Nini kinazuia watu wenye asili za asia kupata nafasi serikalini?

Nini kinazuia watu wenye asili za asia kupata nafasi serikalini?

Wakuu,

Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.

Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,

Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,

Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.

Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Hongera kwa Utafiti mzuri,kwa maoni yangu na kutokana na Uchunguzi mdogo niliofanya ni kuwa Jamii kubwa ya watua wenye asili ya Asia wana uraia pacha,wanatambulika na jamii zao mpaka hapo wanapoukana Uraia wa babu zao na kuukubali Utanzania,Mfano ni aliyeshindwa Kesi na Dr Warid Kabouru Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mahakama ilitengua Ubunge wa Premji kwa kuwa hakuwa ameukana Uraia wa India hii ilikuwa early 1992 na ikapelekea Dr Warid Kabouru kuingia Bungeni
 
Labda ufanye kazi katika ofisi zao na makampuni yao ni sawa hata cheo utapata.
Ila serikalini BIG NO kwa Asia upate uongozi na wewe kutoka Afrika!?
Labda uwe umechanganya asili au uwe umetoka kwa kina Hakimi(Morocco).
Wapo, Sisi Tanzania media zetu ni za magharibi tu ndio maana mtu Huwajui,

Saudia, Yemen, Iraq na Oman ina watu weusi in Millions, kuna weusi wengi huko kuliko weupe huku Tanzania ukiangalia kwa Ratio.

Al habsy yule golikipa wa Oman aliecheza sana Premier league alikua Mtanzania, Hapo Qatar na Saudi World cup umeona weusi kibao wengine hadi kutoka Tanzania. Wafalme wa Oman wengi wana asili za Ethiopia/Zanzibar na tumemuona Qaboos, mfalme wa Quwait miaka ya 70-2003 alikua mweusi etc.
images (46).jpeg

Hapo bado hujakuja wanamuziki Kina abdel rab Idris, Etab etc Kuna wafanyabiashara wakubwa kama Al Amoud etc. Inshort title Ya mtu mweusi Tajiri zaidi Duniani wanapokezana Baina ya Dangote na Al Amoud,
 
Hilo kundi la kwanza
Kundi la pili linaloongoza Tanzania kwa kupata scholarship nje nyingi ulaya ,marekani na Canada ni wahindi wenye uraia na passport za Tanzania

Wanachofanya wakimaliza form four au six huenda British Council Dar na kufanya mitihani ya kimataifa ya kiingereza kwa wageni ambayo ukifaulu ndio huwa sharti muhimu la kupata scholarship. Wengi hufaulu na kupata scholarship nje na kwenda kusoma vyuo vya nje ya nchi na kubaki hukohuko au kurudi kuja kuendesha biashara za familia

Kundi lingine wakimaliza form four na form six hutimkia India kwenda kusoma mambo ya biashara na viwanda ,na teknolojia na wakimaliza hurudi nchini kwenye family business zao au kwenda kuajiriwa na makampuni makubwa ya kimataifa yakiyoko India au nje ya India wakifaulu vizuri sana
Jambo ambalo huja sema hawasomi form four na six bali wanasoma mtaala wa Uingereza Cambridge toka wadogo, so wanachukuliwa Nchi za common wealth sio sababu ya rangi yao bali elimu yao, sababu toka wadogo wameandaliwa hivyo.
 
Dada ndo umeparamia Uzi ila kwakuwa wewe ni kilaza hujalingundua Hilo ukisoma tena Uzi utagundua jinsi gani ubongo wako unavyosuasua kuelewa mada
Bado wewe akili yako ya KUVUKIA BARABARA, issue ni wahindi ,waasia kutoenekana kwenye nafasi za kuteuliwa.

Nikajibu PUNJABU India Kuna mwafrika, mtanzania ameteuliwa kwenye nafasi??


Kama hayupo unashangaa Nini hapa TZ???

Waashia wanapatikana katika nafasi za siasa wabunge.

Lakini sio za kutendaji.

Wewe kwa UJINGA wako wa kutoelewa unaleta mfano picha ya wahindi wenye rangi nyeusi.Completely out of context, out of proportional 😀😀🤣

Angalia we Mwanamke usiparamie nyuzi kujibu,utapata Mimba nyingine Tena😀🤣😀🤣BOYA MKUBWA WEWE
 
Waliamua kujikita,kwenye masuala binafsi zaidi
Mambo ya kiserikali wamewachia wenyewe,ila nao kwa wakati huu nao walikuwa wanahitajika sana
Kwenye mambo ya uongozi

Ova
 
Wakuu,

Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.

Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,

Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,

Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.

Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Kwani huku ni Asia?
 
Hata wakisoma, hawataki kuwa wajinga wajinga wa kutafuta ukubwa ndani ya system ili baadae wawe wezi wasiokamatika.
Wanaanzisha biashara zao ambazo zinakuja kuwa kubwa sana. Nina mifano kadhaa ya accountants, engineers na drs wa kiasia.
Sisi mbona tumedumaa kila upande. Hakuna upande tuko sawa. Nini shida?
Malezi yetu na mifumo yetu ni ya kijinga kuanzia ngazi ya kaya
 
N
Wakuu,

Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.

Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,

Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,

Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.

Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Nyerere alimweka Amr Jamal. Ila mafisadi hawataki!
 
Wabongo, fikirieni nje ya box. Serikalini kuna hela gani Hadi uwaajili hawa Jamaa? Kule mabungeni wanazuga tu kulinda Biashara zao.
Wengine humu wanakenua eti shabibi Ni mbunge, we unaona ana njaa ya ubunge Yule. Mtu ana mabasi 100 unasema ana ajila serikalini! Nchi hii watu wamelala aisee!
 
Wakuu,

Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.

Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,

Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,

Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.

Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Wao kazi yao ni Udalali tu.

Si unajua dalali ndio anapata faida kulilo wafanya biashara
 
Back
Top Bottom