Melelani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 542
- 536
Hahahaha [emoji23][emoji23]Sisi wa Infinix hatuna tatizo la battery kabisa ,kama sumsung na ujanja wao wanashindwa kumanage chaji tu huo si ujinga sasa [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha [emoji23][emoji23]Sisi wa Infinix hatuna tatizo la battery kabisa ,kama sumsung na ujanja wao wanashindwa kumanage chaji tu huo si ujinga sasa [emoji23]
Sio Samsung zote. Nyingine zinakaa na charge vizuriSisi wa Infinix hatuna tatizo la battery kabisa ,kama sumsung na ujanja wao wanashindwa kumanage chaji tu huo si ujinga sasa [emoji23]
Sana mzee zamani tulifaidi mziki mzuri sanaIyo ngoma kali sanaaa
Ulinunua bei gani hii?Aseee mimi natumia Samsung galaxy A04s ni balaa inakaa na chaji hadi inaboa ipo full security RAM 8 GB 128 aseee Samsung ipo juuu sana
Google pixel ziko vzr hebu jaribuniHabari ya muda huu wana jamvi la Jf?
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza ningependa kila mmoja aeleze ni Features gani zinamfanya apende smartphone kutokea kampuni hii,
Mimi kwa upande wangu kuna ula feature ya private mode na smart silence zinazoptkana katik S series na Note series huwaga nazielewa sana japo zipo nyingi zinazonifanya Ninunue smartphone ya samsung
WEWE JE?
Laki 4 nq 30Ulinunua bei gani hii?
Simu za sasa zinakaa na chaji hata hizo za Samsung.Sisi wa Infinix hatuna tatizo la battery kabisa ,kama sumsung na ujanja wao wanashindwa kumanage chaji tu huo si ujinga sasa [emoji23]
Sisi wa Infinix hatuna tatizo la battery kabisa ,kama sumsung na ujanja wao wanashindwa kumanage chaji tu huo si ujinga sasa [emoji23]
Uongo mkuu, me natumia Samsung A50 mbona ina features zote hizo, secure folder ipo, side key ipo, smart lock ipo, bixby ipo, pop up ipo, smart things ipo, samsung health ipo, samsung pass ipo, device care ipo, n.kHizo Features zote hazipatikani kwenye A Series halafu S na Note Series Ambapo ndo zinapatikana napo Betri Majanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo ndo ninapochanganyikiwa kununua Samsung! ukitaka Battery chukua A Series ila sasa Ule unyama Haupo huko [emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297] Ukitaka Unyama Basi Battery Manyanyaso labda uwe na kuanzia S10
Huzijui Infinix vzuri wewe ,kwa chaji tu hazijambo [emoji23] hayo mengine waachie watumiaji wakekutana na mtu mwenye Iphone 13 pro max au 21 ultra,mwambie azime data na kupunguza mwanga kama unavyofanya.
utagundua kumbe infinix yako haikai na charge.
Kuna simu unawza kufanya hvyoSamsung huwezi ku cancel sms ukishatuma
hakuna simu unawezakufanya hivyo,labda enzi zile za 2g.Samsung huwezi ku cancel sms ukishatuma
Kinachofanya simu ikae chajiHuzijui Infinix vzuri wewe ,kwa chaji tu hazijambo [emoji23] hayo mengine waachie watumiaji wake
Yangu inawezahakuna simu unawezakufanya hivyo,labda enzi zile za 2g.
Ndio, huaweiKuna simu unawza kufanya hvyo
Je ni kampuni gan?
Naikubali sana hii featureUende si sumsang tu, "sijui". ninavutiwa na setting ya password:-nikiwa nyumbani kwangu simu haiingii password, mtu yoyote anaweza chukua na kuitumia bila kuingiza password ila nikitoka eneo la nyumbani inaomba password.
Fold 4 ni ile simu ya kukunjua kama Kitabu,Chief-Mkwawa naomba unisaidie sifa za simu ya Samsung Galaxy Z fold 4, gharama yake pia kwa Tanzania
Ikiwezekana na sifa za iphone 14 plus na bei yake,, natanguliza shukrani