huu ni uwongo mkuuUende si sumsang tu, "sijui". ninavutiwa na setting ya password:-nikiwa nyumbani kwangu simu haiingii password, mtu yoyote anaweza chukua na kuitumia bila kuingiza password ila nikitoka eneo la nyumbani inaomba password.
Sawahuu ni uwongo mkuu
Ipo hyohuu ni uwongo mkuu
samsang gani hiyo mkuu na hiyo feature au setting inaitwajeIpo hyo
samsang gani hiyo mkuu na hiyo feature au setting inaitwaje
Ukipata majibu niite Dogo...Nipe bei ya S22 Ultra wakati inazinduliwa feb na bei ya sasa hivi.. nazungumzia simu mpya
hapo nimekupata sasa mkuuUmeona hilo neno smart lock hapo
Nd kila kitu
Hyo feature huwag n matata piahapo nimekupata sasa mkuu
Sio uongo hiyo ni hii,wadau wa samsung tunaelewahuu ni uwongo mkuu
Umenishtua nkajua unataka kuhamia infinix😀😀😀Aiseee Wakuuu mtanisamehe nataka mwakani nihame brand nijaribu Google Pixel
Hahah acha hyo pop up sio poa na saiv kuanzia s9+ na kuendelea kuna pop up option hadi inaboa kwa furaha😀😀😀🤝Kuna hii inaitwa pop up view yaani unaangalia video huku unaendelea kufanya mambo yako kama mimi hapa nipo jamiiforums still kuna video inaplay pale juu mini screen,napenda sana throwbacks nikiwa nachat au kuingia jamiiforums ni lazima niplay video ya throwback hiyo ni mary J blige "be without you"
View attachment 2450584
Tutachelewa Kufika Huko, Tunaomba Uwe MvumilivuIkifika kwenye infinix tutag.
Infinix sio simu bali ni kifaa cha mawasiliano[emoji23][emoji23]Umenishtua nkajua unataka kuhamia infinix[emoji3][emoji3][emoji3]
Na bado hawajashtuka😀😀😀Infinix sio simu bali ni kifaa cha mawasiliano[emoji23][emoji23]