Nini kimetokea Prof. Kahyarara, Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Biashara na Viwanda kuwa RAS Geita?

Nini kimetokea Prof. Kahyarara, Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Biashara na Viwanda kuwa RAS Geita?

Kuna level ukiipita katika maisha kuna vitu utaona vya kawaida sana. Na kuna level ukiwa katika maisha kuna vitu kwako unaweza kuviona ni ndoto. Kuna mtu anaiona iphone 13 pro max kwake ni ndoto na kuna mtu naona ni kitu cha kawaida.

Kuna watu huko wanaona ukuu wa mkoa ambao mtu hauzidi 5M ni ndoto na kuna wanaoona hiyo ni hela mbuzi maana kwakujiajiri anaingiza zaidi ya hiyo kwa mwezi.

Hawa chawa wa UVCCM ambao hawajawahi ingia kwenye service scheme yoyote kwao laki moja tu huwafanya wakatane mitama maana ni ndoto kwao na kwa vile chama chao ni cha kijamaa hudumaza akili na kipato chao ili kiendelee kuwatumia kwa kuwaangushia tende na finyango za nyama.

Hajui kuna watu wanakataa u MD wenye package hadi 30M hapa nchini achilia mbali hivyo vyeo uchwara vya u DC na U RC ambavyo hao chawa wa CCM ni ndoto lwao.
Kichwani umejaza tope
 
Kahyarara alifanya madudu ya kutisha pale NSSF, zaidi ya kusifia vyeti vyake na arrogance iliyozidi kipimo huyo jamaa ni mtupu wa kiwango chake. Ieleweke kupata elimu kubwa, kuwa mzuri sana darasani haukufanyi kuwa bora katika service delivery.

Ku utilize resources na knolegde ulimwengu mwingine kabisa tofauti na kutema content darasani kisha kumsaishia mwanafunzi aliyekariri ulichomtemea.

Ndio maana developed world walishavuka kwenye uga wa kuabudu vyeti sana.

Hayo ya ucha Mungu wa wazazi wake hayaongezi chochote kwenye quality service delivery ya mhusika.
Una wivu mkali sana
 
Nimeangalia michango ya baadhi humu wanamlaumu profesa ila unaweza kuona ni mtu muhimu katika shughuli za kiserikali ndio maana anaamishwa amishwa tu.

Asije akawa kama diwani
 
Kahyarara alifanya madudu ya kutisha pale NSSF, zaidi ya kusifia vyeti vyake na arrogance iliyozidi kipimo huyo jamaa ni mtupu wa kiwango chake. Ieleweke kupata elimu kubwa, kuwa mzuri sana darasani haukufanyi kuwa bora katika service delivery.

Ku utilize resources na knolegde ulimwengu mwingine kabisa tofauti na kutema content darasani kisha kumsaishia mwanafunzi aliyekariri ulichomtemea.

Ndio maana developed world walishavuka kwenye uga wa kuabudu vyeti sana.

Hayo ya ucha Mungu wa wazazi wake hayaongezi chochote kwenye quality service delivery ya mhusika.
Punguza jazba
Ndio maana nimesema elimu nzuri anayo sijui shida ni kwenye uongozi!
Sasa kelele ya nini?
Ucha Mungu contributes kitu fulani fulani kwa maisha ya mwanadamu…
Nchi zilizoendelea lalalalilololo ( we have been there tunajua zaidi ya ujuavyo) Twende pole pole bro ah ahaaa… usinifokee khe! I
 
Punguza jazba
Ndio maana nimesema elimu nzuri anayo sijui shida ni kwenye uongozi!
Sasa kelele ya nini?
Ucha Mungu contributes kitu fulani fulani kwa maisha ya mwanadamu…
Nchi zilizoendelea lalalalilololo ( we have been there tunajua zaidi ya ujuavyo) Twende pole pole bro ah ahaaa… usinifokee khe! I
Ana wivu huyo, huenda alikuwa mchepuko wa professor
 
Mmh sijui
Namfahamu Prof vizuri sana
Wazazi wake ni wacha Mungu sana
Ni familia yenye hofu ya Mungu sana..
Kielimu yupo vizuri ‘he is smart’ that I know for sure… sijui labda uongozi ndio shida but lipo jambo remote ya msoga inaiangamiza nchi hivyo tu…
Prof rudi shuleni kufundisha (abroad)siasa ni mchezo mchafu.
Kahyarara alifanya madudu ya kutisha pale NSSF, zaidi ya kusifia vyeti vyake na arrogance iliyozidi kipimo huyo jamaa ni mtupu wa kiwango chake. Ieleweke kupata elimu kubwa, kuwa mzuri sana darasani haukufanyi kuwa bora katika service delivery.

Ku utilize resources na knolegde ulimwengu mwingine kabisa tofauti na kutema content darasani kisha kumsaishia mwanafunzi aliyekariri ulichomtemea.

Ndio maana developed world walishavuka kwenye uga wa kuabudu vyeti sana.

Hayo ya ucha Mungu wa wazazi wake hayaongezi chochote kwenye quality service
Punguza jazba
Ndio maana nimesema elimu nzuri anayo sijui shida ni kwenye uongozi!
Sasa kelele ya nini?
Ucha Mungu contributes kitu fulani fulani kwa maisha ya mwanadamu…
Nchi zilizoendelea lalalalilololo ( we have been there tunajua zaidi ya ujuavyo) Twende pole pole bro ah ahaaa… usinifokee khe! I
Mwanzo ulianza vizuri nami nimekujibu vizuri tu sasa jazba kwatika majibu yangu inatoka wapi? Au nawewe ni miongoni mwa wasomi wa hovyo wa kiafrika? Maana wasomi wa kiafrika wengi wao huwezi watofautisha na washenzi, japo wana kipato lakini ni walafi , wanyimi, wasengenyaji na hoja za kuuma huita matusi na haki zao za msingi kwao huona fadhila.
 
Kuna level ukiipita katika maisha kuna vitu utaona vya kawaida sana. Na kuna level ukiwa katika maisha kuna vitu kwako unaweza kuviona ni ndoto. Kuna mtu anaiona iphone 13 pro max kwake ni ndoto na kuna mtu naona ni kitu cha kawaida.

Kuna watu huko wanaona ukuu wa mkoa ambao mtu hauzidi 5M ni ndoto na kuna wanaoona hiyo ni hela mbuzi maana kwakujiajiri anaingiza zaidi ya hiyo kwa mwezi.

Hawa chawa wa UVCCM ambao hawajawahi ingia kwenye service scheme yoyote kwao laki moja tu huwafanya wakatane mitama maana ni ndoto kwao na kwa vile chama chao ni cha kijamaa hudumaza akili na kipato chao ili kiendelee kuwatumia kwa kuwaangushia tende na finyango za nyama.

Hajui kuna watu wanakataa u MD wenye package hadi 30M hapa nchini achilia mbali hivyo vyeo uchwara vya u DC na U RC ambavyo hao chawa wa CCM ni ndoto lwao.
Una makasiriko. Haijawahi kutokea watu kufanana na haitatokea. Badala ya makasiriko, ungejielekeza kwenye kilichomtoa Prof wizarani hadi Geita na sio kumshambulia au kushambulia vyeo vya watu.
Watu mliojiajiri bana! Mnadhani kwamba watu wanaoteuliwa wao hawana vyanzo vingine vya mapato!
Unaelekea kwenye sifa za watu wa Rungwe kaka.
 
Nilishavuka huko, kipindi naacha kazi serikalini nilifikia ngazi ya ukurugenzi wa idara pale MFA, nikaja huku kwenye international organizations. Siishi maisha ya kupangiwa tena nini cha kufanya. Najipangia mwenyewe na nimejiajiri.
Umejiajiri kwenye IGO?
 
Kazi iendelee!

Nimepitia mkeka mpya wa walioteuliwa kuwa Makatibu Tawala, cha kushangaza nimekutana na jina la Prof. Kahyarara, aliyekuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Zaidi sana utaona ndiye Katibu Mkuu pekee aliyetolewa kwenye hiyo nafasi na kuwa RAS.

Sijui nini kimempata huyu Prof hadi kuonekana hatoshi kwenye nafasi ya kuwa Katibu Mkuu.

Tumtakie kila la heri katika nafasi yake mpya ya Katibu Tawala Mkoa wa Geita.

View attachment 2306732

Ni mabadiliko ya kawaida kama yanavyotokea mara kwa mara. Pia amepunguziwa mzigo wa majukumu tu kwa sababu mshahara wa RAS na posho ya madaraka ni sawa sawa na Katibu Mkuu. Hawapishani hata senti tano kwa taarifa yako!
 
Kuna level ukiipita katika maisha kuna vitu utaona vya kawaida sana. Na kuna level ukiwa katika maisha kuna vitu kwako unaweza kuviona ni ndoto. Kuna mtu anaiona iphone 13 pro max kwake ni ndoto na kuna mtu naona ni kitu cha kawaida.

Kuna watu huko wanaona ukuu wa mkoa ambao mtu hauzidi 5M ni ndoto na kuna wanaoona hiyo ni hela mbuzi maana kwakujiajiri anaingiza zaidi ya hiyo kwa mwezi.

Hawa chawa wa UVCCM ambao hawajawahi ingia kwenye service scheme yoyote kwao laki moja tu huwafanya wakatane mitama maana ni ndoto kwao na kwa vile chama chao ni cha kijamaa hudumaza akili na kipato chao ili kiendelee kuwatumia kwa kuwaangushia tende na finyango za nyama.

Hajui kuna watu wanakataa u MD wenye package hadi 30M hapa nchini achilia mbali hivyo vyeo uchwara vya u DC na U RC ambavyo hao chawa wa CCM ni ndoto lwao.

Wanaokata hiyo 30M wapo wangapi hapa nchini, labda tupe takwimu kwanza ili tukujibu vizuri!
 
Kahyarara alifanya madudu ya kutisha pale NSSF, zaidi ya kusifia vyeti vyake na arrogance iliyozidi kipimo huyo jamaa ni mtupu wa kiwango chake. Ieleweke kupata elimu kubwa, kuwa mzuri sana darasani haukufanyi kuwa bora katika service delivery.

Ku utilize resources na knolegde ulimwengu mwingine kabisa tofauti na kutema content darasani kisha kumsaishia mwanafunzi aliyekariri ulichomtemea.

Ndio maana developed world walishavuka kwenye uga wa kuabudu vyeti sana.

Hayo ya ucha Mungu wa wazazi wake hayaongezi chochote kwenye quality service delivery ya mhusika.

Hata kufundisha darasani ni service delivery, labda tueleze ni service delivery gani unayotaka kutuambia hapa!
 
Kahyarara alifanya madudu ya kutisha pale NSSF, zaidi ya kusifia vyeti vyake na arrogance iliyozidi kipimo huyo jamaa ni mtupu wa kiwango chake. Ieleweke kupata elimu kubwa, kuwa mzuri sana darasani haukufanyi kuwa bora katika service delivery.

Ku utilize resources na knolegde ulimwengu mwingine kabisa tofauti na kutema content darasani kisha kumsaishia mwanafunzi aliyekariri ulichomtemea.

Ndio maana developed world walishavuka kwenye uga wa kuabudu vyeti sana.

Hayo ya ucha Mungu wa wazazi wake hayaongezi chochote kwenye quality service delivery ya mhusika.

Wewe unatumia nini katika majukumu yako nje ya vyeti vya darasani? Ndiyo maana unaandika ‘knoledge’ badala ya knowledge!
 
Kazi iendelee!

Nimepitia mkeka mpya wa walioteuliwa kuwa Makatibu Tawala, cha kushangaza nimekutana na jina la Prof. Kahyarara, aliyekuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Zaidi sana utaona ndiye Katibu Mkuu pekee aliyetolewa kwenye hiyo nafasi na kuwa RAS.

Sijui nini kimempata huyu Prof hadi kuonekana hatoshi kwenye nafasi ya kuwa Katibu Mkuu.

Tumtakie kila la heri katika nafasi yake mpya ya Katibu Tawala Mkoa wa Geita.

View attachment 2306732
UMESEMA HATOSHI basi NDICHO kilichomtokea
 
Mmh sijui
Namfahamu Prof vizuri sana
Wazazi wake ni wacha Mungu sana
Ni familia yenye hofu ya Mungu sana..
Kielimu yupo vizuri ‘he is smart’ that I know for sure… sijui labda uongozi ndio shida but lipo jambo remote ya msoga inaiangamiza nchi hivyo tu…
Prof rudi shuleni kufundisha (abroad)siasa ni mchezo mchafu.
Wazazi wake wanahusikaje hapo?
 
Nimeangalia michango ya baadhi humu wanamlaumu profesa ila unaweza kuona ni mtu muhimu katika shughuli za kiserikali ndio maana anaamishwa amishwa tu.

Asije akawa kama diwani
Hamna umuhimu wowote,jiwe alivyomtoa Kichere Kutoka TRA akampeleka Kua RAS njombe alikuja akasema 'Baba wa watu huyu nilimtoa TRA nikampeleka Njombe na Wala hakua analalamika lalamika na leo nimemtua kua CAG'.

Ndipo nikajua hio Ni demotion tu, hakuna Cha afisa kipenyo wala nini.
 
Back
Top Bottom