Nini kinakuvutia zaidi katika simu janja(smartphones) kutoka kampuni ya Samsung?

Nini kinakuvutia zaidi katika simu janja(smartphones) kutoka kampuni ya Samsung?

Kuna hii inaitwa pop up view yaani unaangalia video huku unaendelea kufanya mambo yako kama mimi hapa nipo jamiiforums still kuna video inaplay pale juu mini screen,napenda sana throwbacks nikiwa nachat au kuingia jamiiforums ni lazima niplay video ya throwback hiyo ni mary J blige "be without you"
View attachment 2450584
Unaset vipi hiyo mkuu?
 
Unaset vipi hiyo mkuu?
Video ikiwa inaplay unabonyeza hapo kwenye circle ya blue basiitapop up kiscreen kidogo kinachoonyesha hiyo video hapo utaendelea tu kufanya mambo yako..
Screenshot_20221221-230412_Video Player.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20221221-230412_Video Player.jpg
    Screenshot_20221221-230412_Video Player.jpg
    55 KB · Views: 28
Kuna hii inaitwa pop up view yaani unaangalia video huku unaendelea kufanya mambo yako kama mimi hapa nipo jamiiforums still kuna video inaplay pale juu mini screen,napenda sana throwbacks nikiwa nachat au kuingia jamiiforums ni lazima niplay video ya throwback hiyo ni mary J blige "be without you"
View attachment 2450584

Jf web naonaga michosho kweli
Sijui kwanini?
 
Kuna wakati hata reviews hazina sana msaada.

Settings na matumizi ya simu yanachangia sana kwenye battery health.
Sisi wa Infinix hatuna tatizo la battery kabisa ,kama sumsung na ujanja wao wanashindwa kumanage chaji tu huo si ujinga sasa [emoji23]
 
Sisi wa Infinix hatuna tatizo la battery kabisa ,kama sumsung na ujanja wao wanashindwa kumanage chaji tu huo si ujinga sasa [emoji23]

Mkuu Hii ni sawa na mtumiaji wa virtz kujisifu eti virtz nibora zaidi sababu inakaa sana na mafuta kuliko vogue

High tech ina consume zaidi umeme kuliko low tech....... simple logic

Zipo low budget phone za Samsung zinakaa na chaji kama akina Tecno and the co
 
Hizo Features zote hazipatikani kwenye A Series halafu S na Note Series Ambapo ndo zinapatikana napo Betri Majanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo ndo ninapochanganyikiwa kununua Samsung! ukitaka Battery chukua A Series ila sasa Ule unyama Haupo huko [emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297] Ukitaka Unyama Basi Battery Manyanyaso labda uwe na kuanzia S10
Bado ujui samsung wewe unyama ni mwingi mno sio A wala s wala note pote ni unyama tu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kati ya Galaxy S8 na A30 lipi chaguo sahihi.

Muhimu: kioo kikubwa, AMOLED display, betri kubwa, camera kali, durability..
 
Kuna hii inaitwa pop up view yaani unaangalia video huku unaendelea kufanya mambo yako kama mimi hapa nipo jamiiforums still kuna video inaplay pale juu mini screen,napenda sana throwbacks nikiwa nachat au kuingia jamiiforums ni lazima niplay video ya throwback hiyo ni mary J blige "be without you"
View attachment 2450584
Iyo ngoma kali sanaaa
 
Back
Top Bottom