Nini kinazuia watu wenye asili za asia kupata nafasi serikalini?

Nini kinazuia watu wenye asili za asia kupata nafasi serikalini?

Wakuu,

Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.

Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,

Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,

Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.

Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Sera ya tangia Nyerere hiyo, mwisho wao A level tu.

Serikali ikiwagharamia kuwasomesha, hukimbilia Canada kwenda kutafuta kazi na makazi(hasa wahindi), Serikali inakosa return yao pamoja na impact ya elimu yao.
 
Wakuu,

Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.

Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,

Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,

Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.

Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
bashe tu mnamwita msomali bwana patel akiwa waziri si mtaandamana
 
Wakuu,

Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.

Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,

Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,

Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.

Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.






Kina sisi tumekazana kurogana na kupigana majungu. Hawa wenzetu wanajijenga kupata global skills ili mkiwazingua Tanzania, waende sehemu nyingine
 
Hujafuatilia tu.
Shabibi mbona ni mbunge Dodoma.
Abood alikua mbunge Morogoro.
Marehemu Yusuf Manji alikua Diwani Mbagala.
Ubunge si ajira rasmi, Shabib na Abood wapo bungeni kwa maslahi yao binafsi kijana.

Ukitaka kufanya biashara bila bughudha katika nchii hii kuwa karibu na Serikali - au ulikuwa na hili hulijui hadi leo.
 
Wakuu,

Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.

Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,

Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,

Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.

Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Kuna mtanzania ameajiriwa huko Asia?
 
Ubunge si ajira rasmi, Shabib na Abood wapo bungeni kwa maslahi yao binafsi kijana.

Ukitaka kufanya biashara bila bughudha katika nchii hii kuwa karibu na Serikali - au ulikuwa na hili hulijui hadi leo.
Wahindi hawataki kuajiriwa sababu ni utumwa na hutoboi
 
Back
Top Bottom