Nini maana ya tatizo ni usimamizi wa katiba ya sasa?
Maana yake ni hii iliyopo ni dhaifu haiwagusi wanaoivunja?
Ingekuwa inatamka na jinsi wasioitii namna gani wanashughulikiwa hata kama ni rais ningeona huja yako ina mashiko
Hoja ni wazi katiba hii ina madhaifu makubwa na Tanzania watu wake wanaanza kutoka kwenye ujinga kuja kwenye elimu
Bila madiliko ya katiba ipo siku hata hako kakazi kako unakojifanya kanakulisha na familia yako hutakafanya. Na utakumbuka na kujilaumu kwa kukumbatia upumbav
Sent from my SM-G532F using
JamiiForums mobile app