Nini kinachotuongoza? Sheria na Katiba au hila na fadhila za Rais?

Nini kinachotuongoza? Sheria na Katiba au hila na fadhila za Rais?

Wale wanaolipwa kule Canada kila mwaka wa serikali ukianza wao ni wachumia tumbo?

Acheni upuuzi nyie system ya utawala ya kibongo haiwezi badilika bila kuleta utata tena utata kweli kweli hizi ngonjera mnazoleta hapa za kujidai mnadai katiba kwenye thread za JF haitawasaidia kenge maji watupu! Oh haki haiombwi blah blah andamaneni mdai kinguvu haki yenu kwa jasho na damu!

Hamna mtawala ambaye atakubali ku jeopardize madaraka yake eti kwa sababu kuna mpinzani analeta kelele! Madaraka hayapatikani kirahisi watu wamevunja nazi sana wametumia hela hao kina Mbowe wanafikiri watapewa nchi kirahisi?
Ndio maana ninaamini wewe ni mzee mpumbav.

Hatutaishi maisha ya hofu za kipumbav na vitisho.

Hayo mawazo yako wapelekee familia yako,

Lazima tuione Tanzania yenye katiba bora, uongozi na siasa safi.

Tanzania inayojali wasomi kwa kuwapa ajira, wakulima wapate zana na pembejeo bora, wafanyakazi welfare na sio Tanzania inayowajali viongozi kwanza.

Mawazo yako ya kipumbav peleka huko kwako yawatie ujinga.
Pumbav



Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana ninaamini wewe ni mzee mpumbav.

Hatutaishi maisha ya hofu za kipumbav na vitisho.

Hayo mawazo yako wapelekee familia yako,

Lazima tuione Tanzania yenye katiba bora, uongozi na siasa safi.

Tanzania inayojali wasomi kwa kuwapa ajira, wakulima wapate zana na pembejeo bora, wafanyakazi welfare na sio Tanzania inayowajali viongozi kwanza.

Mawazo yako ya kipumbav peleka huko kwako yawatie ujinga.
Pumbav



Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Umenitukana sijaona hoja nimesema wewe uanze kuandamana mbona hilo unakwepa mzee!? Sema kimeumana 😂😂😂
 
Hapo hakuna mzaha tatizo mnapenda kutiana moyo kijinga unataka nikuunge mkono ili tuendelee kujaza thread kwa lawama tu juu ya wanaotupinga mzee?

Ishu ni kuandamana pambanieni haki hio ya madai ya msingi ya katiba mpya! But mind you the guy on the throne is not a fool either! Kilichobakia ni kupambana physically maana mlishaongea so if its worth it beba familia yako na watoto muanze mapambano!
Mzee mpumbav, hata katika maandiko yameweka bayana
Heri kijana muelevu kuliko kiongozi mzee mpumbavu.
Umelaanika!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
01: Kiuhalisia hakuna usawa na uhuru kati ya mihimili yetu ya Serikali, Bunge na Mahakama kama Katiba inavyohitaji.

02: Hakuna matashi mema ya watu na taasisi zetu kusimamia haki na wajibu kama inavyostahili.

03: Tuna ubinafsi mwingi na kila mmoja anaangalia masilahi yake binafsi na siyo masilahi mapana ya nchi.

04: Hatuna uzalendo kama tunavyotaka tuonekane.

05: Suluhisho ya yote haya tuwe wazalendo wa kweli, sote wananchi na viongozi, tuachane na huu unafiki. Lest tutaendelea kuongozwa na hila na fadhila za Rais.
Ili tuwe wazalendo lazima jeshi la nchi liwe kwa Sasa jeshi Ni la watawala. Hata Marekani Jeshi ndo linaisimamia mihimili mingine ili kutimiza wajibu wake kila siku.Najua wengi hawaielewi hii. Uhuru daima hulindwa kwa nguvu. Ili mahakama na Bunge viwe huru lazima viwe na uhakika wa sapoti ya jeshi.
 
Kama katiba ya sasa inavunjwa ni vipi hiyo mpya itaheshimiwa?

Nadhani ungeanza usimamizi thabiti wa katiba ya sasa kabla ya kudai mpya.

Aidha CHADEMA wanadai katiba mpya ili iwasaidie kushika dola ila sio kumsaidia mwananchi wa kawaida katika shughuli zake za kila siku.
Kwani lengo la chama Cha siasa Ni Nini? Na wakishika dola Nani amesema hawatwasaidia wananchi? Na je wasipowasaidia wananchi si wanatolewa na katiba nzuri inayotoa haki? Nyinyi msiotaka katiba mpya ndo mna ajenda ya siri
 
Hivi unajua hio haki mnayotaka kuidai kwa ubabe itaambatana na mkong’oto wa FFU?

Hakuna asiyetaka kudai haki ya katiba ila je umejiandaaje na kichapo hicho maana lazma utata utakuwa mkubwa! Kama ulikuwepo zama za Mwembechai 1996 basi kile kilichotokea ndio hasa kitatokea maeneo mengi ya nchi katika kizazi hiki mayai mayai nani yupo tayari kwa ule uharibifu?

Nikiangalia hio katiba haininufaishi moja kwa moja bado! Nimesema ntapambania katiba kama kuna kipengele cha mwananchi kupewa gawio lisilopungua 5M kila mwaka wa serikali unapoanza ili kupunguza makali ya maisha! Siwezi kupambania ndoto za wanasiasa wao wakabunye zao Burj Khalifa kila December wakati mie naganga njaa!
Una mawazo finyu Sana.
 
Hahahahah raisi akifata kila mnachotaka nchi itatawalikaje? Halafu mnataka katiba ambayo nyie mnachofikiri ndio raisi afanye huyo atakuwa raisi au mdoli!? [emoji28] Mfano mwepesi tu wewe ndio baba mjengoni kwako ila mtoto wako wa darasa la 4 ndio akupangie utaratibu wa kuendesha nyumba we uliskia wapi? Eti baba usioe nimesema hatutaki mama wa kambo humu [emoji23][emoji23][emoji23] na we mzee unakubali unaanza kupiga nyeto! We uliskia wapi hilo???

Acheni kuota hata huyo Mbowe akipewa nchi pamoja na katiba mpya hamna kitu atafanya ambacho kitampa ugumu kuwatawala! Mkileta ujinga atatumia polisi na majeshi kama kawa!!!
Rais anatakiwa kufuata katiba,Sera, Sheria ,taratibu na Mila na deaturi Basi. Hakuna mtu anayetaka kumpangia rais Cha kufanya. Anapoambiwa hapa no ujue ameenda kinyume na hayo ya juu.
 
Watu kama Zitto na Mbowe ni wajanja wajanja sana. Wanaijua mamlaka ya Rais wa Tanzania vizuri.

Ndio maana sometimes Zitto huwa anapata mihemko anaandisha harsh sana mtandaoni, halafu baada ya dakika 2 unakuta kafuta.

Ukishampa mtu madaraka hata akiwa chizi, ndio imetoka hiyo. Lazima utumie busara sana.

Ni sawa na mtu kwenye nchi yenye madereva wasiotii sheria za barabarani kutembea kwa madoido katikati ya zebra ukijua una haki zote.

Ukigongwa ukafa au ukavunjwa miguu, hata wakileta traffic police 3,000 wakapima na kuonesha umeonewa na dereva ndio mkosaji, wewe miguu yako au uhai hauwezi kurudi.

Zitabaki stori tu.
Acha kumlinganisha Mbowe na vitu vya kijinga.
 
Chadema wanashirikiana na kundi gani kudai katiba mpya mpaka sasa ?
You don't need anyone else to do the right thing. Kwa mfano washirikiane na Nani kwa mfano? Ni kila mtu kwa nafsi yake kwa Sasa ndo aungane nao. Chadema ndo taasisi huru peke yake Tanzania kwa Sasa.
 
Nimezisoma ila pamoja na yote wewe mwenye faida andamana bro! Tusiendelee kuwa watu wa kulalamika na kupingana wenyewe kwa wenyewe, rational decision kwa hali ilipofikia si mumeona fujo ndio suluhu...? Kama jibu ni ndio nahitaji kukuona uko barabarani na sio kuendelea kulalamika nyuma ya keyboard watu wenye uchungu na katiba mpya kama wewe na mnaoitaka kwa heri ama kwa shari kama asemavyo mbeligiji wenu Lissu basi atue bongo na wewe utoe mkeo na wanao katika tarehe atakayowapa mkadai kwa nguvu katiba! Nadhani tutakuwa tumeelewana bro!
Kudai katiba mpya ,kuandamana au kufanya mkutano wa hadhara kwako Ni vurugu na fujo?
 
Nyerere aliharibu sana bongo za watanzania alipoingiza siasa za kikomunisti.
Mpaka leo wananchi tumekua na ulemavu wa akili.
Tuko kama misukule.
Hiyo ndiyo legacy mbaya sana aliyotuachia Nyerere. Aliogopa CCM isije ikatoka madarakani akiwa hai. Akaacha katiba inayokipa chama hicho umiliki wa dola kidikteta (chama dola).

Waliomfuatia walishikilia hapo hapo wakaondoa tu vipengele vya Azimio la Arusha vinavyokwamisha ufisadi. Huo ndio umekuwa msiba wa taifa hili (national tragedy) hadi leo. Kila kitu sasa kinategemea hisani na fadhila za Rais wa CCM.
 
Unajua ndugu, hawa ni type ya akina' makamanda wastaafu walioondolewa hivi karibuni huko Dar na Dodoma' manake wenyewe' badala ya kuwalinda wananchi, ilikuwa kila leo ni kutishia kuvunja miguu wananchi na kutishia watu 'kipigo cha mbwa',

ili kufurahisha waliowateua, hata kwa masuala ambayo ni ya haki za msingi kwa wananchi kulingana sheria zilizopo na katiba iliyopo..... yaani ndugu ni kazi kubadili mawazo ya watu kama hawa ambao, suluhisho la matatizo kwao huwa ni kutumia mabavu moja kwa moja kwa kila kitu.
 
Back
Top Bottom