Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ni wachache sana ukilinganisha na wingi wao.Mkuu si kweli, katibu mtendaji baraza la mitihani ni Gabachori,pia Kuna mbuge wa kahama Jimbo la Solwa miaka ya tisini nikiwa huko alikuwa pure Gabachori,nadhani aliitwa Bhiku Lukindagila miaka hiyo nikiishi Segese- Kahama