The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Je hio ni kwa mashauri yote ya madai mahakamani?Mdaiwa asipotokea case inasikilizwa upande mmoja wa mdai,,mdai asipotokea mdaiwa akatokea case inaondolewa, wew haitakugharimu zaidi ukubaliane na mamuzi ya mahakama,,,
Ahsante kwa ushauri mkuu, karatas zoote kuanzia samansi ya polisi aliponilaza ndani na hii ya mahaka vyoote hivi vile well stored for future usesInaonekana mkeo amerubuniwa huko nje na watu kama vile marafiki,ndugu au jamaa,kaza mkuu utavuka tu hili,na huyo mkeo atakuja kujuta huko mbeleni ila usimpe nafasi tena,
Muhimu jali wanao kwa hukumu yeyote ile itakayo tokea,weka makaratasi yote yakimahakama pamoja ili huko mbeleni uje uwaonyeshe wanao waujue ukweli,
All the best Mkuu.
Sawa sawa chief. Tatizo hiz mambo za mahakama naona kama kujitia mikosi..Nenda mahakamani ili mahakama ikiamua mgawane mali upate chochote maana jukumu la kulea watoto lazima liwe lako hata kama watoto watakaa kwa mama.
Kwa hapa tulipo ni ngumu, maana wife aliposepa home alibeba hatiNyumba andikia watoto sepa mbele hata usipofika mahakamani
Alikulaza ndani, kwa maana ya polisi? Kwanini?Ahsante kwa ushauri mkuu, karatas zoote kuanzia samansi ya polisi aliponilaza ndani na hii ya mahaka vyoote hivi vile well stored for future uses
Shukrani chief..Pole sana mkuu,
Ngoja wataalamu wa sheria waje.
Shukrani chief. Nawasubiri wajeNgoja waje. Pole mkuu.
Unaweza ukamuita aliyekuwa mkeo ukamuuliza anataka nini hasa, ukiona kiko ndani ya uwezo wako mpe afute kesi.Sawa sawa chief. Tatizo hiz mambo za mahakama naona kama kujitia mikosi..
Ni nani huyo?Nenda mahakamani ili mahakama ikiamua mgawane mali upate chochote maana jukumu la kulea watoto lazima liwe lako hata kama watoto watakaa kwa mama.
Siku ile nilivyokwambia wewe ni mwanaume legelege ukaona natania.Wakuu heshima kwenu.
Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).
Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.
Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.
Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.
Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
- talaka
- mgawanyo wa mali
- matunzo ya watoto
- kuishi na watoto
Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.
Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.
Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.
Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.
Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??
Naomba kusaidowa ufafanuzi.
Ahsanten
Kwakwel ukiwa na moyo dhaifu unaweza fanya kitu kibaya sana.Pole sana aisee, ngoja wajuvi waje, ila hawa wanawake hawa ndio maana wengine wanaamua kuwakia kiberiti
Ni hasara mwanangu, ndoa?? Ndoa sio kabisaa mazeeNdoa ni hasara sana.
Hebu tazama mwanaume mwenzetu anavyopata shida, hana uhuru tena na maisha yake kwa ujumla.
Na kwa jinsi sheria zilivyo kandamizi hapo ni lazima mwanamke ashinde kesi.
Kataa ndoa, ndoa ni utapeli ndio maana inawezekana kuzaa hata bila ndoa.
Scan usevu Gmail Google Drive au cloud storage yeyote.Ahsante kwa ushauri mkuu, karatas zoote kuanzia samansi ya polisi aliponilaza ndani na hii ya mahaka vyoote hivi vile well stored for future uses
Umesomeka mkuu. AhsanteHii inaitwa ex-parte decision
Umesomeka mkuu. AhsanteHii inaitwa ex-parte decision
Ni majanga sana mkuu..ni vile tu watu tunajifanya wabishiNdoa hizi?
ndiyoJe hio ni kwa mashauri yote ya madai mahakamani?