Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku mtaani wizi ulikithiri kipindi cga jpm kila siku nyumba zilikuwa zinasafishwa mwaka 2020 watu wakapanga mikakatiMatukio yamezidi kuongezeka sasa hivi ukilinganisha na wakati huo. Jitahidi kuelewa.
Kufuli wanafungua bila shidaDawa yao ni kuweka komeo kwa ndani na kupiga kufuli.
Madrili mengi mbona yana sehemu za kuweka kufuli la kuning'iniza!
Police na Waendesha Mashitaka ndiyo tatizo!!!Wezi+Majambazi yamejaa hadi wanawake wapo kazini Polisi wamekua mchele mchele nowdays.
Police na Waendesha Mashitaka ndiyo tatizo! hawako serious sana kumaliza hayo matatizo ya wezi au ya kudhulumiana!!!!Halafu wakichomwa moto watetezi wanaibuka msijichukulie Sheria mkononi, hali yenyewe ngumu halafu mtu anakusafisha
Na yeye si anakua tajiri kama wewe,na wewe unakua masikini kama yeye! ndiyo maana unaambiwa hamna kilichopotea,Ngoma drow!!!!Anaenda naye vipi
Na vp kuhusu komeo za ndani,je nazo anazingandamizia wapi hadi nazo zinafunguka zenyewe!!??Mtunze funguo zenu vizuri, anaugandamiza kwenye sabuni na kwenda kutoa ufunguo kama wako bila kujijua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuliko tulia,kwa watasha,hata Ulinzi shirikishi hawawezi kuweka maana wote wako busy na life!!!!Kuna funguo fulani wanachongaga
Mafundi funguo.....wakishapata/jua
Kitasa chako au kufuli lako
Wao wanachonga funguo malay
Wakija kwako wanakuja na maufunguo kama askari magereza
Hawakukosi
Na uwizi huu wanafanya huko pembezoni mwa miji
Ova
Ukiwa ndani weka bomba na lock zake hata kama watafanikiwa kufungua milango lakini hawataweza usukuma sababu ya kizuizi cha bomba kwa nyuma ya mlango labda wang'oe na frame yake kabisa kitu ambacho ni shughuli pevu.Kufuli wanafungua bila shida
Police sio tatizo bali Jamii aiwapi police ushirikiano, police sio day care ya kuhifadhia wezi ukipeleka mwizi usipofatilia kesi wao wafanye nini sasa.Wezi+Majambazi yamejaa hadi wanawake wapo kazini Polisi wamekua mchele mchele nowdays.
Tatizo la mkimpeleka huko mahali husika kesho tu huyo kitaaani na matusi juu huku Wahusika wakisema Yuko nje kwa dhamana na upelelezi unaendelea na ukikamilika basi atafikishwa Mahakamani! Maisha yana songaa tukio hadi tukio!!!!Ni sawa wanaiba ILA HILI la kuwapa napanga na kuwachoma moto sio zuri mkimkamata pelekeni mahala husika sio kujichukulia sheria mkonon
Angalia pia isije ikauwa familia yako au Jamaa zako!!? Mistake zipo! Mtego wa panya hata mendi aweza nasa!!!Nahisi Ile ya kufunga umeme kwenye madilisha na milango ndio kiboko akija tu anachezea shot
Kama wwe hujawai ku report uhalifu police pls nakuomba kaa kimya!!!Kuthibiti wezi na wahalifu siyo kazi ya polisi peke yao
Kabla ya kulaumu polisi umechukua hatua gani hapo ulipo?
Na vitasa pia?Kufungua makufuli wanatumia viberiti vya gesi kuyaunguza makufuli yanaua spring ndogo ndani ya kufuli na kufunguka kwa urahisi pia wanatumia mitungi midogo ya gesi wakija wanalichoma kufuli lako ni dk sifuli limeachia.
Kinachoniumizaga anakuibia kitu kikubwa chenye thamani anaenda kuuza bei ya nyanya,si heri angekuomba umpe hiyo hela.Ila wezi wanarudisha sana maendeleo nyuma, mtu umepambana umetoa jasho yeye aje achukue tu kirahisi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unafahamu FATUMA!?
FATUMA anaingia huko ndani na makomeo yako ya analogia na kidigitali hapo mlangoni!
Mbona huu wizi ulikuwepoMlishangilia jpm kufa Sasa yawakuta , tulilala milango wazi hapa dar , jamaa alikuwa noma sana Kwa wezi , majambazi hadi wazee wa ngada
USSR