fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Jinga wee,mtu anatunga jina la fitna uchokozi kwa kumuita mwenzie Sandals afu unaongea ujingaKiba hashindani na mtu Ila watu ndo wanashindana nae.we angalia jinsi anavofanya mziki wake uku karelax ndo utaelewa
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona nasikia Hamonizer ndio msanii namba moja katika ukanda wa Afrika Mashariki na kati
Dogo mimi nakula udaga. Kaa mbali na mimi, utashonwa nyuzi 200 kwa moto nitakaokupelekea, hutaamini.Leo umeamua uoneshe rangi yako halisi
Unajua kuna vitakata vinatamani kila jambo zuri na jema liwe lao.Mlidhani Harmonize atakuwa kama Rich Mavoco...pumbavuuuu zenu.
Umepiga pale pale penyewe, halafu panapouma sasa.Unamfananisha mwanaume rijali anayesimamia majukumu yake na mwanamke anayefugwa ndani, siku anayemfuga akimfukuza ndio uje na tathimini zako,
Btw! Wewe umefanikiwa kwa lipi katika maisha yako? Isije kua unafatilia maisha ya mwanaume mwenzio ukiwa kibarazani kwa mume wa dada yako.
Anaonesha makucha mzee wa security guard ahaaaaaaaaaaLeo umeamua uoneshe rangi yako halisi
Mzee wa "komenti", fupifupi. Nakuelewaga sana mkongwe!Muda wake ukifika nae atapaa juu...
Hii uliyoipiga hapa chini kwenye hip hop tunaita punch line.umeua Sana very smartNilikuwa kusini, ambako ndiyo nyumbani kwa Harmonize......nilichokutana nacho nilishangaa sana. yaani habari kubwa huko ni Diamond na alikiba, Harmonize yuko mbali kidogo kutoka kwa hao jamaa. kabla nilifikiri atakuwa na maelfu ya mashabiki kuwazidi wote kwakuwa anatoka huko.
Yote kwa yeto, anajitahidi sana maana kuendelea kuwepo tu mpaka muda huu ni ushindi tosha kwake....wafikiriwe tu waliochemka. Tatizo lake tu kuwa anapenda mno kujitutumua kwa huyo diamond kitu ambacho si chema sana kwani mwenzake yupo kitambo sana
Kwangu mimi, heshima pekee imuendee huyu alikiba.....jamaa ni wa tofauti sana aisee; yupo sana tu, utamsikiliza utamchukia baadae unarudi tena kumsikiliza mwenyewe. wengine wote watapita na watamuacha amesimama pale pale. tusubiri tu!
Siongei ujinga nakuelekeza kitu ambacho hukielewi kuhusu uyu mwamba.Jinga wee,mtu anatunga jina la fitna uchokozi kwa kumuita mwenzie Sandals afu unaongea ujinga
Sio kwa Harmonize huyu wa leo.Tatizo la Harmonize ni kupenda kujifanyisha na Diamond, halafu anapenda sn kutafuta huruma za mashabiki akipuyanga. Na hii inachangiwa na media zenye bifu na Diamond. Media nyingi zimeshaona Kiba amenyoosha mikono kwenye vita na Diamond na sasa amekuwa Mzee wa kuvizia, Ila konde ameonyesha dhahiri anahitaji bifu na Diamond lihamie kwake.
Kwangu Mimi Rayvan ndy anapaswa kuwa mshindani wake badala ya domo
Namba moja which?Mbona nasikia Hamonizer ndio msanii namba moja katika ukanda wa Afrika Mashariki na kati
Sahihi kabisaSio kwa Harmonize huyu wa leo.
Yule harmonize aliyeimba Aiyola na Bado ,sawa.
Sa hiz sielewi Harmonize anaimba vitu gani.
Trust me, hata yeye haelewi
Zile post zake za insta now mnamuona kabisa hata yeye hii hali inamstress.
Na hajajua afanye nn , na hatajua tu.
Basi wacha tu aendelee kuongeza nyama za tumbo.
š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Mr masigara aka Mr kitambi bonge.
Ngoja zuchu amnyooshe
shukrani mkuu!Hii uliyoipiga hapa chini kwenye hip hop tunaita punch line.umeua Sana very smart
Aggrey nasikia umetekelekeza familia upareni sasa hivi unapuyanga kukata mauno kwenye mashughuli Kinondoniš¤£Sahihi kabisa
Mbona unamshambulia mwenzio wakati wewe pia ni wale waleAggrey nasikia umetekelekeza familia upareni sasa hivi unapuyanga kukata mauno kwenye mashughuli Kinondoniš¤£
Zee zima halafu sukule. Kesho tena kuna mtiti kati Domokaya na CDM utachagua tena CDM au utakaa upande wa muhogo wako ?
Aisee hii duniaš¤£
Dogo, nimekwambia mimi siyo Domo anayekuchezea na kukupapasa. Mimi nakula UDAGA.Mbona unamshambulia mwenzio wakati wewe pia ni wale wale