johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mahakama ni muhimili huru!Rais ameshaonesha msimamo wake, hakuna jaji atakayetoa hukumu tofauti.
Kwanza hata hiyo kesi yako ikipokelewa mahakamani, na ikapangiwa majaji shukuru Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama ni muhimili huru!Rais ameshaonesha msimamo wake, hakuna jaji atakayetoa hukumu tofauti.
Kwanza hata hiyo kesi yako ikipokelewa mahakamani, na ikapangiwa majaji shukuru Mungu.
Hii nchi rais Ni wa pili baada ya mwenyezi mungu...Hii nchi bwana!! Eti ikimpendeza rais! Mtu wa kwanza kuongozwa na katiba na sheria ni lazima awe rais.
Sasa sheria na katibas ni lazima viwe na misingi imara kwa sasag hili ndilo tatizo!
Ndo maana waimba pambio husema, ikompendeza rais, kama vile ni Mungu.
Rais akimaliza kuapa anaanza kuvunjavunja kiapo chake Mara moja, na hakuna wa kumfanya chochote"kauli ya rais ni sheria" nchi zenye ustawi huwezi kuta huu ujinga upo Tanzania tu
Mahakama ni muhimili huru!
1977Huo Uhuru umeanza lini
Ko cha msingi mkuu unashauri wakae kimya tuu wasifanye chochote.?Bora hilo umelitambua mzee, wacha wale CHADEMA na BAVICHA waendelee kuwashwa washwa na kuikejeli taasisi ya uraisi wakitegemea kuitwa mashujaa!
Waongee kwa hekima na staha! Kutumia lugha kali za vitisho havijawahi kurahisisha mchakato wa kupata unachotaka toka kwa mtu mwenye mamlaka ya kukuzidi. Kama huamini mshurutishe boss wako hapo ofisini juu ya malipo yako yaliochelewa kisha uone utadumu muda gani katika hiko kiti!Ko cha msingi mkuu unashauri wakae kimya tuu wasifanye chochote.?
Nimeipenda hiyo " hakuna kitu tutafanya". Ukweli ulio perfectTanzania sheria na taratibu zipo.
Ila suala la utekelezaji ni maamuzi ya Rais.
Hata wewe unaweza ukakamatwa tu ukawekwa jela na hakuna kitu utafanya.
Waulize masheikh wa uamsho.
Watu pekee wanaoweza kuishurutisha serikali ni wananchi kwa umoja wao, ila hapa kwetu watu hawajawa na utayari kwa hilo.
Kila mtu bado anapenda maisha yake.
In short, kwa nchi kama yetu ukipata Rais anawasikiliza watu hata kidogo ni kushukuru Mungu.
Maana anaweza asimsikilize mtu yeyote na hakuna kitu tutafanya.
Tumejawa na watu tunaopenda hisani siyo haki, watu haki zetu za msingi tunahisi tunapaswa kuwabembeleza wakubwa watupatie.Waongee kwa hekima na staha! Kutumia lugha kali za vitisho havijawahi kurahisisha mchakato wa kupata unachotaka toka kwa mtu mwenye mamlaka ya kukuzidi. Kama huamini mshurutishe boss wako hapo ofisini juu ya malipo yako yaliochelewa kisha uone utadumu muda gani katika hiko kiti!
True.Tumejawa na watu tunaopenda hisani siyo haki, watu haki zetu za msingi tunahisi tunapaswa kuwabembeleza wakubwa watupatie.
Cha kushangaza tunafurahia hili jambo na ajabu zaidi ukionekana unadai haki Watanzania wenzako huanza kukusuta na unaonekana huitakii mema nchi yako.
Haahaa Sio 1961 tena1977
Nyani Ngabu katika ubora wake. Umegonga kule ambako mashabiki wengi wa siasa za Tanzania hawataki. Kwa mfano hili la Mdude nimeshangaa kusikia hata wanasiasa na wasomi makini wakisema hana shukrani kwa rais aliyemtoa jela. Kumbe ametolewa ili aonyeshe shukrani hata kama hakubaliani na kinachofanywa na rais! Observation yako wala usiwe na mashaka nayo. Nchi ya Tanzania rais ni kila kitu. Anaweza kuamua nani afungwe, nani afanye mkutano na vyama vya siasa vipewe au visipelewe haki haki. Hii ni kwa sababu vyombo vya dola na mihimili yote ya serikali iko chini yake na inafuata matakwa yake. Ndiyo maana wengi wanasema bila kuwa na katiba mpya ni bure. Hili la msemo wa kiswahili ''kuuliza siyo ujinga'', ni msemo mzuri sana na hauna mushkeli wowote. Kama ilivyo misemo mingi katika jamii, huendana na tamaduni na tabia za jamii. Huu msemo una-encourage watu kuuliza bila kuwa na aibu wakidhani watachekwa kwa sababu ya kuonekana ni wajinga. Ndiyo maana wakasema ''kuuliza siyo ujinga bali ni kutaka kujua''. Yaani ukiona mtu anauliza jambo fulani basi huyo mtu ni mwerevu kwani anataka kujua zaidi/kuchokonoa zaidi kuhusu lile jambo. Mfano hai: wewe haya yote uliyouliza yanaonyesha hakika wewe siyo mjinga!Katiba na sheria zipi hizi zinazowazuia watu kufanya shughuli za kisiasa nchini?
Sawa haki sio hisani naelewa ila kuna namna ya kuidai hio haki! Angalia nani anapaswa akupatie hio haki? Personality traits zake zikoje? Kuna watu wanataka kuwa pleased ili upate unachotaka na ambao ndio wengi kuliko wale ambao wanajua kukupatia haki ni wajibu wao so hutenda bila kuombwa!Tumejawa na watu tunaopenda hisani siyo haki, watu haki zetu za msingi tunahisi tunapaswa kuwabembeleza wakubwa watupatie.
Cha kushangaza tunafurahia hili jambo na ajabu zaidi ukionekana unadai haki Watanzania wenzako huanza kukusuta na unaonekana huitakii mema nchi yako.
Mkuu umejikita katika kulinda maslahi ya muda mfupi na yanayo umiza. Kudai haki yako siyo kumshurutisha mtu ni kitu ambacho unadeserve kupata siyo kuwa unahurumiwa.Waongee kwa hekima na staha! Kutumia lugha kali za vitisho havijawahi kurahisisha mchakato wa kupata unachotaka toka kwa mtu mwenye mamlaka ya kukuzidi. Kama huamini mshurutishe boss wako hapo ofisini juu ya malipo yako yaliochelewa kisha uone utadumu muda gani katika hiko kiti!
Na wakati ni katiba hiyo hiyo ndo iliyo mpa madaraka akisha pata oath basi katiba ni takataka kwake ila mawazo yake ndo yafuate utadhani Mungu ndo kamuwekaRais akimaliza kuapa anaanza kuvunjavunja kiapo chake Mara moja, na hakuna wa kumfanya chochote