Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweliNi hawataki kuja kufanya kazi na mijitu mijizi, mizembe na michafu
Walifanya kazi zamani na wale watanganyika waliostaarabika miaka ile baada ya ukoloni
Kwa sasa wao ni kufanya shughuli zao na kuwaajiri nyinyi mafwafwa ya siku hizi mpelekeshwe kama punda
Wewe ngeke mkubwa huyu ni ngozi nyeusi!?Nyinyi ndio mbulula wenyewe na pamoja mwingine amekukwoti na kumtaja Salim Ahmed Salim
Huyo wa NECTA anaugabachori gani?
Ni kwa vile kama ulivyojieleza ni wewe ni mlugaluga umetokea maporini huko na kuja mjini na kushangaa
Wanaokaa mijini iwe Dar, Mwanza au Arusha na Moshi wanauwezo kusema kumtaja mtu ni gabachori sababu wageni wa kuja wanajuklikana,
Sisi tumesoma nao, tumecheza nao hivyo tunajua kuwatofautisha sio nyinyi wa maporini, kila ukiona mtu ana rangi nyeupe ni gabachori
Huyo Bhiku namjua sana mpaka kwake Upanga mtaa wa Mindu tokea nasoma primary
Ubaguzi labda !Wakuu,
Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.
Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,
Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,
Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.
Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
hawataki.Wakuu,
Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.
Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,
Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,
Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.
Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Wakuu,
Hili suala limenitafakarisha. Nchi hii ina watu wengi wenye asili ya Asia , wengi Sana.
Ajabu ni nadra kukuta kiongozi serikalin ni wa jamii hizo. Je watu hawa hawana elimu au nin sababu mpaka hakuna waziri wala naibu waziri mwenye asili ya Asia,
Hakuna Katibu mkuu wala naibu Katibu mkuu,
Hakuna mkuu wa mkoa wala Mkuu wa Wilaya,, hakuna mkurugenzi wa halmashaur wala taasis yoyote.
Je watu hawa hawateulik? Wakina Kanjibahi wanaonekana kupata mafanikio binafsi hasa katika biashara.
Wakati ninyi mkigombania ajira, wenzenu wamechagua kutengeneza ajira.Hata maofisi tu siwaoni achilia mbali nafasi za uongozi...naonaga tunasoma nao mwisho o level pale wanapotea siwaoni tena mavyuoni
Hata mimi ningeshangaa sana kama wangetaka kazi za mizengwe.hawataki.
Ndio maana watu wengi wanafeli kwenye mitihani.Sasa hao uliowataja nani muasia?Abdulrahmman Kinana
Hussein Bashe
Sijui nani yule Zungu
Nusu Muasia mmoja tu hapo. Zungu.Abdulrahmman Kinana
Hussein Bashe
Sijui nani yule Zungu
wacha chuki na roho mbaya isiyoleta maendeleo. Wewe mwenyewe asili yako ni Cameroon huko kwa hivyo nawe una status ya ukimbizi.Hawa watu mara nyingi wana maeneo mijini hasa sehemu zenye potential ya kibiashara na wamerithi kutoka kwa mababu zao walio tukoloni
Awa sijui ndo waarabu siwaelewagi Mimi naona wanaishi kama wakimbizi tuliowapa hifazi ya kidumu
Hilo kundi la kwanzaMimi nilisoma na wahindi wengi walikuwa wanaishia form four tu na kuangalia fursa za Biashara.
Siyo wao waliokupokea wakuja?Hawa watu mara nyingi wana maeneo mijini hasa sehemu zenye potential ya kibiashara na wamerithi kutoka kwa mababu zao walio tukoloni
Awa sijui ndo waarabu siwaelewagi Mimi naona wanaishi kama wakimbizi tuliowapa hifazi ya kidumu
Nani huyo alikufanyia ugaidi?Km hivi tu wamepewa uraia wanafanya ugaidi na kuwaingiza ndugu zao kinyemela kwa maelfu vip wakishka nafas kubwq
Hao ni wajaluo mkuuNdio maana watu wengi wanafeli kwenye mitihani.Sasa hao uliowataja nani muasia?
Mimi Sina chuki na nyiewacha chuki na roho mbaya isiyoleta maendeleo. Wewe mwenyewe asili yako ni Cameroon huko kwa hivyo nawe una status ya ukimbizi.