ha. This is equivalent to 125 000 tonnes or more from an area as big as all the seven “Canadian” wheat farms in Hanang.

Why are these facts important?

At present, the total demand for wheat in Tanzania stands at about one million tons. The Tanzanian production is about 100 000 tons, or 10 % of the demand. The deficit of 900 000 tons is imported, using huge amount of foreign exchange. It makes good sense to invest in food production in Tanzania and save foreign exchange by closing the gap between demand and supply by food produced locally.

The big challenge is to use land more efficient; doubling or more the yields per ha of cereals and to establish more sustainable and productive food productions systems.

Efficient use of land - higher yields per ha

Many factors might influence the yield. Water and plant nutrients; - fertilizers or manure - are among the more important ones if the farmer has good and disease resistant varieties of the crops. Looking at the yields at Mulbadaw, Murjanda, Setchet and ..... farms, the average yields are not different from the yields obtained 40 years ago. The main production strategy is still rather extensive. There has been none or only negligible efforts in making the land more productive.

These farms are all owned and run by non-citizens through shareholder companies registered as “Tanzanian” companies. The mode of production is large-scale monoculture of wheat, using big tractors and aeroplanes for spraying pesticides.

One of the main objectives of HDC was to improve yields from the historic average yields in the area of less than 1,5tons/ to 3 tons/ha. The company hired a senior Tanzanian wheat specialist in breeding and production and established a research and development program addressing soil fertility and variety challenges.

The late Dr. Ole Hallgrim Evjen Olsen at Haydom Lutheran Hospital (HLH) suggested already in 2004, when the process of buying Mulbadaw was initiated, to construct shallow dams at Mulbadaw for harvesting of rain water and to use this for securing better yields of the crops. In 2006, HDC hired the services of Ingar Kvia and the soil moving equipment he brought to HLH to construct one shallow dam, in order to gain practical experiences with shallow dams at Mulbadaw.

The main wheat growing areas in Australia has a rolling landscape similar to that of the wheat growing areas of Hanang. HDC received a team of three Australian irrigation specialists from the wheat growing area in Australia where rain harvesting has become an important strategy for higher and more reliable yields of wheat.

The team concluded that the landscape and rainfall pattern of Mulbadaw and Bassotu is ideal for rain harvesting. There is experience from Zambia indicating that rain harvesting and irrigation is profitable. One company investing in irrigation of wheat there had an ambition of getting 6 tons/ha from irrigated and fertilized fields. They got 10 tons/ha, - same yield as the best wheat growers in Europe are getting with similar inputs.

Sustainable production systems

There is much to be wanted in form of sustainability from what I see at present.

Water management

Much of the rain falling over the Basotu farms is lost from the production fields, flooding Lake Basotu in years of heavy rains. There is soil erosion and hence silting of Lake Basotu. Even in years with a high rainfall, crops might suffer during long dry spells and impede growth and development of the crops. Rain harvesting and irrigation contributes to sustain yield at high levels. Same amount of wheat can be produced using less land. Water harvesting might thus be a sustainable strategy for diversification of agricultural production systems, including other crops for proper crop rotations, livestock and useful trees.

Soil fertility and soil productivity
After more than 45 years with wheat, the infection pressure from wheat diseases and pests is high. Noxious weeds have been combated by spraying large amounts of glyphosate (‘Round Up’) on the fields before planting. Pests and diseases are sprayed from the air, using chemicals that might be harmful for the people living in the vicinity of the farm. Run off from the fields pollute drinking water for cattle and man. Crop rotation and proper soil cultivation might be a more sustainable strategy for obtaining sufficient control with some weeds and harmful diseases and pests.

Source :Haydom Development Company

The erratic and often insufficient rainfall cause low efficiency of fertilizers in most years, using conventional methods of application. Trials conducted by HDC at Mulbadaw in 2006 and at Setchet in 2007 demonstrated the tremendous effect of adding fertilizers to the soils of these farms, providing that the crop gets sufficient water[3].

A crop getting sufficient “food” in the form of fertilizer is much more competitive towards competition from weeds and damage by wheat diseases and pests.
SUA wangetumia fursa hiyo
 
Historia ya hii ilianzia babu zetu walipoanza kuchukuliwa utumwani. Watu waliokua na ujuzi wa kufua vyuma, kujenga, na waliokua na nguvu za kulima na kufuga waliuzwa utumwani. Uzalishaji ulishuka na hakukuwa na watu wa kurithisha vizazi vinge ujuzi.

Dysfunctional society ilianzia hapa, babu zetu walianza kuuzana utumwani wenyewe kwa wenyewe ili wapate angalau chakula.

Hata walipokuja kutwaa makoloni tayari tulikua na dysfunctional society. Ilikuwa rahisi kwao kututawala. Kipindi chote cha Ukoloni tulikuwa ni watu wa kupokea amri. Hatujawahi kujifunza uwongozi.

tuache kuilaumu CCM sasa...tutafute tatizo la msingi na wote kwa pamoja tupambane kuliondoa...umaisikini unanuka kila mahala Africa, shida utagundua ni common kwa waAfric wote na ndio hiyo umeionyesha hapo..

umeongea point kubwa sana, madhara ya ukoloni ndio mateso ya Mwafrica mpaka leo.. baada ya ukoloni Mwafrica alishindwa kujua anataka nini na matokeo yake mkoloni akaja tena na aina nyingine ya ukoloni..
 
tuache kuilaumu CCM sasa...tutafute tatizo la msingi na wote kwa pamoja tupambane kuliondoa...umaisikini unanuka kila mahala Africa, shida utagundua ni common kwa waAfric wote na ndio hiyo umeionyesha hapo..

umeongea point kubwa sana, madhara ya ukoloni ndio mateso ya Mwafrica mpaka leo.. baada ya ukoloni Mwafrica alishindwa kujua anataka nini na matokeo yake mkoloni akaja tena na aina nyingine ya ukoloni..
Power nyingine Mkoloni aliyotumia na bado anaitumia ni elimu na technology. Wakati mkoloni anatutawala alitumia kilimo cha kisasa kulima mashamba, pamoja na kutumia Rasilimali watu kwa ujira mdogo pia alitumia mashine za kisasa kwa wakati ule.

Alifanya tafiti nyingi na kupata matokeo. Leo hii huko London na Berlin wanajua sehemu zote zenye madini Tanzania. Wanaweza kupanga mbinu yeyote ya kuyapata wakati sisi hatujui kinacho endelea.
 
Mimi ni mtoka bara Afika.

Kwa ujumla huwezi ukai-define tabia ya mtu mweusi. Lakini ni mtu asiyejali. Maisha yake ni patapotea.

Akipata ajira, ndiyo inakuwa shida kabisa.

Lile neno "Mali ya umma" ndiyo inakuwa "point of reference" kwake.

Hata kiti anachokalia kikiharibika kidogo tu, basi atakisukuma pembeni asubiri ofisini itengeneze.

Kwa kweli inasikitisha. Uwajibikaji ni ziro.

Wazungu wanatujua vizuri sana. Na, bila kupepesa macho, wanatuchukulia kama tulivyo. They know us, and thus deal with us accordingly but cautiously!!
Pale Muhimbili na mahospitali mengi tuu nchini ukiweza kuzunguka huko nyuma ya majengo yao utakuta lundo la vitanda vibovu, viti na vifaa chungu nzima ambavyo kiukweli wangekuwa na karakana ndogo tuu na mafundi wawili wangevirepea vyote na vikaendelea kutumika. Nenda kwenye mashule uone madawati yaliyotupwa na ambayo yangerepewa yangetumika. Nenda kwenye ofisi za serikali uone magari mabovu yanavyoachwa mpaka yanashika kutu.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Power nyingine Mkoloni aliyotumia na bado anaitumia ni elimu na technology. Wakati mkoloni anatutawala alitumia kilimo cha kisasa kulima mashamba, pamoja na kutumia Rasilimali watu kwa ujira mdogo pia alitumia mashine za kisasa kwa wakati ule.

Alifanya tafiti nyingi na kupata matokeo. Leo hii huko London na Berlin wanajua sehemu zote zenye madini Tanzania. Wanaweza kupanga mbinu yeyote ya kuyapa wakati sisi hatujui kinacho endelea.

elimu,teknolojia ongeza na utamaduni....hivi vyote kwa sasa ndio tools kubwa inayotumika kumfanya Mwafrica kuwa mtumwa bado...

Huu mtego mpaka sasa hakuna dalili za kuukwepa..
 
elimu,teknolojia ongeza na utamaduni....hivi vyote kwa sasa ndio tools kubwa inayotumika kumfanya Mwafrica kuwa mtumwa bado...

Huu mtego mpaka sasa hakuna dalili za kuukwepa..
Utamaduni wa Wazungu ni kufanya kazi, ubepari umelenga kuhakikisha kila mtu anafanya kazi. Baada ya WWII Mfalme wa Holland alifungua kiwanda cha kutengeneza vitenge ili vijana wapate kazi.

Soko la vitenge limelengwa Africa, usishangae kufa kwa viwanda vya Mwatex na Sungura Tex, fitina ya soko la vitenge ni kubwa na jamaa wanafanya uchunguzi na propaganda nyingi.

Tungekuwa imara sisi Tanzania tungengeneza vitenge kwa East na South Afrika kutokana na pamba tunayolima.
 
nilijaribu kuuliza kuhusu ile ngano ya kutengeneza bia, jibu lilikuwa ni baada ubinafsishaji wa viwanda vya bia wale wawekezaji walitoa sharti la kutumia ya kutoka s.Africa story ikaishia hapo.
Lakini kuna tatizo kubwa katika taifa hili sio ngano peke yake kuna kahawa, katani,korosho, pamba yote yamebaki historia tu.
 
Back
Top Bottom