Kwa taarifa yako funguo nyingi za milango ya grill zinaingilianaSidhani mkuu jamaa wapo wanafungua kuanzia grill mpka chumbani
Pamoja na kulala na hayo, majaba ya Maji, pia nyunyuzia ugolo, madirishani kwa nje. Maana kabla ya kukupulizia hiyo dawa, lazima vichwa vyao viwe karibu na dirisha, ili kukuchungulia.Niende moja kwa moja kwenye mada kama maeneo nayoishi kumekuwa na vitendo vya wizi mchana na usiku ila style wanayotumia wizi ni kama aina mpya flani kwani kama miezi miwili kuna wezi walivamia usiku kwenye duka la vifaa vya ujenzi na kuiba bila kuvunja grill yaani walifungua kufuli kama kwao vile.
Juzi tena kuna jirani mchana ametoka amefunga mlango pamoja na grill jamaa wakaenda wakafungua kama kwao na kubeba kila kitu walichotamani kubeba.
Usiku wa leo jamaa wameenda tena mtaa wa jirani wakafungua mlango bila kuvunja wakabeba Tv ,simu pamoja na pesa japo kwa maelezo yake anahisi walimpulizia dawa za kulala .
Hatua ya kwanza tumechukua ni kuaza kulala na majaba au mabeseni ya maji chumbani kwani inasemekana hata wakikupulizia dawa ya kulala haifanyi kazi (hatuna uhakika).
Ila kinachotupa shida wanawezaje kufungua milango na magrill bila kufunja wanatumia njia gani na njia gani ya kuweza kudhibiti wizi huu wa majumbani?
Itakuwa sarufi imezingua. Ni kuwa naye anaenda kutumia hizo mali kuendelea.Anaenda naye vipi
Nilimpoteza jamaa yangu kwa style hiyo Mkuu,Tatizo la hizi adhabu za papo kwa papo ni namna ya kuthibitisha kama mnayemuua ndiye haswa ni Mwizi.
Mnaweza kukurupusha Wezi wakasepa alafu mkakutana na Jamaa katoka kwenye shughuli zake wala ahusiki na Wananchi tayari mihemuko ipo juu unafikiri atapona?.
KIwa maelezo ya Mleta uzi sidhani kama ni aina ya Wezi wa kupitia hizo tabu zote.Mtunze funguo zenu vizuri, anaugandamiza kwenye sabuni na kwenda kutoa ufunguo kama wako bila kujijua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Mkuu, ukute jamaa alikuwa ana jogg Tu!Nilimpoteza jamaa yangu kwa style hiyo Mkuu,
Sitaki Kukumbuka Ile siku, Bado lile tukio linanitesa Hadi kesho.
TooBad .
Mungu ampumzishe rafiki huko aliko. Alikuwa mtu mwema mno.
Siku mkiona tunawapiga msiwaonee huruma sana sana jiungeni na sisi tuwasulubuIla wezi wanarudisha sana maendeleo nyuma, mtu umepambana umetoa jasho yeye aje achukue tu kirahisi!
Umenikumbusha Kuna mzee kitaa kakatazwa kupiga mwizi [emoji2]. Hata wapigaji mnatetemeka huwa anawapasua mapumbu linawekwa kwenye jiwe au mbao na ngozi lake alafu jiwe moja anashakilia yeyeHalafu wakichomwa moto watetezi wanaibuka msijichukulie Sheria mkononi, hali yenyewe ngumu halafu mtu anakusafisha
Huruma hua inanijia ila hapana wanastahili adhabu kali hasa kama washawahi kukupiga tukioSiku mkiona tunawapiga msiwaonee huruma sana sana jiungeni na sisi tuwasulubu
Ila kuchomwa mmmh ni hatareee.Halafu wakichomwa moto watetezi wanaibuka msijichukulie Sheria mkononi, hali yenyewe ngumu halafu mtu anakusafisha
IdiotMlishangilia jpm kufa Sasa yawakuta , tulilala milango wazi hapa dar , jamaa alikuwa noma sana Kwa wezi , majambazi hadi wazee wa ngada
USSR
Matukio yamezidi kuongezeka sasa hivi ukilinganisha na wakati huo. Jitahidi kuelewa.Akili kisoda tu zina mtazamo huu, dogo aliibiwa kwa style hiyohiyo 2018. Huyo JPM akiwa rais, muacheni Mzee wa watu apumzike mnajifanya mnamkumbuka katika issues za kijinga kama hizi zisizo na ukweli. Mnatupandisha hasira tu, tunaishia mtukana tu marehemu.
Muacheni Mzee apumzike
Kuthibiti wezi na wahalifu siyo kazi ya polisi peke yaoWezi+Majambazi yamejaa hadi wanawake wapo kazini Polisi wamekua mchele mchele nowdays.