Nini kinakuvutia zaidi katika simu janja(smartphones) kutoka kampuni ya Samsung?

Nini kinakuvutia zaidi katika simu janja(smartphones) kutoka kampuni ya Samsung?

Secure folder ni nyoko!! Nilimpa wife simu yangu aitumie. Amekaa nayo mwaka mzima na imejaa makolokolo yangu machafu sana zIdi ya GB 40. Na kuna muda alikuwa anaenda nayo hadi kwao anakaa huko hata wiki mbili[emoji38][emoji38][emoji38]

Mi nikiishika nachukua ninachokitaka. Alafu namrudishia. Ilikuwa pia na fb nyingine kwenye scure folder ambayo niliifungua kwa jina bandia na huwa nachat ujinga mtupu humo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Samsung noma mno. Feature nyingine inayonifurahisha ni ile ya SIDE KEY. Unaiset ukiipress mra mbili inafungua direct app uliyoiset. Naweza kuwa JF nikafungua sms bila kufunga JF nikasoma sms nikajibu alafu nikaendelea.

Inanifurahusha sana Samsung siwezi tumua simu nyingine
Aloo mimi kwenye kila application nmei double moja ipo kawaida nyingine secure folder yaan ni ina save
Ila hyo ya Key sijaipata vzur mkuu
 
Hizo Features zote hazipatikani kwenye A Series halafu S na Note Series Ambapo ndo zinapatikana napo Betri Majanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo ndo ninapochanganyikiwa kununua Samsung! ukitaka Battery chukua A Series ila sasa Ule unyama Haupo huko [emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297] Ukitaka Unyama Basi Battery Manyanyaso labda uwe na kuanzia S10
 
Hizo Features zote hazipatikani kwenye A Series halafu S na Note Series Ambapo ndo zinapatikana napo Betri Majanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo ndo ninapochanganyikiwa kununua Samsung! ukitaka Battery chukua A Series ila sasa Ule unyama Haupo huko [emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297] Ukitaka Unyama Basi Battery Manyanyaso labda uwe na kuanzia S10
Hata S zipo zinazokaa na chaji cha muhimu angalia tu reviews kabla hujanunua. Mfano s20 haikai sana na chaji ila S20 FE inakaa sana na chaji.
 
Hizo Features zote hazipatikani kwenye A Series halafu S na Note Series Ambapo ndo zinapatikana napo Betri Majanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo ndo ninapochanganyikiwa kununua Samsung! ukitaka Battery chukua A Series ila sasa Ule unyama Haupo huko [emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297] Ukitaka Unyama Basi Battery Manyanyaso labda uwe na kuanzia S10
Wale wa S10 tunyooshe mikono🤚
 
Kuna wakati hata reviews hazina sana msaada.

Settings na matumizi ya simu yanachangia sana kwenye battery health.
Inategemea na review kila mtu ana benchmark yake linganisha.

Gsmarena anapima browsing, call time, standby na video watching,

Notebookcheck anapima load at full brightness, browsing na video watching

Phonearena wanapima streaming kama netflix na mixed usage nyengine,

Golden reviewer yeye anapima ukiwa unacheza online game etc.

Ukipitia reviews mbalimbali unapata full picture.
 
Hata S zipo zinazokaa na chaji cha muhimu angalia tu reviews kabla hujanunua. Mfano s20 haikai sana na chaji ila S20 FE inakaa sana na chaji.

nakubaliana na wewe mkuu. nina hii s20FE nilimpa Mrs. ikiwa mpya kabisa nilinunua Tigoshop ikiwa Mpya kabisa inakaa na moto hatari sana.

imagine hapo katoka nayo kazini toka asubuhi na mudo wote akiwa kazini inakuwa connected na Wifi na mixed usage lakini till this evening bado ipo MswanoView attachment 2452034
 
Hizo Features zote hazipatikani kwenye A Series halafu S na Note Series Ambapo ndo zinapatikana napo Betri Majanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo ndo ninapochanganyikiwa kununua Samsung! ukitaka Battery chukua A Series ila sasa Ule unyama Haupo huko [emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297] Ukitaka Unyama Basi Battery Manyanyaso labda uwe na kuanzia S10

simu kubwa za samsung kwa sasa zinakaa na charge,sio kama s4 za miaka hiyo masaa 2 simu ina 25%.

nimetumia note 20 ultra ilikuwa inamaliza masaa 9 onscreen.
 
Kuna hii inaitwa pop up view yaani unaangalia video huku unaendelea kufanya mambo yako kama mimi hapa nipo jamiiforums still kuna video inaplay pale juu mini screen,napenda sana throwbacks nikiwa nachat au kuingia jamiiforums ni lazima niplay video ya throwback hiyo ni mary J blige "be without you"
View attachment 2450584
Camon 19
Screenshot_20221220-153644_1.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20221220-153644.jpg
    Screenshot_20221220-153644.jpg
    48.9 KB · Views: 32
Back
Top Bottom