Nini kinachotuongoza? Sheria na Katiba au hila na fadhila za Rais?

Nini kinachotuongoza? Sheria na Katiba au hila na fadhila za Rais?

Katiba na Sheria!

Kwa hii katiba ilivyo mbovu rais yuko juu ya katiba na sheria. Na kiuhalisia rais ndio anaendesha sheria za nchi, na sio nchi kuendeshwa kwa sheria. Yote haya rais anafanikiwa kuyafanya maana katiba imempa nguvu ya kuamrisha vyombo vya dola kufanya atakavyo, bila kuulizwa na yoyote, na hawezi kushitakiwa kwa makosa yoyote atakayofanya akiwa madarakani au ametoka. Iwapo katiba itarekebishwa kwenye madaraka ya urais, inatakiwa rais akitoa maagizo aweke kwa maandishi, huku akiweka wazi vifungu vilivyovunjwa, na vifungu vinavyomruhusu kutoa amri hiyo. Hii itaaondoa sheria iliyo na nguvu kabisa kuliko zote iitwayo amri kutoka juu. Amri kutoka juu asili yake kubwa huwa inatokana na madaraka makubwa ya urais yanayotumika vibaya.
 
Waongee kwa hekima na staha! Kutumia lugha kali za vitisho havijawahi kurahisisha mchakato wa kupata unachotaka toka kwa mtu mwenye mamlaka ya kukuzidi. Kama huamini mshurutishe boss wako hapo ofisini juu ya malipo yako yaliochelewa kisha uone utadumu muda gani katika hiko kiti!
Hukuelewa hata alichoandika mleta uzi?Mleta uzi alipoandika kuwa suala la madai ya katiba mpya ni suala la wananchi wala siyo suala la Rais wa nchi hukumuelewa?Huyo unaedai kuwa upinzani uongee nae kwa staha ili madai yao yasikilizwe ni nani sasa?Au unamaanisha Mungu?
 
Hukuelewa hata alichoandika mleta uzi?Mleta uzi alipoandika kuwa suala la madai ya katiba mpya ni suala la wananchi wala siyo suala la Rais wa nchi hukumuelewa?Huyo unaedai kuwa upinzani uongee nae kwa staha ili madai yao yasikilizwe ni nani sasa?Au unamaanisha Mungu?
Hamna Mungu hapo, kiini cha hoja ni haki idaiwe ila sio kwa kutumia vurugu period!

Swala la wananchi kivipi? Hio topic aliianzisha mwananchi au mwanasiasa uchwara Mbowe!? Talk is cheap haya wewe ni mwananchi ungana na familia yako mkafanye vurugu mnazozijua nyie anzeni mbele si mnadai haki! Si una uchungu na katiba wewe anzisha movement ukiwa na mkeo na watoto wako!
 
Waongee kwa hekima na staha! Kutumia lugha kali za vitisho havijawahi kurahisisha mchakato wa kupata unachotaka toka kwa mtu mwenye mamlaka ya kukuzidi. Kama huamini mshurutishe boss wako hapo ofisini juu ya malipo yako yaliochelewa kisha uone utadumu muda gani katika hiko kiti!
Wapo mabosi wanaotolewa kwenye viti vyao na watumishi wa chini wa kawaida.
Hilo unalijua

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Hamna Mungu hapo, kiini cha hoja ni haki idaiwe ila sio kwa kutumia vurugu period!
Unaelewa kuwa haki huwa inachukuliwa na siyo kuombwa?Unaelewa maana ya dhana kwamba haki huchukuliwa?
Swala la wananchi kivipi? Hio topic aliianzisha mwananchi au mwanasiasa? Talk is cheap haya wewe ni mwananchi ungana na familia yako mkafanye vurugu mnazozijua nyie anzeni mbele si mnadai haki! Si una uchungu na katiba wewe anzisha movement ukiwa na mkeo na watoto wako!
Mwanasiasa siyo mwananchi?Unaelewa kuwa mwanasiasa ni mwakilishi wa mwananchi katika masuala ya nchi?Mbunge siyo mwanasiasa?Kazi ya mbunge ni nini?
 
Unaelewa kuwa haki huwa inachukuliwa na siyo kuombwa?Unaelewa maana ya dhana kwamba haki huchukuliwa?

Mwanasiasa siyo mwananchi?Unaelewa kuwa mwanasiasa ni mwakilishi wa mwananchi katika masuala ya nchi?Mbunge siyo mwanasiasa?Kazi ya mbunge ni nini?
Ndio nimesema wewe unaonekana upo bitter sana na swala hili, napendekeza wewe na familia yako ihimize kama ambavyo unaona ni sahihi anzisheni vurugu tarehe ambayo Msukule wenu Mbowe amepanga! Usiende mihangaikoni vaeni matisheti yenu ya M4C muanzie mtaani kwenu hapo na bango lenu mkidai haki yenu ya msingi ya katiba mpya! Ikibidi ununue na kipaza sauti kabisa muandamane kuelekea Magogoni!
 
Sawa haki sio hisani naelewa ila kuna namna ya kuidai hio haki! Angalia nani anapaswa akupatie hio haki? Personality traits zake zikoje? Kuna watu wanataka kuwa pleased ili upate unachotaka na ambao ndio wengi kuliko wale ambao wanajua kukupatia haki ni wajibu wao so hutenda bila kuombwa!

Shida ya hawa ndugu zetu wao wanataka haki kwa kupush kauli za kibabe! Ukikutana na mtu mwenye roho ngumu anakufyekelea mbali and the rest is history! Tuwe na adabu kidogo...tunadai haki ila tuwe na adabu kidogo huwezi kuvunja vipengele vya katiba kwa makusudi hii ni nchi yenye utawala wa sheria sio kijiwe cha kahawa kwamba lugha za chooni ni ruksa kwa yeyote yule!

Ombeni kibali fateni taratibu mkinyimwa lalamikeni na mtoe hoja zenu mama personality yake ni rahisi kusikiliza watu. She is not a harsh person kama mtangulizi wake so mambo yanaweza kwenda smooth watu wakitumia akili vizuri. Wakitaka ubabe vijana wenye kazi ya kuwatuliza wapo!

Ningependa hao wanaojitia wana uchungu sana na katiba wapeleke matumbo yao mbele na familia zao kisha wakifanikiwa kwenye hio vurugu watanzania wengine watafuata!

Mie nimesema ntashiriki mchakato wa hio katiba mpya kama kutakuwa na kipengele cha wananchi kupewa hela ya maendeleo 5M cash kwenye account zao kila mwanzo wa mwaka mpya wa serikali. Kama hilo litakuwepo ntawaunga mkono ila kama ni lile la kuwaingiza akina Mbowe Ikulu tu basi sihusiki na shughuli hio!
Huu ndio upumbavu unaotakiwa kuondoshwa kwenye vichwa vya watu.

Haki ni kwa mujibu wa sheria.
Utekelezwaji wake uwe kwa mujibu wa sheria

hata kama anayeitoa hapendi lazima itolewe

Huo ndio uvunjwaji wa sheria, ambao katiba mpya lazima uizingatie.

Huo wako ni utawala wa kifalme.
Ka uhubiri kwa wapumbavu wenzio

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Huu ndio upumbavu unaotakiwa kuondoshwa kwenye vichwa vya watu.

Haki ni kwa mujibu wa sheria.
Utekelezwaji wake uwe kwa mujibu wa sheria

hata kama anayeitoa hapendi lazima itolewe

Huo ndio uvunjwaji wa sheria, ambao katiba mpya lazima uizingatie.

Huo wako ni utawala wa kifalme.
Ka uhubiri kwa wapumbavu wenzio

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Sasa kwa mantiki hio basi nataka wewe na familia yako tarehe ambayo mtapewa na Aikaeli Mbowe, usiende kazini nunua loudspeaker yako na ya mkeo na muvae maguo yenu ya M4C na watoto pamoja na mabendera yenu muanzie mtaani kwenu mpaka maeneo ya magogoni mkipiga kelele kuwa mnataka katiba mpya!

Huu uchungu usiishie kwenye keyboard ya simu yako tu! Hii nchi sio ya kifalme kama ulivyokiri kwahio toka ndani kwako ingia barabarani na mabango na mkeo na wanao! Haki haiombwi!!!
 
Ndio nimesema wewe unaonekana upo bitter sana na swala hili, napendekeza wewe na familia yako ihimize kama ambavyo unaona ni sahihi anzisheni vurugu tarehe ambayo Msukule wenu Mbowe amepanga! Usiende mihangaikoni vaeni matisheti yenu ya M4C muanzie mtaani kwenu hapo na bango lenu mkidai haki yenu ya msingi ya katiba mpya! Ikibidi ununue na kipaza sauti kabisa muandamane kuelekea Magogoni!
Mawazo kama yako:

1.Ndiyo yamefanya suala la haki Tanzania kuonekana kuwa ni hisani ya Rais.

2.Ndiyo yamebadili kiongozi mkuu wa nchi kutoka kuwa Rais wa nchi hadi kuwa mfalme wa nchi.

3.Ndiyo yamefanya mihimili yote mitatu ya nchi kuwa ni mali ya Rais.

4.Ndiyo yamesababisha mhimili wa mahakama kuwa fimbo ya Rais ya kuwachapa wapinzani wake ambao wapo kwa mujibu wa katiba.

5.Ndiyo yamefanya Rais kuanza kuvunja katiba ambayo anaitumia kuapa mara moja baada ya kumaliza tu kuapa.

6.Ndiyo yanamfanya Rais aone kuwa katiba na sheria ni vituko.

7.Ndiyo yanamfanya Rais ajione mungu wakati ni mtumishi wa watu.

8.Ndiyo yanamfanya Rais aamini kuwa wananchi ni mbuzi wake ambao anapaswa kuwasaga apendavyo.

9.Ndiyo yanasababisha viongozi kama akina Sabaya kulawiti na kubaka wananchi kwa sababu wanaamini kuwa hakuna wa kuwafanya kitu.

10.Ndiyo yanasababisha Taifa hadi leo bado linahangaika na mambo madogo sana kama vile maji,umeme na barabara licha ya kupata uhuru zaidi ya miaka 50 iliyopita.

Umeona sasa jinsi ulivyo na hasara katika nchi hii?
 
Kama katiba ya sasa inavunjwa ni vipi hiyo mpya itaheshimiwa?

Nadhani ungeanza usimamizi thabiti wa katiba ya sasa kabla ya kudai mpya.

Aidha CHADEMA wanadai katiba mpya ili iwasaidie kushika dola ila sio kumsaidia mwananchi wa kawaida katika shughuli zake za kila siku.
Nadhani ya sasa haiheshimiki kwa mujibu wa maelezo yako kwa maana imepitwa na wakati.

Ni katiba ya viongozi siyo ya wananchi!

Haiwawajibishi viongozi wapumbav wanaoivunja.

Kiufupi ni katiba isiyo na muelekeo hasa wa kuwasimamia viongozi wake.

Inayo mamlaka tu kwenye kuwapa madaraka ila haiwezi kuwawajibisha na kuwasimamia.

Inawafanya viongozi wawe wapumbavu, wasiwe na hofu juu ya sheria coz hakuna Consequences zitawapata baada ya upumbav wao.

Wanajitungia sheria kujilinda dhidi ya sheria kwa makosa ya kipumbav kwa udhaifu wa katiba iliyopo.

Lini wataacha kuisifia?




Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Mawazo kama yako:

1.Ndiyo yamefanya suala la haki Tanzania kuonekana kuwa ni hisani ya Rais.

2.Ndiyo yamebadili kiongozi mkuu wa nchi kutoka kuwa Rais wa nchi hadi kuwa mfalme wa nchi.

3.Ndiyo yamefanya mihimili yote mitatu ya nchi kuwa ni mali ya Rais.

4.Ndiyo yamesababisha mhimili wa mahakama kuwa fimbo ya Rais ya kuwachapa wapinzani wake ambao wapo kwa mujibu wa katiba.

5.Ndiyo yamefanya Rais kuanza kuvunja katiba ambayo anaitumia kuapa mara moja baada ya kumaliza tu kuapa.

6.Ndiyo yanamfanya Rais aone kuwa katiba na sheria ni vituko.

7.Ndiyo yanamfanya Rais ajione mungu wakati ni mtumishi wa watu.

8.Ndiyo yanamfanya Rais aamini kuwa wananchi ni mbuzi wake ambao anapaswa kuwasaga apendavyo.

9.Ndiyo yanasababisha viongozi kama akina Sabaya kulawiti na kubaka wananchi kwa sababu wanaamini kuwa hakuna wa kuwafanya kitu.

10.Ndiyo yanasababisha Taifa hadi leo bado linahangaika na mambo madogo sana kama vile maji,umeme na barabara licha ya kupata uhuru zaidi ya miaka 50 iliyopita.

Umeona sasa jinsi ulivyo na hasara katika nchi hii?
Sawa upo sahihi wewe andamana! Tutanufaika wote tena utakuwa shujaa kwa manufaa ya taifa lako mkuu...Mi nakusihi sana andamana mzee na familia yako akiwemo mke na watoto wako mkuu!

Utatusaidia sana sie ambao tunaonekana wazembe kudai haki ya katiba mpya...Mi nakusapoti kwa asilimia mia katiba ni haki na haki haiombwi mkuu we ingia rodi tarehe mtakayopangiana na mwenyekiti wa Ufipa ukiwa na mkeo na jamaa zako ikibidi muwe mmevalia matisheti kipaza sauti na bendera kuipinga katiba mbovu iliopo na kudai katiba mpya
 
Ila hii nchi in a matatizo sana tena mno, jambo/mambo ya msingi na maana, yanajadiliwa kimasikhara na kubezwa, duuuuh.
JAH awe nasi kwa kweli lol.
 
Nadhani ya sasa haiheshimiki kwa mujibu wa maelezo yako kwa maana imepitwa na wakati.

Ni katiba ya viongozi siyo ya wananchi!

Haiwawajibishi viongozi wapumbav wanaoivunja.

Kiufupi ni katiba isiyo na muelekeo hasa wa kuwasimamia viongozi wake.

Inayo mamlaka tu kwenye kuwapa madaraka ila haiwezi kuwawajibisha na kuwasimamia.

Inawafanya viongozi wawe wapumbavu, wasiwe na hofu juu ya sheria coz hakuna Consequences zitawapata baada ya upumbav wao.

Wanajitungia sheria kujinda dhidi ya sheria kwa makosa ya kipumbav kwa udhaifu wa katiba iliyopo.

Lini wataacha kuisifia?




Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mkuu usisahau tarehe atakayowapa mwenyekiti mtoke na familia zenu tushachoka haya mabishano ya kwenye keyboard za simu! Nataka niwaone mkiwa mtaani na familia zenu maana nyie ni wanananchi na katiba ni yenu na mna haki ya kuidai sio kuiomba! Tutakuja kuwaunga mkono baada ya kuona matokeo.
 
Waongee kwa hekima na staha! Kutumia lugha kali za vitisho havijawahi kurahisisha mchakato wa kupata unachotaka toka kwa mtu mwenye mamlaka ya kukuzidi. Kama huamini mshurutishe boss wako hapo ofisini juu ya malipo yako yaliochelewa kisha uone utadumu muda gani katika hiko kiti!
Khaaaaah sitaki kuamini hii comment umeandika wee, mweeeeh
 
Sawa upo sahihi wewe andamana! Tutanufaika wote tena utakuwa shujaa kwa manufaa ya taifa lako mkuu...Mi nakusihi sana andamana mzee na familia yako akiwemo mke na watoto wako mkuu!

Utatusaidia sana sie ambao tunaonekana wazembe kudai haki ya katiba mpya...Mi nakusapoti kwa asilimia mia katiba ni haki na haki haiombwi mkuu we ingia rodi tarehe mtakayopangiana na mwenyekiti wa Ufipa ukiwa na mkeo na jamaa zako ikibidi muwe mmevalia matisheti kipaza sauti na bendera kuipinga katiba mbovu iliopo na kudai katiba mpya
Kwanza umekubali kuwa huna faida katika Taifa hili na unapaswa kufa?
 
Khaaaaah sitaki kuamini hii comment umeandika wee, mweeeeh
Mama mie nimeongea kwa utashi kabisa wala sijavuta bange!
Wale mlio na uchungu sana na mnahisi fujo ndio zitaleta suluhu ya haraka mie naomba mlianzishe tu jamani maana hata mie nimechoka kelele za kwenye keyboards! Toka wewe, baba na mama yako kama wapo pamoja na ndugu zako muelekee barabara kuu na vipaza sauti vyenu na matisheti na mabendera mkiandamana kwa ajili ya kutaka katiba mpya! Mtatusaidia hata sisi ambao hatujaguswa
 
Kwanza umekubali kuwa huna faida katika Taifa hili na unapaswa kufa?
Sina faida kwa ambao wanahisi wao wana akili sana kuliko wengine! Ila kwa wenye hekima nina faida kubwa tu kuwepo sababu kuna watu wengi wanaishi kupitia mimi!
 
Back
Top Bottom