Nini kinakuvutia zaidi katika simu janja(smartphones) kutoka kampuni ya Samsung?

Nini kinakuvutia zaidi katika simu janja(smartphones) kutoka kampuni ya Samsung?

samsang gani hiyo mkuu na hiyo feature au setting inaitwaje
20221218_122157.jpg

Umeona hilo neno smart lock hapo
Nd kila kitu
 
Kuna hii inaitwa pop up view yaani unaangalia video huku unaendelea kufanya mambo yako kama mimi hapa nipo jamiiforums still kuna video inaplay pale juu mini screen,napenda sana throwbacks nikiwa nachat au kuingia jamiiforums ni lazima niplay video ya throwback hiyo ni mary J blige "be without you"
Screenshot_20221218-131633_Chrome.jpg
 
Kuna hii inaitwa pop up view yaani unaangalia video huku unaendelea kufanya mambo yako kama mimi hapa nipo jamiiforums still kuna video inaplay pale juu mini screen,napenda sana throwbacks nikiwa nachat au kuingia jamiiforums ni lazima niplay video ya throwback hiyo ni mary J blige "be without you"
View attachment 2450584
Hahah acha hyo pop up sio poa na saiv kuanzia s9+ na kuendelea kuna pop up option hadi inaboa kwa furaha😀😀😀🤝
 
Secure folder ni nyoko!! Nilimpa wife simu yangu aitumie. Amekaa nayo mwaka mzima na imejaa makolokolo yangu machafu sana zIdi ya GB 40. Na kuna muda alikuwa anaenda nayo hadi kwao anakaa huko hata wiki mbili[emoji38][emoji38][emoji38]

Mi nikiishika nachukua ninachokitaka. Alafu namrudishia. Ilikuwa pia na fb nyingine kwenye scure folder ambayo niliifungua kwa jina bandia na huwa nachat ujinga mtupu humo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Samsung noma mno. Feature nyingine inayonifurahisha ni ile ya SIDE KEY. Unaiset ukiipress mra mbili inafungua direct app uliyoiset. Naweza kuwa JF nikafungua sms bila kufunga JF nikasoma sms nikajibu alafu nikaendelea.

Inanifurahusha sana Samsung siwezi tumua simu nyingine
 
Back
Top Bottom