Nini kinakuvutia zaidi katika simu janja(smartphones) kutoka kampuni ya Samsung?

Nini kinakuvutia zaidi katika simu janja(smartphones) kutoka kampuni ya Samsung?

Mimi napenda hii Secret Mode ya kwenye Samsung Internet
Unaturn secret mode on, unatengeneza password yako halafu inakupeleka kwenye internet sasa, unasearch mambo yako ya ovyo, unaangalia wee mpaka unachoka mwenyewe na ukimaliza history inajifuta yenyewe. Hakuna mtu mwingine anayeweza kuingia kwenye Secret Mode yako mpaka ajue password, tena ikiwezekana tia password ambayo hakuna mtu anayeweza kubahatisha mfano "PENTEKOSTE" hamna mtu atabahatisha hii password[emoji23][emoji23]
Ndani ya Secret Mode unafanya ushetani wako wote hata ukikaribia kukamatwa unarudi fasta Home screen, then tayari upo salama 100%. Ukiingia tena Samsung Internet unaikuta ipo kwenye safe internet page ya kila siku[emoji23][emoji23]
Secret Mode inaficha madhambi ya wengi sana[emoji38][emoji38]
 
Fold 4 ni ile simu ya kukunjua kama Kitabu,

gsmarena_023.jpg

gsmarena_026.jpg


Inakua na vioo viwili cha ndani na cha nje, cha ndani ndo hicho cha kufungua kinakuwa kikubwa kama Tablet na cha nje ndo kinakuwa kama cha kawaida.

Bei zake zinakuwa zimesimama kupita maelezo, milioni 4 mpaka 5.

Sema zipo Flip ambazo bei ni za kawaida kama flagship nyengine around 2m. Flip ipo hivi.

View attachment 2458955
Kwa wadada ambao hawana matumizi na kioo kikubwa na wanapenda Fashion Flip ina make sense zaidi.

Hizi ni Flagship vitu kama Camera, Perfomance, na hardware nyengine Quality ni kubwa ila ukaaji chaji ni average.

Kuhusu Iphone 14 plus unless unaipata bei rahisi ni vyema kununua Iphone 13 pro max, iphone 14 ambazo sio pro hawaku upgrade soc na zinamiss feature nyingi.

Bei zake hizi nazo ni around 2.5m
Mkuu mambo vipi..

Kwa budget ya 600k-800k, simu gani kali ya kuishi nayo
 
Mkuu mambo vipi..

Kwa budget ya 600k-800k, simu gani kali ya kuishi nayo
Simu ambayo inapatikana Kirahisi ni Samsung galaxy A33, around 650k ukitafuta vizuri unaipata.

Zipo simu nzuri zaidi kuliko A33 sema inabidi utafute vizuri kama Samsung Galaxy A52S, Xiaomi 11 lite 5G NE, Realme GT master etc, ila A52s iwe priority kama unatafuta simu ambayo ina quality kila idara.

Kama perfomance kwako ni muhimu kushinda vyote tafuta Simu ya Dimensity 8100 kama Poco X4 GT ama Oneplus Ace racing edition.
 
Bado ujui samsung wewe unyama ni mwingi mno sio A wala s wala note pote ni unyama tu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mkuu nitajie simu ya toleo la A ambayo ina hizo future zote tajwa hapo juu maana mimi pia ni mhanga nataka tumia toleo la Samsung lakini ambayo naweza imudu kwa gharama Toleo la A. , S na Note changamoto chaji na bei kama hio mote 9 na s10 ziko poa sio mbaya betri4000 kwa 4500 mah nitajie hizo toleo za A zenye hizo future mkuu nilikuwa nasherehesha kwanza [emoji23][emoji23]
 
Kuna hii inaitwa pop up view yaani unaangalia video huku unaendelea kufanya mambo yako kama mimi hapa nipo jamiiforums still kuna video inaplay pale juu mini screen,napenda sana throwbacks nikiwa nachat au kuingia jamiiforums ni lazima niplay video ya throwback hiyo ni mary J blige "be without you"
View attachment 2450584
Yes
Screenshot_20230116-221211.jpg
 
Mimi napenda hii Secret Mode ya kwenye Samsung Internet
Unaturn secret mode on, unatengeneza password yako halafu inakupeleka kwenye internet sasa, unasearch mambo yako ya ovyo, unaangalia wee mpaka unachoka mwenyewe na ukimaliza history inajifuta yenyewe. Hakuna mtu mwingine anayeweza kuingia kwenye Secret Mode yako mpaka ajue password, tena ikiwezekana tia password ambayo hakuna mtu anayeweza kubahatisha mfano "PENTEKOSTE" hamna mtu atabahatisha hii password[emoji23][emoji23]
Ndani ya Secret Mode unafanya ushetani wako wote hata ukikaribia kukamatwa unarudi fasta Home screen, then tayari upo salama 100%. Ukiingia tena Samsung Internet unaikuta ipo kwenye safe internet page ya kila siku[emoji23][emoji23]
Secret Mode inaficha madhambi ya wengi sana[emoji38][emoji38]
Ila we jamaa, pa kufanya ushetani ndo unaandika pentekoste 😆😆😆😆 daah!
 
Fold 4 ni ile simu ya kukunjua kama Kitabu,

gsmarena_023.jpg

gsmarena_026.jpg


Inakua na vioo viwili cha ndani na cha nje, cha ndani ndo hicho cha kufungua kinakuwa kikubwa kama Tablet na cha nje ndo kinakuwa kama cha kawaida.

Bei zake zinakuwa zimesimama kupita maelezo, milioni 4 mpaka 5.

Sema zipo Flip ambazo bei ni za kawaida kama flagship nyengine around 2m. Flip ipo hivi.

View attachment 2458955
Kwa wadada ambao hawana matumizi na kioo kikubwa na wanapenda Fashion Flip ina make sense zaidi.

Hizi ni Flagship vitu kama Camera, Perfomance, na hardware nyengine Quality ni kubwa ila ukaaji chaji ni average.

Kuhusu Iphone 14 plus unless unaipata bei rahisi ni vyema kununua Iphone 13 pro max, iphone 14 ambazo sio pro hawaku upgrade soc na zinamiss feature nyingi.

Bei zake hizi nazo ni around 2.5m
Hii simu nilikuwa naipenda ila baada ya kuishika ndo upendo wote ukapungua kisa huo mstari wa katikati, Ukiifunga inakuwa nene ila kwangu sio shida isipokuwa huo mstari wa katikati unakera.
Nimeona kama Xiaomi Mix Fold 2 haina mstari kama huo
 
Hii simu nilikuwa naipenda ila baada ya kuishika ndo upendo wote ukapungua kisa huo mstari wa katikati, Ukiifunga inakuwa nene ila kwangu sio shida isipokuwa huo mstari wa katikati unakera.
Nimeona kama Xiaomi Mix Fold 2 haina mstari kama huo
Inatofautiana hio Mistari, ila kwa Flagship Binafsi Ngumu kupata Overall Device nzuri kushinda za Samsung.
 
Inatofautiana hio Mistari, ila kwa Flagship Binafsi Ngumu kupata Overall Device nzuri kushinda za Samsung.
Yeah, but sometimes zinapatikana, It's only a matter of time. Mwaka huu Samsung ameshaachia flagship yake mapema tu. Si rahisi mwaka uishe bila wenzake kuja kumpindua
 
Back
Top Bottom