off-sir
Member
- Dec 21, 2019
- 65
- 56
huu ni uwongo mkuuUende si sumsang tu, "sijui". ninavutiwa na setting ya password:-nikiwa nyumbani kwangu simu haiingii password, mtu yoyote anaweza chukua na kuitumia bila kuingiza password ila nikitoka eneo la nyumbani inaomba password.