Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
hapa duniani wewe pambana tu na hali yako hadi utoke, ukifuatilia sana hizo survival of the fittest, utaumia moyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ukwelihapa duniani wewe pambana tu na hali yako hadi utoke, ukifuatilia sana hizo survival of the fittest, utaumia moyo.
Wataelewa tu siku moja, maisha yana mwisho.Suala hili 👆 kwa wanasiasa ni mbingu na ardhi
Time will tellKila kitu reference ni Magufuli, hakika Mungu ampe pumziko jema huko alipo.
Na bado, kila mtu atakuja kunena mema yote ya yule shujaa, kama alivowahi kusema mwenyewe enzi za mwisho wa uhai wake.
Mtafuta sifa tu wewe huna lolote. 😡Magufuli hasafishiki. Fashisti ,mzandiki na mbaguzi yule. Ameua, amepora, amepiga watu risasi na ameteka watu wengi sana. Afe tena huko aliko.
Muda utamjjbuMtafuta sifa tu wewe huna lolote. 😡
Ndiyo maana Rostam ndiye inasadikika alimaliza mchezo, angejua asingehudhuriaHabari JF,
Leo katika pita pita zangu nimekutana na kauli kutoka kwa watu wa wawili tofauti zikimuhusu Hayati JPM.
1. Tundu Lissu yeye anasema Rais Magufuli kwenye hili la kuingia mikataba ya hovyo hausiki sana kwa kuwa alikuwa hapendi wageni kukamata mali za Nchi hii.
View attachment 2669699
2. Rostam Aziz yeye anasema "Magufuli asingeweza kuja kufungua ule mtambo wangu wa gesi angekuwa anajua mimi si mfanya biashara halali ,asingeweza kuja kufungua kiwanda cha Morogoro ningekuwa mimi sio mfanyabiashara halali ."
View attachment 2669700
Je, ni nini maana ya hizi kauli? JPM ni alama ya uzalendo, asipenda ufisadi au?
Daaaa watu mna speculationsNdiyo maana Rostam ndiye inasadikika alimaliza mchezo, angejua asingehudhuria
Rostam ni gaidi tena kubwa mno. Ila hata mambo yana mwisho uzuri Tanzania na watanzania huwa tunajifanya hatuoni kama tunaonaDaaaa watu mna speculations
😆😆😆Rostam ni gaidi tena kubwa mno. Ila hata mambo yana mwisho uzuri Tanzania na watanzania huwa tunajifanya hatuoni kama tunaona
Tuhuma nzito sana hiziNdiyo maana Rostam ndiye inasadikika alimaliza mchezo, angejua asingehudhuria
Hasa wakikupinda!Upinde mnaboa
Hakikatutashuhudia mengi
Utakufa wewe.Magufuli hasafishiki. Fashisti ,mzandiki na mbaguzi yule. Ameua, amepora, amepiga watu risasi na ameteka watu wengi sana. Afe tena huko aliko.
AiseeHasa wakikupinda!
Tz hakuna court?Mahakama Zipi?!!
Kwa hiyo haoni tulizonazo ?Tz hakuna court?
Muulize Babu bulKwa hiyo haoni tulizonazo ?