Nini kinazuia watu wenye asili za asia kupata nafasi serikalini?

Nini kinazuia watu wenye asili za asia kupata nafasi serikalini?

Wakuu,

Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.

Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,

Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,

Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.

Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Asilimia kubwa wanapenda sana kufanya shughuli zao na hasa biashara kwa kua ndiyo asili yao
 
Wengi wao hupendelea siasa zaidi.Hizo kazi za kutota jasho,kupigana majungu,kulogana na kuishi kihasidi mnazoziita ajira hawana muda nazo.Wao ni biashara zaidi na wakitaka kujumuika huingia kwenye siasa/pesa nyingi na ulinzi/heshima ya kutosha bila kutota jasho.
 
..sera mbaya za uchumi za Ccm ndio chanzo cha wazawa kuwa chini kiuchumi ukilinganisha na wageni.
 
Huyo Tulia ni wenge la kukutana na wazungu wengi kwa wakati mmoja, alikuwa na kitete cha kujihami sababu alishindwa kujitetea.

Turudi, huku
Machangudoa wa kihindi walikuwepo sana miaka ile, ila kwenye mahoteli makubwa kama Kilimanjaro na Aficana na New Africa
Hata sasa wapo lakini ni wa bei ya juu, nenda tovuti ExoticTanzania utawakuta tu, lakini malipo ni dolari

..kwa hiyo hata kwenye uchangudoa wao wanapata bei kubwa kuliko wazawa.

..biashara wao wanafanya kubwakubwa kuliko wazawa.

..inabidi wazawa tujichunguze tumekosea wapi.
 
Wakuu,

Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.

Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,

Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,

Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.

Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Hao jamaa ni wazalendo na wapiga kazi kuliko sisi wazawa
 
Ingia upanga, masaki serikali za mitaa, udiwani ubunge utawaona huko ilala, kinondoni

Nenda morogoro utakutana nao nk

Wapo pia katika baadhi ya halmashauri na taasisi kadhaa

Nenda kigoma Kuna taasisi yupo pale IT kama sikosei
Upanga napajua vizuri Magharibi Diwani ni Adinani Kondo,na alimrith Godwin Mbanga ,Mashariki ni Beatrice Nyamisango,ni liowaona Wa asili hiyo ni Azimkhan Akbar wa Kibukoni ,na ni yule wa mchikichini kama sijakosea sijaona Balozi wala mjumbe huko wa asili hiyo,na ukimuona kapenya huko kuna lake anafanikisha kibiashara
 
Wakuu,

Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.

Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,

Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,

Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.

Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Nini kinazuia watz wenye asili ya asia kuishi kimara?
 
Ushamba tu mwingi, kwanini sasa Mtanzania awe Na position India? Hapa mada inahusu WaTanzania wenye Asili ya India na sio wahindi wa India.

Anyway watu weusi Wenye Asili ya Africa India wanaitwa Siddi na wapo wengi Na wana Historia kubwa.

Mfano Shantram siddi.
View attachment 3132126
Upeo wako Mdogo sana,logic ya swali ,na jibu lililotilewa kutokana na post umeshindwa kuelewa.

Mada ni Wahindi,waasia kutoteuliwa.

We Dada sio kila mada,uzi unaparamia tu, akili za kuvukia barabara haziwezi kujibu wala kuelewa.
 
Upeo wako Mdogo sana,logic ya swali ,na jibu lililotilewa kutokana na post umeshindwa kuelewa.

Mada ni Wahindi,waasia kutoteuliwa.

We Dada sio kila mada,uzi unaparamia tu, akili za kuvukia barabara haziwezi kujibu wala kuelewa.
Dada ndo umeparamia Uzi ila kwakuwa wewe ni kilaza hujalingundua Hilo ukisoma tena Uzi utagundua jinsi gani ubongo wako unavyosuasua kuelewa mada
 
Wakuu,

Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.

Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,

Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,

Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.

Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Na huko Asia mambo yakoje juu ya wenye asili ya Africa/ Tanzania?
 
Na huko Asia mambo yakoje juu ya wenye asili ya Africa/ Tanzania?
Labda ufanye kazi katika ofisi zao na makampuni yao ni sawa hata cheo utapata.
Ila serikalini BIG NO kwa Asia upate uongozi na wewe kutoka Afrika!?
Labda uwe umechanganya asili au uwe umetoka kwa kina Hakimi(Morocco).
 
Back
Top Bottom