Nini kimetokea polisi? Siku hizi wanawake wengi nao ni ma-RPC

Nini kimetokea polisi? Siku hizi wanawake wengi nao ni ma-RPC

IGP anajitahidi kucheza na camera.
Enzi za Jiwe sampuli ya muroto ndio walikuwa wanatakiwa ili kumsuuza roho mkuu wa malaika.
Enzi hizi ni kuwapa kina mama kipaombele ili mama mkubwa nae afurahi
Lakini honestly askari wanawake wenye vyeo vikubwa ni wachapa kazi sana na ni no non sense
 
IGP anajitahidi kucheza na camera.
Enzi za Jiwe sampuli ya muroto ndio walikuwa wanatakiwa ili kumsuuza roho mkuu wa malaika.
Enzi hizi ni kuwapa kina mama kipaombele ili mama mkubwa nae afurahi
Lakini honestly askari wanawake wenye vyeo vikubwa ni wachapa kazi sana na ni no non sense
Toa mfano
 
Sijui ndio kuunga mkono juhudi za mama? Sijui ndio utendaji wao wa kazi? Awamu hii ya Rais Samia kuna mabadiliki makubwa nimeyaona ndani ya jeshi la polisi.

Kwa mara ya kwanza tangu nchi imepata uhuru, naona kuna Ma-RPC wengi wanawake kuliko awamu nyingine.

RPC wa Tanga ni mwanamama, RPC wa Singida ni mwanamama, RPC wa Rukwa/Katavi ni mwanamke. Na hapo sijajua kwa mikoa mingine

Je ni awamu inawabeba au mfumo dume umeanza kupigwa chini au ndio utendaji kazi wao umeonekana zaidi awamu hii?

Kwa mtindo huu tutegemee siku moja tutapata IGP wa kike...i have a dream...siku si nyingi

Rpc Songwe mwanamama na rpc ilala pia mwanamama
 
Ujui tunaongozwa na mama ambaye lengo lake wanawake watawale kila sehemu mpaka majumbani mwetu 😃😃😃
 
Sijui ndio kuunga mkono juhudi za mama? Sijui ndio utendaji wao wa kazi? Awamu hii ya Rais Samia kuna mabadiliki makubwa nimeyaona ndani ya jeshi la polisi.

Kwa mara ya kwanza tangu nchi imepata uhuru, naona kuna Ma-RPC wengi wanawake kuliko awamu nyingine.

RPC wa Tanga ni mwanamama, RPC wa Singida ni mwanamama, RPC wa Rukwa/Katavi ni mwanamke. Na hapo sijajua kwa mikoa mingine

Je ni awamu inawabeba au mfumo dume umeanza kupigwa chini au ndio utendaji kazi wao umeonekana zaidi awamu hii?

Kwa mtindo huu tutegemee siku moja tutapata IGP wa kike...i have a dream...siku si nyingi
ELIMU,WELEDI,BAHATI NA KUJUANA
 
Sijui ndio kuunga mkono juhudi za mama? Sijui ndio utendaji wao wa kazi? Awamu hii ya Rais Samia kuna mabadiliki makubwa nimeyaona ndani ya jeshi la polisi.

Kwa mara ya kwanza tangu nchi imepata uhuru, naona kuna Ma-RPC wengi wanawake kuliko awamu nyingine.

RPC wa Tanga ni mwanamama, RPC wa Singida ni mwanamama, RPC wa Rukwa/Katavi ni mwanamke. Na hapo sijajua kwa mikoa mingine

Je ni awamu inawabeba au mfumo dume umeanza kupigwa chini au ndio utendaji kazi wao umeonekana zaidi awamu hii?

Kwa mtindo huu tutegemee siku moja tutapata IGP wa kike...i have a dream...siku si nyingi
Siku hizi kelele za mfumo dume hazisikiki tena.. Ni wakati wao
 
Uzi huu sijauelewa kabisa,
Kwani masomo ya fani zao huwa ni ya Me na Ke
 
Hii nchi kuendelea ngumu maana unafiki umejaa
 
Back
Top Bottom