sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,276
- 976
Anamiezi mitatu hajawahi kujifungua? Sijakuelewa hapo
Habari ndugu zangu, ninarafikiyangu anatatizo la kutokata kwa damu ya hedhi, sasa anamiezi mitatu hajawahi kujifungua wala kupata ujauzito.nisaidieni tatizo ni nini labda, na nini kifanyike? Asanteni.
Naomba nikufate PM kama hutajali uniambie kwanini unatumia ID hii...
hapana rafiki aseme hapa hapa nitakusemea kwa mama umeanza tabia ya kwenda vichakani
Anamiezi mitatu hajawahi kujifungua? Sijakuelewa hapo
Yaani ana miezi mitatu tangu alipo anza ku bleed mfululizo.
Aende hospital, huko atakuwa muwazi kama alishawahi kutumia dawa za uzazi wa mpango ama lah. Pia kuna dawa huwa wanachomwa, inasababisha kufunga wa damu hiyo. Sijui sababu ya kutoka damu hiyo ni ipi wala madhara ya hizo sindano wanazochomwa.
Tena itakuwa vizuri akionana na Gyno.
Afu siku nyingine sitakupa ushauri ukianza mambo ya rafiki yangu wakati ni wewe.
Naomba nikufate PM kama hutajali uniambie kwanini unatumia ID hii...
Habari ndugu zangu, ninarafikiyangu anatatizo la kutokata kwa damu ya hedhi, sasa anamiezi mitatu hajawahi kujifungua wala kupata ujauzito.nisaidieni tatizo ni nini labda, na nini kifanyike? Asanteni.