Hussein Bashe ni Somalian boy pure.Sasa hao ni waswahili wewe sio wa abesh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hussein Bashe ni Somalian boy pure.Sasa hao ni waswahili wewe sio wa abesh.
Sera ya tangia Nyerere hiyo, mwisho wao A level tu.Wakuu,
Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.
Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,
Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,
Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.
Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Ngoz nyeupe n rahisi sana kuajiriwa njeSera ya tangia Nyerere hiyo, mwisho wao A level tu.
Serikali ikiwagharamia kuwasomesha, hukimbilia Canada kwenda kutafuta kazi na makazi(hasa wahindi), Serikali inakosa return yao pamoja na impact ya elimu yao.
bashe tu mnamwita msomali bwana patel akiwa waziri si mtaandamanaWakuu,
Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.
Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,
Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,
Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.
Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Wakuu,
Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.
Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,
Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,
Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.
Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Mbunge si serikalin, nazungumzia nafasi za uteuzi?Mkuu si kweli, katibu mtendaji baraza la mitihani ni Gabachori,pia Kuna mbuge wa kahama Jimbo la Solwa miaka ya tisini nikiwa huko alikuwa pure Gabachori,nadhani aliitwa Bhiku Lukindagila miaka hiyo nikiishi Segese- Kahama
ShabibyAbdulrahmman Kinana
Hussein Bashe
Sijui nani yule Zungu
ACha kutaja wasukuma haoHujafuatilia tu.
Shabibi mbona ni mbunge Dodoma.
Abood alikua mbunge Morogoro.
Marehemu Yusuf Manji alikua Diwanio Mbagala.
Hujaona hapo nimekutajia katibu mtendaji baraza la mitihani,!? Au wewe unataka nini?Mbunge si serikalin, nazungumzia nafasi za uteuzi?
ahmed shabiby na abood wote ni wa morogoro majimbo tofautiHujafuatilia tu.
Shabibi mbona ni mbunge Dodoma.
Abood alikua mbunge Morogoro.
Marehemu Yusuf Manji alikua Diwani Mbagala.
Ubunge si ajira rasmi, Shabib na Abood wapo bungeni kwa maslahi yao binafsi kijana.Hujafuatilia tu.
Shabibi mbona ni mbunge Dodoma.
Abood alikua mbunge Morogoro.
Marehemu Yusuf Manji alikua Diwani Mbagala.
Shabib na Abood ni waarabu. Kama wale wa Igunga, Nzega, Tabora, Kahama, Bariadi na kijiji maarufu pembezoni wa ziwa Victoria, kinaitwa Kayenze 😂 😂 😂 😂ahmed shabiby na abood wote ni wa morogoro majimbo tofauti
Kuna mtanzania ameajiriwa huko Asia?Wakuu,
Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.
Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,
Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,
Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.
Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Wahindi hawataki kuajiriwa sababu ni utumwa na hutoboiUbunge si ajira rasmi, Shabib na Abood wapo bungeni kwa maslahi yao binafsi kijana.
Ukitaka kufanya biashara bila bughudha katika nchii hii kuwa karibu na Serikali - au ulikuwa na hili hulijui hadi leo.