Nini maana ya hizi kauli za Tundu Lissu na Rostam Aziz juu ya Hayati Magufuli?

Nini maana ya hizi kauli za Tundu Lissu na Rostam Aziz juu ya Hayati Magufuli?

Habari JF,

Leo katika pita pita zangu nimekutana na kauli kutoka kwa watu wa wawili tofauti zikimuhusu Hayati JPM.

1. Tundu Lissu yeye anasema Rais Magufuli kwenye hili la kuingia mikataba ya hovyo hausiki sana kwa kuwa alikuwa hapendi wageni kukamata mali za Nchi hii.

View attachment 2669699

2. Rostam Aziz yeye anasema "Magufuli asingeweza kuja kufungua ule mtambo wangu wa gesi angekuwa anajua mimi si mfanya biashara halali ,asingeweza kuja kufungua kiwanda cha Morogoro ningekuwa mimi sio mfanyabiashara halali ."

View attachment 2669700

Je, ni nini maana ya hizi kauli? JPM ni alama ya uzalendo, asipenda ufisadi au?
Jpm tapeli tu kama Azizi
 
Mbona nimechangia Uzi wa UDSM juu ya tafiti Yao kuhusu makubaliano na DP world. Mimi napenda nijue facts kwanza sio kuchangia kwa hisia na ushabiki.
Hata facts za kwenye ule mkataba wa hovyo hujaziona? au nazo kwako ni hisia?!
 
Hata hili la DP World wanajaribu kumvisha Magufuli wakati kila mtu anajua ni uwongo. Hata kama alibariki sasa si hayupo? Wenyewe hawana akili? Yaani utafikiri wanaongea na watoto 😬😬😬😬🚮🚮🚮🚮

Mara Magufuli alikubali....

IMG-20230628-WA0009.jpg


Mara tulipenda uzoefu wa DP World

IMG-20230628-WA0010.jpg
 
Kila kitu reference ni Magufuli, hakika Mungu ampe pumziko jema huko alipo.

Na bado, kila mtu atakuja kunena mema yote ya yule shujaa, kama alivowahi kusema mwenyewe enzi za mwisho wa uhai wake.
 
Back
Top Bottom