Nini kinakuvutia zaidi katika simu janja(smartphones) kutoka kampuni ya Samsung?

Nini kinakuvutia zaidi katika simu janja(smartphones) kutoka kampuni ya Samsung?

Fold 4 ni ile simu ya kukunjua kama Kitabu,

gsmarena_023.jpg

gsmarena_026.jpg


Inakua na vioo viwili cha ndani na cha nje, cha ndani ndo hicho cha kufungua kinakuwa kikubwa kama Tablet na cha nje ndo kinakuwa kama cha kawaida.

Bei zake zinakuwa zimesimama kupita maelezo, milioni 4 mpaka 5.

Sema zipo Flip ambazo bei ni za kawaida kama flagship nyengine around 2m. Flip ipo hivi.

View attachment 2458955
Kwa wadada ambao hawana matumizi na kioo kikubwa na wanapenda Fashion Flip ina make sense zaidi.

Hizi ni Flagship vitu kama Camera, Perfomance, na hardware nyengine Quality ni kubwa ila ukaaji chaji ni average.

Kuhusu Iphone 14 plus unless unaipata bei rahisi ni vyema kununua Iphone 13 pro max, iphone 14 ambazo sio pro hawaku upgrade soc na zinamiss feature nyingi.

Bei zake hizi nazo ni around 2.5m
Umefafanua kwa uzur saaan asee
 
Kinachofanya simu ikae chaji
1. Processor iliotumika
2. Battery ukubwa
3. Manufacturing process
4. Aina ya display etc.

Kama ulivyoambiwa juu ukutafuta Samsung yenye battery kubwa, processor ndogo na kioo chenye resolution itakaa na chaji kama Vile infinixi.

Kuna Samsung kibao zinakaa na chaji kuliko infinix.

1. M51 - hii inakaa na chaji sana sababu ya Battery lake kubwa 7000mah
gsmarena_580.jpg

2. A23 5G
gsmarena_601.jpg

3. A42 5G
gsmarena_437.jpg


Kwenye Gsmarena database Infinix inayokaa na chaji zaidi ni Zero 5G
gsmarena_550.jpg


Then Infinix note 11 pro
gsmarena_615.jpg


Waliobakia wote hawajafikia level hizo za ukaaji chaji.

Ukiangalia zero 5G pekee ndio angalau inafikia level za kina M51/A42 na A235G, tena sababu infinix wamejitutumua na kutumia processor ya kisasa yenye manufacturing process ya 6nm na core za Cortex A78.

Huyo ni Samsung ukikutana na Unyama wa Sony ndio unakutana na kitu kama hiki,

gsmarena_522.jpg


Hii simu nyepesi kabisa gram kama 160 tu ila inakaa na chaji balaa masaa 32 mfululizo unaweza angalia video tena za HD. Hivi vivideo vyetu vya quality ndogo inaweza toboa masaa 40.
Big up chief umemaliza
 
Hizo Features zote hazipatikani kwenye A Series halafu S na Note Series Ambapo ndo zinapatikana napo Betri Majanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo ndo ninapochanganyikiwa kununua Samsung! ukitaka Battery chukua A Series ila sasa Ule unyama Haupo huko [emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297] Ukitaka Unyama Basi Battery Manyanyaso labda uwe na kuanzia S10
Aseries kuanzia A32 kupanda jui zipo hizo secure folder, smart lock n.k
 
Kinachofanya simu ikae chaji
1. Processor iliotumika
2. Battery ukubwa
3. Manufacturing process
4. Aina ya display etc.

Kama ulivyoambiwa juu ukutafuta Samsung yenye battery kubwa, processor ndogo na kioo chenye resolution itakaa na chaji kama Vile infinixi.

Kuna Samsung kibao zinakaa na chaji kuliko infinix.

1. M51 - hii inakaa na chaji sana sababu ya Battery lake kubwa 7000mah
gsmarena_580.jpg

2. A23 5G
gsmarena_601.jpg

3. A42 5G
gsmarena_437.jpg


Kwenye Gsmarena database Infinix inayokaa na chaji zaidi ni Zero 5G
gsmarena_550.jpg


Then Infinix note 11 pro
gsmarena_615.jpg


Waliobakia wote hawajafikia level hizo za ukaaji chaji.

Ukiangalia zero 5G pekee ndio angalau inafikia level za kina M51/A42 na A235G, tena sababu infinix wamejitutumua na kutumia processor ya kisasa yenye manufacturing process ya 6nm na core za Cortex A78.

Huyo ni Samsung ukikutana na Unyama wa Sony ndio unakutana na kitu kama hiki,

gsmarena_522.jpg


Hii simu nyepesi kabisa gram kama 160 tu ila inakaa na chaji balaa masaa 32 mfululizo unaweza angalia video tena za HD. Hivi vivideo vyetu vya quality ndogo inaweza toboa masaa 40.
nimepata changamoto moja, nina Samsung A32 juzi iliniletea update ya androin 13 UI 5 lakini baada ya kumaliza ilivyo restart navigation button zote tatu hazifanyi kazi. ingawa zipo.
ushakutana na hili tatizo kwenye samsung?
 
Fold 4 ni ile simu ya kukunjua kama Kitabu,

gsmarena_023.jpg

gsmarena_026.jpg


Inakua na vioo viwili cha ndani na cha nje, cha ndani ndo hicho cha kufungua kinakuwa kikubwa kama Tablet na cha nje ndo kinakuwa kama cha kawaida.

Bei zake zinakuwa zimesimama kupita maelezo, milioni 4 mpaka 5.

Sema zipo Flip ambazo bei ni za kawaida kama flagship nyengine around 2m. Flip ipo hivi.

View attachment 2458955
Kwa wadada ambao hawana matumizi na kioo kikubwa na wanapenda Fashion Flip ina make sense zaidi.

Hizi ni Flagship vitu kama Camera, Perfomance, na hardware nyengine Quality ni kubwa ila ukaaji chaji ni average.

Kuhusu Iphone 14 plus unless unaipata bei rahisi ni vyema kununua Iphone 13 pro max, iphone 14 ambazo sio pro hawaku upgrade soc na zinamiss feature nyingi.

Bei zake hizi nazo ni around 2.5m
Asante sana hiyo fold 4 hata mie haijanivutia labda hiyo flip, iphone napenda hiyo 13, mie si mjuzi sana wa hizi ishu za simu, itakayonifikia nitapokea ukitegemea ni zawadi nk
 
nimepata changamoto moja, nina Samsung A32 juzi iliniletea update ya androin 13 UI 5 lakini baada ya kumaliza ilivyo restart navigation button zote tatu hazifanyi kazi. ingawa zipo.
ushakutana na hili tatizo kwenye samsung?
umejaribu kwenda setting then display kwenye gesture ukacheza nazo? siku hizi android ina option either kutumia njia ya zamani ya button 3 za navigation ama kutumia gesture.
 
ni
umejaribu kwenda setting then display kwenye gesture ukacheza nazo? siku hizi android ina option either kutumia njia ya zamani ya button 3 za navigation ama kutumia gesture.
nimejaribu kubadili style lakini imegoma kabisa, hivi nikiformat itabakia kwenye android 13 au itarudisha iliyokuja na simu? maana ilikuwa na version 12 wakati nanunua julai.
 
ni
nimejaribu kubadili style lakini imegoma kabisa, hivi nikiformat itabakia kwenye android 13 au itarudisha iliyokuja na simu? maana ilikuwa na version 12 wakati nanunua julai.
ukiformat inabaki 13

je ukitumia gesture (ku swipe kutokea chini) inafanya kazi?
 
Habari ya muda huu wana jamvi la Jf?

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza ningependa kila mmoja aeleze ni Features gani zinamfanya apende smartphone kutokea kampuni hii,

Mimi kwa upande wangu kuna ula feature ya private mode na smart silence zinazoptkana katik S series na Note series huwaga nazielewa sana japo zipo nyingi zinazonifanya Ninunue smartphone ya samsung

WEWE JE?
S/G Tab S7Fe..
Battery..10090mAh..[emoji95]
Kwa kuwa me ni mpenda kuandika andika ..
Pre installed Noteshelf is my favourite app..
Ikifuatiwa Samsung Notes..
 
Back
Top Bottom