denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Huyo Rostam kama kweli anaamini alikuwa hapendwi na Magufuli, mbona kule ikulu alikwenda kumtembelea Magufuli akiwa peke yake, baadae akarudi tena akiwa na Lowassa, sasa atuambie, mtu asiyempenda angemkaribisha ofisini kwake?
Rostam ni mjinga tu, hajui nini cha kuongea, wala hajui kupangilia akiwasilishe vipi mbele za watu, anajiokotea maneno tu kama mtoto mdogo yasiyo na uhusiano wowote na uhalisia wa mambo aliyowahi kuyafanya siku za nyuma.
Rostam ni mjinga tu, hajui nini cha kuongea, wala hajui kupangilia akiwasilishe vipi mbele za watu, anajiokotea maneno tu kama mtoto mdogo yasiyo na uhusiano wowote na uhalisia wa mambo aliyowahi kuyafanya siku za nyuma.