Kinachofanya simu ikae chaji
1. Processor iliotumika
2. Battery ukubwa
3. Manufacturing process
4. Aina ya display etc.
Kama ulivyoambiwa juu ukutafuta Samsung yenye battery kubwa, processor ndogo na kioo chenye resolution itakaa na chaji kama Vile infinixi.
Kuna Samsung kibao zinakaa na chaji kuliko infinix.
1. M51 - hii inakaa na chaji sana sababu ya Battery lake kubwa 7000mah
2. A23 5G
3. A42 5G
Kwenye Gsmarena database Infinix inayokaa na chaji zaidi ni Zero 5G
Then Infinix note 11 pro
Waliobakia wote hawajafikia level hizo za ukaaji chaji.
Ukiangalia zero 5G pekee ndio angalau inafikia level za kina M51/A42 na A235G, tena sababu infinix wamejitutumua na kutumia processor ya kisasa yenye manufacturing process ya 6nm na core za Cortex A78.
Huyo ni Samsung ukikutana na Unyama wa Sony ndio unakutana na kitu kama hiki,
Hii simu nyepesi kabisa gram kama 160 tu ila inakaa na chaji balaa masaa 32 mfululizo unaweza angalia video tena za HD. Hivi vivideo vyetu vya quality ndogo inaweza toboa masaa 40.