sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,276
- 976
Wakuu;
Heshima mbele.. Naomba kumuuliza anayefahamu.. Ni kawaida kwa binti kupitiliza siku zake (menstrual cycle) mpaka siku 10+.. Kwa mtu ambae ofcoz siku hubadilika kwa +5 au +4.. ??
Au yaweza kuwa dalili ya mimba?? Lakini a girl is normal healthwise.. Na zipi ni dalili za awali za ujauzito..?
NB: Naomba ujikite zaidi kwenye kujibu swali husika.. Kama huwezi basi ni busara zaidi ukasoma na kupita tu au kuweka like/dislike..
Karibuni wajuvi wa mambo!
Heshima mbele.. Naomba kumuuliza anayefahamu.. Ni kawaida kwa binti kupitiliza siku zake (menstrual cycle) mpaka siku 10+.. Kwa mtu ambae ofcoz siku hubadilika kwa +5 au +4.. ??
Au yaweza kuwa dalili ya mimba?? Lakini a girl is normal healthwise.. Na zipi ni dalili za awali za ujauzito..?
NB: Naomba ujikite zaidi kwenye kujibu swali husika.. Kama huwezi basi ni busara zaidi ukasoma na kupita tu au kuweka like/dislike..
Karibuni wajuvi wa mambo!