Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Ongeza na utunzaji wa betri kwa kuchaji isijae had 85%. (Natumia s10)Mi napenda
👉edge display
👉 Secure Folder
👉 Edge panel
👉 always on display
👉 Apps (Samsung Health and Music)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza na utunzaji wa betri kwa kuchaji isijae had 85%. (Natumia s10)Mi napenda
👉edge display
👉 Secure Folder
👉 Edge panel
👉 always on display
👉 Apps (Samsung Health and Music)
Hii setting ipo pia kwenye samsung s7 na pia ipo privatesecure folder ni nini wakuu tupeni elimu na je ipo katika samsung za s 7edge au ni izi latest samsung?
au ndo ile private mode yani ukiswitch unaweka password then inakuwa on apo unakuw huru na picha na videos then ukiwek off zinapotea.Hii setting ipo pia kwenye samsung s7 na pia ipo private
Sijui nikuelekezaje😄
Tuko pamoja..mwakani ni mwendo wa pixel.Aiseee Wakuuu mtanisamehe nataka mwakani nihame brand nijaribu Google Pixel
Ewaaaah hapo hapooau ndo ile private mode yani ukiswitch unaweka password then inakuwa on apo unakuw huru na picha na videos then ukiwek off zinapotea.
Ipo kuanzia s6 na kuendelea pamoja na Note seriessecure folder ni nini wakuu tupeni elimu na je ipo katika samsung za s 7edge au ni izi latest samsung?
Unaset vipi hiyo mkuu?Kuna hii inaitwa pop up view yaani unaangalia video huku unaendelea kufanya mambo yako kama mimi hapa nipo jamiiforums still kuna video inaplay pale juu mini screen,napenda sana throwbacks nikiwa nachat au kuingia jamiiforums ni lazima niplay video ya throwback hiyo ni mary J blige "be without you"
View attachment 2450584
Video ikiwa inaplay unabonyeza hapo kwenye circle ya blue basiitapop up kiscreen kidogo kinachoonyesha hiyo video hapo utaendelea tu kufanya mambo yako..Unaset vipi hiyo mkuu?
Thanks mno.Video ikiwa inaplay unabonyeza hapo kwenye circle ya blue basiitapop up kiscreen kidogo kinachoonyesha hiyo video hapo utaendelea tu kufanya mambo yako..View attachment 2453985
Kuna hii inaitwa pop up view yaani unaangalia video huku unaendelea kufanya mambo yako kama mimi hapa nipo jamiiforums still kuna video inaplay pale juu mini screen,napenda sana throwbacks nikiwa nachat au kuingia jamiiforums ni lazima niplay video ya throwback hiyo ni mary J blige "be without you"
View attachment 2450584
Sisi wa Infinix hatuna tatizo la battery kabisa ,kama sumsung na ujanja wao wanashindwa kumanage chaji tu huo si ujinga sasa [emoji23]Kuna wakati hata reviews hazina sana msaada.
Settings na matumizi ya simu yanachangia sana kwenye battery health.
Sisi wa Infinix hatuna tatizo la battery kabisa ,kama sumsung na ujanja wao wanashindwa kumanage chaji tu huo si ujinga sasa [emoji23]
Bado ujui samsung wewe unyama ni mwingi mno sio A wala s wala note pote ni unyama tu.Hizo Features zote hazipatikani kwenye A Series halafu S na Note Series Ambapo ndo zinapatikana napo Betri Majanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo ndo ninapochanganyikiwa kununua Samsung! ukitaka Battery chukua A Series ila sasa Ule unyama Haupo huko [emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297] Ukitaka Unyama Basi Battery Manyanyaso labda uwe na kuanzia S10
Hahahahaha sijawahi namuomba Mungu aendelee kunijaalia nisikutane nayo kabisa.Infinix sio simu bali ni kifaa cha mawasiliano[emoji23][emoji23]
Hii karibu kila simu inayoKinachonivutia kwenye Samsung Ni Secure folder
Iyo ngoma kali sanaaaKuna hii inaitwa pop up view yaani unaangalia video huku unaendelea kufanya mambo yako kama mimi hapa nipo jamiiforums still kuna video inaplay pale juu mini screen,napenda sana throwbacks nikiwa nachat au kuingia jamiiforums ni lazima niplay video ya throwback hiyo ni mary J blige "be without you"
View attachment 2450584