Kila Mbongo
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 308
- 435
Malipo hapa hapa duniani.HV wankyo saimon Yuko wapi wazee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malipo hapa hapa duniani.HV wankyo saimon Yuko wapi wazee
RPC Ilala mwanamkeRPC wa Tanga ni mwanamama, RPC wa Singida ni mwanamama, RPC wa Rukwa/Katavi ni
Toa mfanoIGP anajitahidi kucheza na camera.
Enzi za Jiwe sampuli ya muroto ndio walikuwa wanatakiwa ili kumsuuza roho mkuu wa malaika.
Enzi hizi ni kuwapa kina mama kipaombele ili mama mkubwa nae afurahi
Lakini honestly askari wanawake wenye vyeo vikubwa ni wachapa kazi sana na ni no non sense
Sijui ndio kuunga mkono juhudi za mama? Sijui ndio utendaji wao wa kazi? Awamu hii ya Rais Samia kuna mabadiliki makubwa nimeyaona ndani ya jeshi la polisi.
Kwa mara ya kwanza tangu nchi imepata uhuru, naona kuna Ma-RPC wengi wanawake kuliko awamu nyingine.
RPC wa Tanga ni mwanamama, RPC wa Singida ni mwanamama, RPC wa Rukwa/Katavi ni mwanamke. Na hapo sijajua kwa mikoa mingine
Je ni awamu inawabeba au mfumo dume umeanza kupigwa chini au ndio utendaji kazi wao umeonekana zaidi awamu hii?
Kwa mtindo huu tutegemee siku moja tutapata IGP wa kike...i have a dream...siku si nyingi
Kazi inayoendelea kwa sasa ni kumtukana Magu.Tunasimama na mama..kazi iendelee
wacheni mfumo dumeIGP nasikia mama anamtaka yule anaitwaa sijui Kaganda nani nani hivi... Nchi soon inaelekea kuwa ya kike sijui tutaweeka wapi sura zetu
ELIMU,WELEDI,BAHATI NA KUJUANASijui ndio kuunga mkono juhudi za mama? Sijui ndio utendaji wao wa kazi? Awamu hii ya Rais Samia kuna mabadiliki makubwa nimeyaona ndani ya jeshi la polisi.
Kwa mara ya kwanza tangu nchi imepata uhuru, naona kuna Ma-RPC wengi wanawake kuliko awamu nyingine.
RPC wa Tanga ni mwanamama, RPC wa Singida ni mwanamama, RPC wa Rukwa/Katavi ni mwanamke. Na hapo sijajua kwa mikoa mingine
Je ni awamu inawabeba au mfumo dume umeanza kupigwa chini au ndio utendaji kazi wao umeonekana zaidi awamu hii?
Kwa mtindo huu tutegemee siku moja tutapata IGP wa kike...i have a dream...siku si nyingi
Siku hizi kelele za mfumo dume hazisikiki tena.. Ni wakati waoSijui ndio kuunga mkono juhudi za mama? Sijui ndio utendaji wao wa kazi? Awamu hii ya Rais Samia kuna mabadiliki makubwa nimeyaona ndani ya jeshi la polisi.
Kwa mara ya kwanza tangu nchi imepata uhuru, naona kuna Ma-RPC wengi wanawake kuliko awamu nyingine.
RPC wa Tanga ni mwanamama, RPC wa Singida ni mwanamama, RPC wa Rukwa/Katavi ni mwanamke. Na hapo sijajua kwa mikoa mingine
Je ni awamu inawabeba au mfumo dume umeanza kupigwa chini au ndio utendaji kazi wao umeonekana zaidi awamu hii?
Kwa mtindo huu tutegemee siku moja tutapata IGP wa kike...i have a dream...siku si nyingi
mbeya rto mwanaume mkuuAta Mbeya pia RTO ni kama mwanamke
Aliyekuwa Pwani, kwa sasa amehamishiwa Ofisi ya ZTO Dar es salaam, ni SSP Ndozero.Hata ma-RTO
Rto wa mwanza ni mwanamke, Njombe ni mwanamke,Kilimanjaro ni mwanamke na pwani kama sijakosea ni mwanamke.
Ila bado ni wachache kwa kweli.